Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ungevunga baada ya kutambuana. Ungechukua point tatu vyema, kabisa. Badala ashoboke yeye ukashoboka tena kwa mara ya pili.
...mmmm, hukutakiwa kumshobokea tena! Ulitakukiwa ujikaushe Fulani hivi kama hujapata kumuona, yeye ndiye akushobokee!
Hukuucheza mchezo kiume inavyotakiwa, Mkuu![emoji16][emoji16]
 
Ulitakiwa ule ganzi sio kujisogezasogeza tena kwake
 
Oprah Winfrey aliingia duka moja Ulaya sikumbuki it was Italy or what(wedding ya Tina Turner ilikua nchi gani?) na kuulizia pochi fulani mhudumu akamwambia 'thats too expensive'!!...akakomaa nae kweli hakumpa aione,.ikabidi aondoke tu

iligeuka news BBC nk ndo mmiliki kujitetea tetea but wote tunajua Oprah wasnt lying.,hasa bcz she black
 
Hakuna anaekulazimisha kusalimia. Lakini ustaarabu wa mtu uanzia hapo kwenye salaam. Ukisalimia utapoteza nini na utatumia masaa mangapi?
Ukililia salamu utapata faida gani? Tangu uanze kusalimiwa ushaongeza nini, kama ni ustaarabu wako unataka kuufanya uwe ustaarabu wa wengine. Mi sipendi masuala ya kulilia salamu wakati huongezeki chochote kile. Nikija nikakusalimia sawa na isipotokea ni sawa pia.

Yani mtu anaajiriwa na boss kampuni binafsi kisha unalilia salamu.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] We ni kauzu naona dagaa anasubiri
 
Hizi story zinafurahisha

nna kawaida ya kutreat watu either kwa heshima au neutral tu..sina kawaida ya dharau

siku moja nlikua kulipia vitu pale kwa cashier supermarket mbele yangu yupo Mh flani hivii.,zama za barakoa sikumjua and i didnt care niko tu nawaza ishu zangu.....akaweka vitu akawa kasahau kingine akarudi kufuata kistaarabu tu nikaweka pause kidogo nikamsubiria akarudi akaendelea na foleni yake hakuchukua muda hata hivyo;ile tunatoka ndo mwenzangu ananiambia Mh flani huyo hujamjua tu?.was likee woooo ningemsemea vibaya kwny foleni palee😅 ama ningefanya anythng disrespectful?.

nikazidi jifunza niendelee tu kuheshimu watu wa rika zote na jinsia zote bila kujali
 
Chalii ni gari gani hiyo unasumbua macho ya watu na jinsi ulivyo?
 
Na una bahati ungemletea madharau ya mdomo hiyo kesho yake angetoa pesa na kichapo ungechezea
 

Mara nyingi salaam hutegemea mahala na wakati, mfano leo hii katika uwanja wa Jamhuri Dodoma tufanye JPM akimpa shikamoo Harmorapa hakuna wa kushangaa tofauti na endapo leo hii akiwa Chamwino Ikulu akafanya hivyo itakuwa ni habari ya dunia mzima tena front page!
 
Basi huu uzi utakavyowasimanga wadada huu!!!
Kwani hujui wadada wanatuchukukia poa mpaka wajue mfukoni mwako kuna nini...

Kuna kale kamsemo ka wahenga "hapendwi mtu hapa inapendwa pochi yako"
 
Sio poa yaani.......
 
Huyo dada alikua right kabisa, wakati mwingine mtu ana mawazo yake anaenda sehemu tulivu peke yake ili arefresh mind, sasa wewe kwenda kuhitaji kampani lazima iwe kero,

Pia labda kuna mtu alikua anamsubiri, lakini zaidi mkishaona mwanamke amekaa sehemu basi mnajua yupo mawindoni mnajisogeza, haina heshima.
 

Haswa wadada wengi sana wana tabia ya dharau, na kumuona MTU si chochote si lolote, sijui kwanini LadyRed
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Umezingua sana ,kiini cha story ndiyo umekiacha pending, hebu weka sawa hapo ulipotambulishwa kwa staff kuwa ndiyo manager mpya ungemalizia tu yaliotokea
 
Kwa kuwa hukuweka madharau uli mchallenge tu, hata ingekua mimi nisingekufanyia kinyonge sometime boss anataka mtu anae challenge sio umekaa kiboya boya tu
 
Bora ubaki na mwili huu huu
Ukinenepa unakaribisha maradhi
 
hii iliwai nikuta bagamoyo nimeenda kuichakata pisi yangu moja tamu sana rangi kama wale watoto wa Brazil kule hotel ni millennium sea breeze resort nililala room ya laki mbili sasa asubui nimeamka na demu wangu tumeenda kunywa chai jamaa wakawa wanatuuliza mmelala room gani nikawaonesha na walituona wakati tunashuka toka room jamaa bado wakawa wanaleta dharau wakasema tukalete kadi ya kufungulia mlango tukaleta eti ndio wanaamini wanaanza kushoboka na kutuudumia vizuri nili boreka sana na hotel haikuwa na watu wengi sasa sijui kwa umri wangu walijua siwezi ku afford iyo room wakati nilikua na milioni tisa ya kula bata kwenye akaunti niliwazarau sana wale jamaa watu maskini sijui wana mentality gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…