Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji86][emoji86]pole mkuu
 
[emoji23] [emoji23] safi mkuu dawa dawani tu
 
Faida za kumheshimu kila mtu ni nyingi kuliko hasara.
 
Hahahah sawa Mr.Kuku
 
Kuna siku nipo nilikuwa sina kazi nyingi ofisini nikatoka nje hivi nikamweleza PA wangu nipo nje nachukua Juice Fresh kutoka nje kuna gari limeingia Parking kwa speed kidogo liniingie miguuni jamaa hawakuwa na hekima walinitusi Mpuuzi wewe...nimerudi Ofisini naambiwa na PA wangu Meneja kuna wageni wako nikawaruhusu waingie nakuta wale jamaa walionitusi nikawakaribisha na sentensi fupi 'Karibu ABSA' wanageuzageuza nyuso zao hawajui waanze vipi.
 
Uzi huu haujautendea haki maana gari ulilokuwa nalo lilikuwa la kuazima.
 
Mwanamke utabaki kua mwanamke tu wala usihangaike kujitutumua.
 
billnass atakuzingua mkuu.
 

Hahahaha noma
 
Yess madame mmoja hivi alikua na home theater iliunguaga zamani
Nkamwambia niletee niifume kwa mfumo wangu itadunda fresh tu.....akawa ananipimiaaa ,Kama hatak Kama anataka,,,, anyways kanipa
Nikasuka transformer,nkaja circuit ya ndani

Alivoikuta inadunda hakuamini
Akachomoa 200000 pale pale


Of course Kati ya machine zangu zakusuka Ile Ina sound good Sana
Nadhan kwasababu ya speaker zile na box design
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…