Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

Kimei hafai hata kidogo. Huyo ana ukabila usioelezeka kirahisi. Wizara nzima na taasisi zake zitajaa wachaga watup

Kimei hafai hata kidogo. Huyo ana ukabila usioelezeka kirahisi. Wizara nzima na taasisi zake zitajaa wachaga watupu.
Wewe ndo wale mnaowaza na kijambio suala la ukabila na mada iliyoko hapa imetoka wapi alafu unajiita chawa wa mama yani kuliko ungezaliwa bora baba yako angepiga nyeto bao alimwage ukutane ufe fala wewe
 
Ni hatari sana kuongozwa na viongozi wenye upeo hafifu.

Wangeshusha Bei ya umeme waone Uchumi utakavyochipua Kwa Kasi!!
UGHALI WA UMEME UNACHANGIA HIGH COST OF PRODUCTIONS, HIVYO BIDHAA ZINASHINDWA KUSHINDANA SOKONI.
 
Wewe ndo wale mnaowaza na kijambio suala la ukabila na mada iliyoko hapa imetoka wapi alafu unajiita chawa wa mama yani kuliko ungezaliwa bora baba yako angepiga nyeto bao alimwage ukutane ufe fala wewe
Mzee Minja naona unamtetea mchaga mwenzio. Huyo Kimei ana ukabila wa kufuru. Ubunge unamtosha.
 
Salaam,Shalom!!

Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.

Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.

Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.

Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutasaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kukua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Yote hayo, yana connection na wizara ya Fedha, Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!

Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.

Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani Kwa kushindwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.

Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.

Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Naomba nikuulize kitu ndugu , wewe ni mwenyekiti wa kamati ya harusi umeteua wanakamati mmoja wapo kachukua kadi za mchango na umejua kabisa kadi alizochukua zimepata kuchangiwa. Ila mwanakamati huyo hataki leta hiyo pesa ukizingatia budget bado inapwaya utamtizama tu huyo mwanakamati au ni mwizi? waziri nimemsikiliza vizuri na ninaifahamu VAT inavyokusanyika , amesema watu wamekusanya vat badala ya kuipeleka tra wamebaki nayo wanazungusha tu kwenye biashara zao sasa kwanini wasipeleke tra? shida ipo wapi wakidaiwa? mimi namuunga mkono waziri maana tunakatwa sana vat tukinunua vitu sasa watu wanabaki na pesa yetu. acha kuwatetea watu wanabaki na pesa kumbe ya serikali. anayelipa vat ni mnunuzi muuzaji yeye ni mkusanyaji sasa kwanini asipeleke? ni sawa na mwajiri akukate ile wanaita paye au pension yako kisha asipeleke utakubali?
 
mimi simtetei mtu humu ila sidhani kama ni sawa kusema kabila flan maana ni ubaguzi. Ukishasema wachaga kesho utasema wasukuma kesho utasema wazanzibar, utakuja sema wahaya
Ni Ujinga kutaja ukabila kwenye profession,

Sheria za Nchi zipo, yeyote mwenye sifa apewe,

Kisha afuate Sheria, miiko na taratibu zilizopo, akikiuka, ashtakiwe na kuhukumiwa.
 
Naomba nikuulize kitu ndugu , wewe ni mwenyekiti wa kamati ya harusi umeteua wanakamati mmoja wapo kachukua kadi za mchango na umejua kabisa kadi alizochukua zimepata kuchangiwa. Ila mwanakamati huyo hataki leta hiyo pesa ukizingatia budget bado inapwaya utamtizama tu huyo mwanakamati au ni mwizi? waziri nimemsikiliza vizuri na ninaifahamu VAT inavyokusanyika , amesema watu wamekusanya vat badala ya kuipeleka tra wamebaki nayo wanazungusha tu kwenye biashara zao sasa kwanini wasipeleke tra? shida ipo wapi wakidaiwa? mimi namuunga mkono waziri maana tunakatwa sana vat tukinunua vitu sasa watu wanabaki na pesa yetu. acha kuwatetea watu wanabaki na pesa kumbe ya serikali. anayelipa vat ni mnunuzi muuzaji yeye ni mkusanyaji sasa kwanini asipeleke? ni sawa na mwajiri akukate ile wanaita paye au pension yako kisha asipeleke utakubali?
Rudia rudia rudia tena na tena hotuba yake, utajua kwanini povu linamtoka kiasi kile.
 
Ngoja nikitulia niisikilize tena shukran
Mapato yamepungua sababu Serikali haikusanyi tena pesa ya bandari Bali ni mwekezaji.

Sasa Badala ya kunyooka, anaongelea wafanyabiashara kana kwamba Kuna mgomo wa wafanyabiashara kutopeleka return zao Kila baada ya miezi mitatu sawasawa na makadirio Yao.

Huu mkataba fake, hautekelezeki, utaondolewa tu, ni suala la muda.
 
Salaam,Shalom!!

Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.

Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.

Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.

Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutasaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kukua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Yote hayo, yana connection na wizara ya Fedha, Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!

Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.

Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani Kwa kushindwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.

Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.

Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Kiukweli Mwigulu amewakosea sana wafanyabishara wa Tanzania , nchi zingine huku angeshaambiwa ajiuzulu….huwezi generalize kusema wafanyabishara wote wakubwa wanaodaiwa kodi ni Wezi …….., wakati wengi wao hasa wenye makampuni ya ujenzi na miradi ya maji wanaidai serekali mobilioni ya pesa ….sasa wanatoa wapi pesa za kulipa hadi uwaite ni WEZI
 
Bila shaka wewe utakuwa mchaga, ndomana unampigia debe mchaga mwenzako.

Makabila ya kishetani hayo ni marufuku kupewa nafasi za juu, muasisi wa taifa alituachia wosia huo... Na hata kwa akili timamu ya kawaida unajionea. Hawafai kabisa! Wana maroho mabaya sana! Makabila na mabinafsi, bora huyo mwigulu.

Na serikali inajua inachokifanya ndugu, tulia!
MAKABILA YA KISHETANI
 
MAKABILA YA KISHETANI
ukiona mtu anajikita kutaja udini au ukabila jua kafilisika kichwani akapimwe. Hapa tujadili hoja juu ya hoja mjadala mzuri kama huu tusilete ujinga maana ni mambo yanayohusu maisha yetu tuna biashara tunafanya sasa badala ya kujadili mambo ya msingi jitu linakuja na ukabila. kama huna hoja tulia usome maana ni sehemu ya kujifunza pia
 
Mzee Minja naona unamtetea mchaga mwenzio. Huyo Kimei ana ukabila wa kufuru. Ubunge unamtosha.
Wala siyo kumtetea hata kama asingekua Huyo kimei kwan kimei ni ushuzi gani kuna watu wengi wenye uwezo lakini siyo huyo mwigulu hyo jamaa chenga yeye kakaa pale kila siku na timu yake ya Wizarani na wataalam wao wa Sera ni kutukandamiza kwa kutuwekea tozo mpya hawana ubunifu kabisa sema sababu yy ndo anaemsaidia mama yenu kujaza mifuko yake ili wakistaafu waishi kama Malaika ndo maana hiyo bibi yenu hawezi kumtoa kwenye hyo nafasi ila Mwigulu na Makamba utendaji wao ni Sifuri hawana hata kipaji cha Uongozi wa familia
 
Salaam,Shalom!!

Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.

Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.

Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.

Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutasaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kukua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Yote hayo, yana connection na wizara ya Fedha, Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!

Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.

Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani Kwa kushindwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.

Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.

Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
.
 
Mods mkaona mbadili na heading kabisa!!
 
Kitendo cha kutupandishia Kodi ya Majengo kimiya kimiya kwenye Luku kimenifanya nimchukie sana huyu mnyapaa
 
Back
Top Bottom