Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

Mkuu mleta mada tatizo kubwa la hoja yako ni kwamba hujajiuliza au (kiusahihi zaidi) hujaona umuhimu wa kujiuliza kuwa mteuzi wa Mwigulu anataka nini hasa katika nafasi hiyo. Ana malengo gani hapo? Ni kama umekisia (assume) tu kuwa anahitaji mtu mwenye sifa ulizozibainisha. Haiko hivyo katika nchi hii.

Je, unaamini Kimei ana sifa muhimu anazozihitaji mteuzi katika nafasi hiyo? Kwamba mzani wa mteuzi ukiwekwa Kimei atamshinda Mwigulu kwa sifa za mteuzi kuhusu nafasi hiyo?

Unaweza kuwa na “ndoto” njema sana kuhusu nchi yako. Lakini, be realistic. Tatizo haliko hapo unapofikiri.
Umeongea Kweli yote,

Mimi nimeshauri kama Mwananchi ambaye ndiye Hasa mwajiri wa Serikali iliyopo madarakani akiwemo Mwigulu na wizara hiyo.

Asiposikia ushauri, tutakutana 2024&2025.
 
Labda wasomi kiwango Cha PhD kutoka vyuo maarufu duniani watusaidie

Ni nchi gani baada ya industrial revolution imeendelea sana na uchumi wake ulipaa juu bila ya umeme wa uhakika

Mwigulu nchemba nisikie! tuache mizaha hatuna umeme. Narudianl hatuna umeme

Ccm Mmechezea uchumi wa nchi kwa kuchezea umeme

Hakuna miujiza hakuna Kodi hakuna uzalishaji
 
Labda wasomi kiwango Cha PhD kutoka vyuo maarufu duniani watusaidie

Ni nchi gani baada ya industrial revolution imeendelea sana na uchumi wake ulipaa juu bila ya umeme wa uhakika

Mwigulu nchemba nisikie! tuache mizaha hatuna umeme. Narudianl hatuna umeme

Ccm Mmechezea uchumi wa nchi kwa kuchezea umeme

Hakuna miujiza hakuna Kodi hakuna uzalishaji
Ni hatari sana kuongozwa na viongozi wenye upeo hafifu.

Wangeshusha Bei ya umeme waone Uchumi utakavyochipua Kwa Kasi!!
 
Nchi Haina umeme halafu eti waziri anatagemea uchumi.na mapato ya nchi yapande?

Hao wafanyabiasha hela za Kodi watazitoa wapi wakati miaka 2 hatuna umeme
mliberali nakubaliana nawe, "" mpaka kufikia hatua ya kudondoka maana yake mtu huyo alikwaa hatua fulani nyuma ya mwanguko ""
 
Mbona watumishi wa Serikali inakusanywa kirahisi?

Iweje washindwe kujua nini wafanye Ili biashara zianzishwe, zikue Kisha ajira zitengenezwe Kodi ikusanywe Kwa wingi?

Kuyafikia hayo ,unahitaji mchumi Original, Si huyu mgambo mkamua wachuuzi!!
Kwasababu Serikali ndie anayewagawia watumishi wake.

Hata wafanyabiashara wakiongezeka bado itabidi serikali iongeze juhudi kukusanya kodi kutoka kwao.
 
Umeongea Kweli yote,

Mimi nimeshauri kama Mwananchi ambaye ndiye Hasa mwajiri wa Serikali iliyopo madarakani akiwemo Mwigulu na wizara hiyo.

Asiposikia ushauri, tutakutana 2024&2025.
Heri wenye imani na matumaini kama yako - hasa kuhusu kuiajiri serikali ya JMT 😁
 
Salaam,Shalom!!

Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.

Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.

Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.

Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutasaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kukua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Yote hayo, yana connection na wizara ya Fedha, Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!

Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.

Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani Kwa kushindwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.

Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.

Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Wote ni wale wale kasoro nyuso zao tu.hata kimei ni hovyo tu akiwatesa sana watumishi kwenye mikopo ya crdb kwa kuweka riba ya 17% ili aonekane anafanya vzr.huyo hana tofauti na mtoza ushuru.akipewa watu mtalia bora hata mwigulu
 
Kwasababu Serikali ndie anayewagawia watumishi wake.

Hata wafanyabiashara wakiongezeka bado itabidi serikali iongeze juhudi kukusanya kodi kutoka kwao.
Hizo juhudi ndizo nazoziongelea,

Kuhakikisha mazingira mazuri ya biashara yanapatikana Kwa kusaidia Uchumi wa sekta wa biashara level zote zinakua na kuongeza ajira na mzunguko wa pesa ukue mara dufu.

Haya mambo ya kuwaza kukusanya tu bila kulea biashara Hasa za chini na kati, hatofanikiwa chochote.

IPO haja ya kushirikiana na wizara ya nishati, Bei ya nishati ya umeme ishuke, nishati nafuu na ya HAKIKA ndiyo backbone ya Uchumi wowote .
 
Soln
1. Punguza au ondoa baadhi ya Kodi tozo kwenye biashara na manufacturing industry

2. ondoa burecracy na unnecessary compliance procedures,

ili uanzishr biashmhara bongo Kuna compliance zaidi ya 20 kupata vibali, tozo kuwe na approval fees Chache na zote zilipiwe sehemu Moja one stop centres taasisi zikagawane

3. Leta umeme wa uhakika karibu na bure unit 1 iuzwe angalau sh 50

4. Selikaliv ipunguze matumizi ya hovyo, serikali ije na mpango angalau wa kupunguza matumizi kwa 50%
5.
6.
Naunga mkono HOJA 🙏

No. 5 .
Safari za nje za viongozi zimulikwe na kupunguzwa Ili kuwa na akiba ya kutosha ya forex.

No. 6

Waziri wa mambo ya nje aondolewe, tupate waziri Mahiri atakaye wakilisha Nchi vizuri, atakaye pambana Nchi ipate fursa za kibiashara huko duniani kama afanyavyo balozi wa china nchini petu.
 
Kimei pamoja na usomi wake na kufanya vizuri crdb alikuwa na udhaifu wa ukabila na kujaza wachaga sana crdb kuanzia wafagizi mpaka ma memenejan kuipendelea sana KKKT kuingia nayo miradi mingi ikiwemo ya viwanja fukayosi bagamoyo..Hivyo angeendelea kuwa back bencha bungeni mzee wa five star apartments
 
Kimei pamoja na usomi wake na kufanya vizuri crdb alikuwa na udhaifu wa ukabila na kujaza wachaga sana crdb kuanzia wafagizi mpaka ma memenejan kuipendelea sana KKKT kuingia nayo miradi mingi ikiwemo ya viwanja fukayosi bagamoyo..Hivyo angeendelea kuwa back bencha bungeni mzee wa five star apartments
Kwa kuwa umekubali alifanya vizuri,

Apewe nafasi hiyo.

Hayo mambo ya ukabila ni another topic.
 
Salaam,Shalom!!

Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.

Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.

Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.

Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutasaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kukua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Yote hayo, yana connection na wizara ya Fedha, Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!

Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.

Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani Kwa kushindwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.

Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.

Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Umezungumza jambo moja muhimu sana. Bwawa la umeme limekamilika kwa hivyo wasia wa magufuli utekelezwe. Bei ya umeme ipunguzwe kwa kiasi kikubwa ili kuvutia wawekezaji na kuwapunguzia wafanya biashara gharama ili hatimae bei zishuke za bidhaa. Waroho wenye kutaka kufaidi peke yao uwekezaji wa umma kwenye umeme walaaniwe. Tuliona pale januari na maharage wakiasema gharama hazitashuka. Mama amefanya vizuri kuwatimua.
 
Salaam,Shalom!!

Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.

Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.

Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.

Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutasaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kukua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Yote hayo, yana connection na wizara ya Fedha, Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!

Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.

Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani Kwa kushindwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.

Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.

Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Mfumo wa Kodi Tanzania hauko sawa na walipa Kodi n wachache.
Wa Tanzania wengi wao atupendi kulipa Kodi tunayostahili ndo Mana kipindi Cha Magu Nguvu kubwa ilikuwa inatumika Mama akapunguza wafanyabiashara nao waka take advantage,Sahz TRA nao wanakaza wakusanye mapato.
 
Salaam,Shalom!!

Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.

Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.

Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.

Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutasaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kukua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Yote hayo, yana connection na wizara ya Fedha, Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!

Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.

Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani Kwa kushindwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.

Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.

Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Akiondoka nani atakusanya hela za uchaguzi?
 
"Mwigulu ndio mboni ya mama,na hicho cheo ndio kilele chake mwigulu hakuna kingine zaidi ya hapo alipo na hawezi tolewa pale amesimikwa"sauti ya Mgunga pori huko mboka manyema ilisikika!!
Huyo mboka wa manyema aliemsimika mbona kama ni mizimu ya kikwetu😂😂
 
Back
Top Bottom