Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Mambo ya karma hakuna Adoph Hitra waliwauwa wana Israel karibu milioni sita ambalo wengi wanaamini ni taifa la mungu kwanini mungu hakuonyesha karma pindi watu wake wanakufa ehee karma imeshindwaje kufanya kazi kwa taifa la mungu ?Hii dunia Ni uwanja wa fujo, ukiwazia Sana karma huwez kufanya lolote la maendeleo ukafanikiwa. Huwez kua tajiri Bila kumnyonya maskini. Sasa karma inakaaje Kwny scenario Kama hizo😊
Aisee,Kuna la kutafakari hapo🤔Mambo ya karma hakuna Adoph Hitra waliwauwa wana Israel karibu milioni sita ambalo wengi wanaamini ni taifa la mungu kwanini mungu hakuonyesha karma pindi watu wake wanakufa ehee karma imeshindwaje kufanya kazi kwa taifa la mungu ?
Kabisa yaniJamaa analogic sana, ukimsoma vizur Bila mihemko Wala kujali suala la I'd yake[emoji2]
Jifunze kuishi na mazingira ili mradi upate kuishi tupo duniani kwa ajili ya kusurvive sasa wewe una njaa halfu unamuomba mtu hela hakupi eti anakeza ili zije kumsaidia badae wakati hana uhakika kama hiyo kesho atakuwepo wewe iba nenda kanunue chakkula uleI'm proud of you ibilis
Kuna wapuuz watakuja kusema huu Uz ni wa wafuasi wa shetan😃 kisa bwana Iblis Bin Shetan kashirikiKabisa yani
Kwani nimesema uongo sasa?Ha ha ha... Wee nae lichokozi kwelikweli
[emoji1787] eti kuzindua style mpya
Wapuuzi ndio hao hao wanyonyajiKuna wapuuz watakuja kusema huu Uz ni wa wafuasi wa shetan[emoji2] kisa bwana Iblis Bin Shetan kashiriki
Wafia dini hawatakuelewa hapaJifunze kuishi na mazingira ili mradi upate kuishi tupo duniani kwa ajili ya kusurvive sasa wewe una njaa halfu unamuomba mtu hela hakupi eti anaweza ili zije kumsaidia badae wakati hana uhakika kama hiyo kesho atakuwepo wewe iba nenda kanunue chakkula ule
Hahaha kweli wewe ni ibilis bin shetwanJifunze kuishi na mazingira ili mradi upate kuishi tupo duniani kwa ajili ya kusurvive sasa wewe una njaa halfu unamuomba mtu hela hakupi eti anaweza ili zije kumsaidia badae wakati hana uhakika kama hiyo kesho atakuwepo wewe iba nenda kanunue chakkula ule
HahahahahaKuna wapuuz watakuja kusema huu Uz ni wa wafuasi wa shetan[emoji2] kisa bwana Iblis Bin Shetan kashiriki
Zaman enzi hizo,Jifunze kuishi na mazingira ili mradi upate kuishi tupo duniani kwa ajili ya kusurvive sasa wewe una njaa halfu unamuomba mtu hela hakupi eti anaweza ili zije kumsaidia badae wakati hana uhakika kama hiyo kesho atakuwepo wewe iba nenda kanunue chakkula ule
Kimantiki ya utu unadhani kama akiiba atapata dhambiHahaha kweli wewe ni ibilis bin shetwan
Nna shida na hela twende kwenye mpesa kiosk tukaibe basi...wewe untangulie mbele me nakushkia walletKimantiki ya utu unadhani kama akiiba atapata dhambi
Safi ndio utuZaman enzi hizo,
Kijijini kwetu akikamatwa anaiba shamban kwa mtu Kia's kidg tu kwa ajili ya kulisha familia yake alikua haadhibiwi.
Badala yake anaonewa huruma na kupewa na ziada ili akalishe familia yake.
Ila ukikutwa ana kiroba anapakia mzg mkubwa akauze, kipigo chake anachomwa mpk kibiriti akafie mbali huko