Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] inaonekana unavaa vizuri sana
 
kula mayai kula mayai mzee
 
[emoji86][emoji86]
 
ntafuatilia hiyo habari
 
ulikuwa umeenda kununua shower gel sio
 
you got it right
 
chumba cha laki mbili kina service gani?
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Siku mbili tu zilizopita nimesumbuliwa sana na kidada kimoja katika stationary fulani, sijui ananionaje

Amesababisha shughuli ya siku moja imechukua siku 2

Nasubiri anikute katika anga zangu, japo sipangi kulipiza kitu ila watu wajifunze kuheshimu mtu yeyote
 
Nimependa hii story inaonesha kumiliki Expensive Shuts huku bado young inaraha sana imagine 28 una discover 4.
 
Jipige kofi moja kwa kumshobokea demu kwa mara ya pili.
 
Huyo katibu mkuu nae atakuwa siyo mstaarabu tu. Kusalimia watu kwake ni shida? Ni mmoja wa wale waliolewa madaraka.
Kusalimia au kusalimiwa sio lazima hasa eneo lako la biashara

Mimi pia husalimia nikijisikia tu, nikilazimishwa sirudi tena hapo labda huduma uwe nayo peke yako
 
Alipiga ??
 
Ha ha ha aisee pole eti koti Kama limetundikwa
 
pole sana mkuu
 
Reactions: T11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…