Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Kuna shida hapo either unashindana na wanaume uonekane mko sawa. Na ilhali unakojoa umechuchumaaa na mwanaime amesimama. Yaani hautaki kukubali kuwa mwanaume yuko juu yako. Labda ka elimu ulikopata kanakupa ujasiri na unajiona kama laweza kuoa mwanaume.

Yaani sijui kama utadumu na mwanaume .
Labda uoe umuweke mjini ila ukiolewa sidhani
Am sorry ila ni mtizamo wangu.
😂😂😂😂😂
We kaka upo dark ages au?
Umenichekesha mnooo. Sasa mtu kama wewe hatuwezi kulingana kwasababu nimekuzidi kwa kila kitu.
Na kama unataka kuniaminisha kuwa uanamke ni udhaifu, kanye ulale.
Eti mtu mzima una kuja hapa na hoja za vikojoleo 😂😂😂😂
 
Kuna manager wa hotel fulani kubwa tu. Alitusimulia kuwa siku moja akiwa ndio manager wa zamu akaitwa na muhudumu wa mapokezi shida ikiwa kuna mgeni kachoka choka hivi lakini anahitaji room ya bei mbaya pale hotelini.
Sasa muhudumu wa mapokezi akamwambia mgeni mchovu angoje kidogo akamuonyesha na pa kupumzikia ili amuandalie hiyo room uku ikiwa ni kupata muda ili amwambie manager kuhusu kumpa chumba cha bei mbaya jamaa.
Manager kumuona mgeni alivyo ikabidi aende kuongea nae.mshtuko ukampata baada ya mager kujitambulisha jamaa nae akajitambulisha jina ndipo akajuwa jamaa ni footballer mkubwa tu duniani na jezi aliyovaa juu ni ya timu yake ya taifa.mara moja akapewa room bila hata maswali mengi.
Kuna footballer mmoja maarufu Sana aliwahi kucheza timu ya aseno(jina limenitoka) nadhani timu yake ya taifa ni Sweden.

Huyu jamaa, Kuna stories nilipata kusimuliwa Kuna siku alienda mgahawani huko kwao, Sasa alivyofika wahudumu hawakumtambua wakawa wanamchukulia poa. Kile kitendo kilimkera Sana, kwa hasira akaamua kuununua ule mgahawa fastaaa
 
😂😂😂😂😂
We kaka upo dark ages au?
Umenichekesha mnooo. Sasa mtu kama wewe hatuwezi kulingana kwasababu nimekuzidi kwa kila kitu.
Na kama unataka kuniaminisha kuwa uanamke ni udhaifu, kanye ulale.
Eti mtu mzima una kuja hapa na hoja za vikojoleo 😂😂😂😂
Huwezi kumzidi mtu kwa kila kitu, tambua hilo
 
ishanitokea zaidi ya mara moja nahisi ni sababu ya mwili mdogo na wembamba pia sio mtu wa kuvunja kabati navaa kawida sana, ndevu hakuna na ki baby face japo nimekula chumvi.

Kuna siku ilikua fiesta wasanii na team ya clouds ilikua imefikia hoteli ambayo na mimi nilikuepo kuhudhuria sherehe ya ufunguzu wa kampuni fulani ya bima ambayo ni wateja wangu nawapa huduma fulani. Nilitoka mida ya saa 3 usiku kabla event kuisha, wakati nashuka chini naenda Launge kuongea na simu nawakuta ma chekibobu wa clouds akina Bdozen, Mchomvu na wengine wengi tu watoto wa mjini pale launge. nikawasalimia na kukaa ila hawakujibu na waliniona kama sio type yao.

Lahaula, kabla sijamaliza kuongea na simu naona binti kanirukia kwa nyuma na bonge la hug na mabusu ya shavuni na kulalamika nimemtupa simtafuti tena. Wale machekibobu wakashtuka macho yakawatoka, wakamuuliza yule dada vipi upo sawa akawajibu "am very happy nahisi hata show leo nitaperform vizuri". Kwa ufupi yule dada ni katika hawa wasanii wa kike wanaosumbua mjini kwa sasa na nyimbo zao na siku ile ndio alikua kati ya wasanii wa kutegemewa katika show. Kanakumbuka mchango wangu tangia kadogo kananifata kuniimbia akapela, nakakosoa na kumpa ushauri sasa am happy kanaishi ndoto yake.
 
Sasa mkuu uko BOT halafu unavaa tshirt chakavu za mtumba na pensi. Lazma uonekane kibaka tu! Dada alihisi utamuibia iphone ake 🤣!!!

Lol...ukiwa mjini hapa jipende. Kuwa smart vaa vizuri, japo sio lazima uwe tozi ila atleast vaa ki bro simple tu! Saa kali, sandals au lightweight shoes outfit bomba tu... Dar kuna maduka mengi mno kiasi kwamba ukishindwa kuwa smart utakuwa na tatizo mahali. Usisahau kunukia
Kuwa smart ni kama kipawa mkuu si kila mtu anazaliwa nacho. Kuna mwingine hana kitu lakini mara zote kapendeza.
Mwingine ana pesa & etc lakini kupendeza hajui. Yaani design ya wale wagumu wasiojali kuhusu yao.
Nina jamaa yangu toka shule yeye akipata tu sent anawaza akanunue nguo, saa etc. Muda huo me nikipata sent nawaza nikawanunulie pumba kuku wangu😂
 
Hii mambo iliwah nitokea nimetoka chuo na piga kaz na fundi mtaani.
Tuko na fundi mtaan tunapiga kaz kwenye nyumba ya mshua mmoja hv wa mambo ya ujenzi.
Asubuhi hiyo nagonga nyundo sana juu ya dari, fundi mkuu yuko chini na mama mwenye nyumba wanaongea kwa kilugha huku mimi nasikia baadhi ya maongezi yao kuwa "mwangalie fundi wako huko juu asije akaniunguzia nyumba yangu" na fundi akamjibu "haina shida ntaenda kuangalia",
Nilijisikia vibaya kwani kaz ninaijua vizur tu, pia fundi ananikubali kwenye kaz zenye utata lkn huyu mama alinidhalau sana na umbo langu dogo.
Kazi iliisha tukatimua na fundi wangu na ujira wetu mkononi, fundi mkuu alinieleza tulipo toka kuwa yule mama hakuamini kabsa kwenye kazi nikamjibu nilisikia alichoongea nikiwa juu.
Jion sasa yule mama alimwakia fundi kuwa kijana wako kaharibu kule juu anataka kumwunguzia nyumba yake, fundi mkuu akamwahidi kesho atakuja kurekebisha mwenye mama wa watu akapoa. Fundi alinipigia na kunijulisha hiyo inshu na tukakubaliana kwenda kesho.
Siku iliyofuata asb kama kawaida tukakutana fundi, ila fundi siku hiyo mtoto wake alikuwa mgonja hivyo alikuwa anafanya maandalizi ya kumpeleka hospital mtoto wake na hivyo mm kwenda eneo la tukio ila fundi aliniambia nimpe matumaini kuwa atakuja si muda kukangua kazi.
Nimefika site mama wa watu ananiangalia hovyohovyo tu, fundi yuko wapi? Yuko njian atakuja.
Nikaingia mzigoni sasa wala hata sikupanda juu ya dari yaani ni palepale kwenye main switch mchezo ukaisha , namwambia angalia vitu vyako vinafanya kazi? Akajibu ndio. Nikajua imemkaba hiyo na dhalau zke akidhani palipoharibika ni juu ya dari nipokuwa nagongagonga.
Nikawa zangu pale nje namsubili fundi aje maana hatukuwa na mawasiliano ya simu mpaka alipofika akamweleza nn kutokufika kwa wakat kwa kilugha, hao tukaendelea na shughuli zetu.
Nikamwacha anashangaa tu màana na fundi hakuangaika kukagua !
 
Mimi uzuri nna adabu simdharau mtu kwakweli ila kuna Mtu aliwahi kuvuka matarajio yangu yani sikutegemea.
Maana jamaa alitaka nikamfanyie kazi fulani akanambia niandike namba aatanicheki anatumia Tecno S series😂 nikadharau nikajisemea huyu nae nani🤣,siku ya kazi kaja kunichukua Offisini na Range rover sport anaishi Cliffside resiidence
toure dr hakuna kazi nililipwa kama hio mtu unafanya kazi huku unakunywa Moet Chandon Shampaigne
Kama nakuona vile
 
Mi kuna manzi mmoja katika harakat za kusaka tonge ikatokea tuna mawasiliano na yalikua strictly kikaz zaid cz wao walikua na ma distributor wa products flan hiv za security na mi nikawa moja ya wateja wao.
Sikua namjua kiundani na mawasiliano yetu yalikua nadra sana ile kikaz kaz na mazoea kwa mbaaaali.Status zake watsap na view na yy zangu anaziona.Kwakua napenda muzik basi alikua ananikosha kwa baadh ya vi clip anavyotupia mara moja moja sana navi comment.
Siku moja nikawa sina ishu kabisa job na niko bored na bahat mbaya sana akaweka status ilonivutia basi kama kawaida nika comment (yy zangu huwa ha respond japo hizo mara moja moja sana naziweka) basi aka respond finaly tukaanza kuchat.
Tukachat mara ujinga ukaingia humo ndani na u cant believe siku hiyo hiyo nikamgonga mzigo vizuuri tu kiroho safi.

SASA iko hiv,
Ofcz mm nilimchukulia poa kumbe hayuko hivyo.Anajimilikia ka usafir kake mwenyewe kazur tu (mi zangu daladala so mpaka nampanga akajaa nikajua na yy wa level zangu 😁😁😁). Mida tunakutana ndio nikalijua hilo,nikapiga mzigo na kwa aibu nikamshikisha 40k ila manka yule akazikataa kata kata.Nikaona oohoh leo nimepima vibaya kumbe na yy akanichukulia mambo safi hela ninazo asijue mimi ni bahili kishenzii 😂.
Sikua na mpango na game tena na yy akanitengenezea mazingira next week yake nikagonga tena.Ohoooh sijui alijua na leo nitapanda dau tena!!!!???. WAPII.
kesho yake akapiga mzinga nikachomoa..
Week ijayo yake akani set tena Shi 100 mfukon sina.
Kwa mara nyingine akani text "leo ninw hamu kitimoto, ningepata kilo 1 jion yangu ingeisha freshi." Nikaona isiwe kesi nikamtumia 5000- elfu 5 😊 bila ya kutoleo.AKANIPOTEZEA MAZIMA hata message za kikazi hajibu tenaa..

Baadae saaaana huko akajaga ni text, HUENDANI KABISA NA UNAVYOONEKANA. WW BAHILI SANA.

Kwa kifupi alinichukulia nina hela kumbe njaa tu 😆😆😆😆😆
20200822_200948.png
20200822_200948.png
 
Hizo mbinu za mtu mkubwa fulani kuvaa kama mwananchi wa kawaida na kuingia sehemu fulani wakati mwingine utumika kupatia umaarufu tu na hakuna lolote. Mwaka fulani waziri fulani ambaye kwa sasa ni marehemu aliwahi kutinga pale Ubungo bus terminal akiwa kavaa kama mwananchi wa kawaida tena kichwani kavaa pama hilo hilo ulilolitaja. Zaidi ya kusikika kwa tukio hilo hakuna chochote kilichoboreshwa pale stendi. Lakini je, mwananchi wa kawaida uwa hasalimii watu?
Wakati mwingine unajitoa ufahamu kidogo ili kujua tabia za watu wako..
 
Juzi tu NMB Dodoma:

Jamaa flan kavaavaa tu afu na midevudevu hivi

Kaenda NMB ATM kakuta na wadada wa benki wameweka meza ya kutoa huduma kwa wateja pemben hapo. Akafika tu kauliza (bila hata kusalimia).....kwanini kadi yangu inakataa kuniunganisha NMB mkononi

Dada kamjia juu...."kwanza salimia;...vipi habari za huko,...haya tukusaidie nini??"

Jamaa hakupokea. Mie nawaangalia tu.

Dada karudia tena ...."vipi mzima mwenzetu?? Za ulikotoka??!.....mbona umekuja kasi sana??!"....

Jamaa anaeaangalia tu. Mara akauliza...."ivi ni lazima kusalimia/ au kupokea salam ya mhudumu ili nipewe huduma NMB???...

Wakaanza kumshangaa ..."unatokea wapi wewe, yani unakuja kuvamia tu bila kusalimia..." ....wamamzodoa flan.

Jamaa akaingia Benki ndani. Straight kwa Meneja. Nafkiri hakueleza shida aliyopata nje. Alimueleza tu kama kutaka kusaidiwa shida yake. Sijui ndani waliongea nini??

Wametoka na meneja...hadi pale ATM kwenye meza ya wale wadada....meneja akiwa kashika mkononi kadi ya yule mshua....akawambia wale wadada mmoja wao (sikumbuki jina)...

Meneja: .....hebu msaidie Katibu Mkuu hapa kumuunganisha na NMB Mkononi...(Meneja akaongeza:....mkuu hapa utahudumiwa)...mara meneja katuomba wote wa kwenye foleni ya ATM..."naomba ndugu tumpishe kiongozi anajambo kidogo kwenye ATM ...samahani"...wakaingia ATM meneja, mshua na yule dada.

Wakafanya mambo humo ...kidogo wakatoka. Tukaendelea.

Meneja akamsindikiza yule mshua hadi kwenye gari akaondoka meneja anapunga mkono.

Niliwaangalia wale akina dada mavi yalivyowagonga chupi. Walitoa macho sana wakawa na wasiwasi mkubwa....

Walimchukulia poa
Katibu MKUU nae kilaza sana huyo
 
Kuna shida hapo either unashindana na wanaume uonekane mko sawa. Na ilhali unakojoa umechuchumaaa na mwanaime amesimama. Yaani hautaki kukubali kuwa mwanaume yuko juu yako. Labda ka elimu ulikopata kanakupa ujasiri na unajiona kama laweza kuoa mwanaume.

Yaani sijui kama utadumu na mwanaume .
Labda uoe umuweke mjini ila ukiolewa sidhani
Am sorry ila ni mtizamo wangu.
Wanawake walosoma na watumishi wana changamoto sana,wengi wao huachika baada ya kuolewa ndani ya miaka 10 ya ndoa....
 
  • Thanks
Reactions: apk
Mi kuna manzi mmoja katika harakat za kusaka tonge ikatokea tuna mawasiliano na yalikua strictly kikaz zaid cz wao walikua na ma distributor wa products flan hiv za security na mi nikawa moja ya wateja wao.
Sikua namjua kiundani na mawasiliano yetu yalikua nadra sana ile kikaz kaz na mazoea kwa mbaaaali.Status zake watsap na view na yy zangu anaziona.Kwakua napenda muzik basi alikua ananikosha kwa baadh ya vi clip anavyotupia mara moja moja sana navi comment.
Siku moja nikawa sina ishu kabisa job na niko bored na bahat mbaya sana akaweka status ilonivutia basi kama kawaida nika comment (yy zangu huwa ha respond japo hizo mara moja moja sana naziweka) basi aka respond finaly tukaanza kuchat.
Tukachat mara ujinga ukaingia humo ndani na u cant believe siku hiyo hiyo nikamgonga mzigo vizuuri tu kiroho safi.

SASA iko hiv,
Ofcz mm nilimchukulia poa kumbe hayuko hivyo.Anajimilikia ka usafir kake mwenyewe kazur tu (mi zangu daladala so mpaka nampanga akajaa nikajua na yy wa level zangu [emoji16][emoji16][emoji16]). Mida tunakutana ndio nikalijua hilo,nikapiga mzigo na kwa aibu nikamshikisha 40k ila manka yule akazikataa kata kata.Nikaona oohoh leo nimepima vibaya kumbe na yy akanichukulia mambo safi hela ninazo asijue mimi ni bahili kishenzii [emoji23].
Sikua na mpango na game tena na yy akanitengenezea mazingira next week yake nikagonga tena.Ohoooh sijui alijua na leo nitapanda dau tena!!!!???. WAPII.
kesho yake akapiga mzinga nikachomoa..
Week ijayo yake akani set tena Shi 100 mfukon sina.
Kwa mara nyingine akani text "leo ninw hamu kitimoto, ningepata kilo 1 jion yangu ingeisha freshi." Nikaona isiwe kesi nikamtumia 5000- elfu 5 [emoji4] bila ya kutoleo.AKANIPOTEZEA MAZIMA hata message za kikazi hajibu tenaa..

Baadae saaaana huko akajaga ni text, HUENDANI KABISA NA UNAVYOONEKANA. WW BAHILI SANA.

Kwa kifupi alinichukulia nina hela kumbe njaa tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
View attachment 1551569View attachment 1551569
[emoji23][emoji23][emoji23]Daah,buku tano bila hata ya kutolea
 
Kuna shida hapo either unashindana na wanaume uonekane mko sawa. Na ilhali unakojoa umechuchumaaa na mwanaime amesimama. Yaani hautaki kukubali kuwa mwanaume yuko juu yako. Labda ka elimu ulikopata kanakupa ujasiri na unajiona kama laweza kuoa mwanaume.

Yaani sijui kama utadumu na mwanaume .
Labda uoe umuweke mjini ila ukiolewa sidhani
Am sorry ila ni mtizamo wangu.
Usikute hata ni mnyakyusa
 
Mimi kuna siku tena ni zaidi ya mara moja inanitokea, mara ya kwanza ilikuwa pale nje ya wizara ya ardhi niliegesha gari pembeni nikanunue gazeti narudi nakuta wale majamaa wamelifunga.
Nikaanza zozana nao wao jibu wanalonipa kamwite mwenye gari. Yani kila nalowambia wananiambia mwenye gari atalipa we unahangaika nini kamwite mwenye gari, dah ila mwisho nikampa 20,000 akalifungua nikasepa.
Mara nyingine nilikuwa pitiliza mataa wakati taa zimezuia, kumbe mbele kuna traffic, akandaka. Akaanza kunisngekuwa na boss wako usingefanya hivi na maneno mengi. Baadae, akaniomba leseni na kadi ya gari nikampatia akakuta kadi ya gari ina jina sawa na leseni. Akasema kumbe gari lako nikamjibu ndiyo, akaishia kucheka akasema yani watoto wa kishua bwana mnakula maisha kwa pesa ya baba zenu. Mimi nikacheka tu akaniandikia faini nikasepa huku nikiwaza ungejua mimi mpambanaji tu.
Mara nyingine niliacha gari lilikuwa na matatizo na mimi nina haraka nikalipaki pembeni ya barabara nikachukue boda boda, kumbe huku nyuma askari wakapita lipo, wakapita tena lipo ikabidi watanaze times ambaye katelekeza gari akalichukue mimi sikuwa na habari. Narudi baadae kulichukua nikiwa na fundi, gari silioni, namuuliza muuza matunda ndiye akaniambia wamelibeba wamelipeleka kituo cha polisi cha kawe. Kesho yake naenda kawe mkuu wa kituo akawa ananizngua kuwa nikamtafute mwenye gari, mpaka nilipofungua nikamwonyesha kitambulisho na kadi ya gari majina yana match. Aliniambia tu niwalipe waliolivuta nisepe tu.
Yani mimi nina mwili mdogo kama wa Mrehemu Ruge Mtahaba, nakutana ma mazarau sana maana hata nikivaa suti haikai ni kama imetundikwa tu.
Sasa kivumbi uwe na mwili mdogo na mfupi, huaminiki hata kidogo.
 
Sasa kivumbi uwe na mwili mdogo na mfupi, huaminiki hata kidogo.
Mimi siyo mfupi ila mwili mdogo tu hata nikutanena mtu tuliyekutana naye miaka 15 iliyopita ataniambia yani niko vile vile. Nina mtoto wa kike watu uwa wanapata shida kuamini kwamba ni mwanangu japo bado mdogo wanahisi labda mtoto wa ndugu yangu. Hata shuleni walimu wake wasionifahamu uwa wanashangaa waakisikia ananiita baba.
 
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.

Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiiiiiiiiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.

Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale obey waniambie Wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
Hahahaaa we ni kauzu zaidi ya mkuda
 
Back
Top Bottom