Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Simple tu mavazi ndio njia pekee ya kujitambilisha kwa watu wewe ni mtu wa aina gan bila kutumia cheo wala mdomo wako
 
Ndio maana siku zote naheshimu code za maeneo kila eneo lina code zake
 
Ungevunga baada ya kutambuana. Ungechukua point tatu vyema, kabisa. Badala ashoboke yeye ukashoboka tena kwa mara ya pili.
This is the best sigma comment ever.

Mwanaume mwenzetu hakujua acheze vipi hiyo scenario.
 
Japo sijaelewa story ila alivyotaja mwenyewe ulitakiwa uwe Cool usingemuuliza mwenyewe ndio angejiuliza mbona mwamba haja give fuc***k ndivyo Gentlemen anavyofanya
Mate nilitafuta sana comment kama hii.

Mtu akijifanya anakujua usiulize kakujuaje,kitendo cha kuuliza tu unapunguza vyeo vyako,akijifanya anakujua na wewe unajifanya unajua kama anakujua so unapiga kimya mwishowe unakuwa umemzidi kete.
 
[emoji3257][emoji3257][emoji3257]
 
Kuna demu fulani tulikutana Masaki(Chole road) nipo very normal. Daaaaah yule demu si akajua kuwa nafanya kazi ya usafi hapo ofsini kwetu.Siku anaujua ukweli nilishitukia nipo nae magetoni.
Sijui wadada wanafeli wapi kwani mifano hii kila siku inasemwa humu ila hawajifunzi, I do know why.
 
Hapo kwenye red ni vigumu sana kwa Wanawake kukuekewa kwani wao mara zote wanatekwa na muonekano wa nje yaani mavazi, vyombo vya usafiri n.k. wanasahau kuwa hivyo vinaweza kuwa ni vitu vya kuazima tu ili muazimaji atimize lengo lake alilo likusudia.
 
Ungevunga baada ya kutambuana. Ungechukua point tatu vyema, kabisa. Badala ashoboke yeye ukashoboka tena kwa mara ya pili.
Kuna jambo nilitaka kumuambia ila bora umegusia. Ukishaona dem analeta mashauzi na ww unajiamini upo tofauti kausha hizo mambo za unanikumbuka ni ushamba na kujishusha kwa dem.
 
Nimeipenda!
 
Huyo katibu mkuu nae atakuwa siyo mstaarabu tu. Kusalimia watu kwake ni shida? Ni mmoja wa wale waliolewa madaraka.
Hao wadada walijionesha kuwa hawajaelimika!

Hawaijui hata ile kauli mbiu ya "mteja ni mfalme?"
 
Safi🙏
 
kunasiku nilipomaliza chuo(unesi) nilienda kufanya kazi ya kuchuma chai pale njombe(luponde) sasa kuna kiongozi mmoja alikua ananinyanyasa sana kosa dogo tu ananikata kilo za chai sasa nilipomaliza mkataba nikawa najitolea hospitali moja bwana we kuna siku nilikua nagawa dawa za kufubaza nakaona mwamba huyu hapa mara nampa ushauri nampima uzito aloo alisa aman kabsa
 
Mshukuru Mungu!
 
✅🙏
 
Hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…