Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
😂😂😂😂😂Kuna shida hapo either unashindana na wanaume uonekane mko sawa. Na ilhali unakojoa umechuchumaaa na mwanaime amesimama. Yaani hautaki kukubali kuwa mwanaume yuko juu yako. Labda ka elimu ulikopata kanakupa ujasiri na unajiona kama laweza kuoa mwanaume.
Yaani sijui kama utadumu na mwanaume .
Labda uoe umuweke mjini ila ukiolewa sidhani
Am sorry ila ni mtizamo wangu.
Kuna footballer mmoja maarufu Sana aliwahi kucheza timu ya aseno(jina limenitoka) nadhani timu yake ya taifa ni Sweden.Kuna manager wa hotel fulani kubwa tu. Alitusimulia kuwa siku moja akiwa ndio manager wa zamu akaitwa na muhudumu wa mapokezi shida ikiwa kuna mgeni kachoka choka hivi lakini anahitaji room ya bei mbaya pale hotelini.
Sasa muhudumu wa mapokezi akamwambia mgeni mchovu angoje kidogo akamuonyesha na pa kupumzikia ili amuandalie hiyo room uku ikiwa ni kupata muda ili amwambie manager kuhusu kumpa chumba cha bei mbaya jamaa.
Manager kumuona mgeni alivyo ikabidi aende kuongea nae.mshtuko ukampata baada ya mager kujitambulisha jamaa nae akajitambulisha jina ndipo akajuwa jamaa ni footballer mkubwa tu duniani na jezi aliyovaa juu ni ya timu yake ya taifa.mara moja akapewa room bila hata maswali mengi.
Huwezi kumzidi mtu kwa kila kitu, tambua hilo😂😂😂😂😂
We kaka upo dark ages au?
Umenichekesha mnooo. Sasa mtu kama wewe hatuwezi kulingana kwasababu nimekuzidi kwa kila kitu.
Na kama unataka kuniaminisha kuwa uanamke ni udhaifu, kanye ulale.
Eti mtu mzima una kuja hapa na hoja za vikojoleo 😂😂😂😂
Kuwa smart ni kama kipawa mkuu si kila mtu anazaliwa nacho. Kuna mwingine hana kitu lakini mara zote kapendeza.Sasa mkuu uko BOT halafu unavaa tshirt chakavu za mtumba na pensi. Lazma uonekane kibaka tu! Dada alihisi utamuibia iphone ake 🤣!!!
Lol...ukiwa mjini hapa jipende. Kuwa smart vaa vizuri, japo sio lazima uwe tozi ila atleast vaa ki bro simple tu! Saa kali, sandals au lightweight shoes outfit bomba tu... Dar kuna maduka mengi mno kiasi kwamba ukishindwa kuwa smart utakuwa na tatizo mahali. Usisahau kunukia
Kama nakuona vileMimi uzuri nna adabu simdharau mtu kwakweli ila kuna Mtu aliwahi kuvuka matarajio yangu yani sikutegemea.
Maana jamaa alitaka nikamfanyie kazi fulani akanambia niandike namba aatanicheki anatumia Tecno S series😂 nikadharau nikajisemea huyu nae nani🤣,siku ya kazi kaja kunichukua Offisini na Range rover sport anaishi Cliffside resiidence toure dr hakuna kazi nililipwa kama hio mtu unafanya kazi huku unakunywa Moet Chandon Shampaigne
Wakati mwingine unajitoa ufahamu kidogo ili kujua tabia za watu wako..Hizo mbinu za mtu mkubwa fulani kuvaa kama mwananchi wa kawaida na kuingia sehemu fulani wakati mwingine utumika kupatia umaarufu tu na hakuna lolote. Mwaka fulani waziri fulani ambaye kwa sasa ni marehemu aliwahi kutinga pale Ubungo bus terminal akiwa kavaa kama mwananchi wa kawaida tena kichwani kavaa pama hilo hilo ulilolitaja. Zaidi ya kusikika kwa tukio hilo hakuna chochote kilichoboreshwa pale stendi. Lakini je, mwananchi wa kawaida uwa hasalimii watu?
Katibu MKUU nae kilaza sana huyoJuzi tu NMB Dodoma:
Jamaa flan kavaavaa tu afu na midevudevu hivi
Kaenda NMB ATM kakuta na wadada wa benki wameweka meza ya kutoa huduma kwa wateja pemben hapo. Akafika tu kauliza (bila hata kusalimia).....kwanini kadi yangu inakataa kuniunganisha NMB mkononi
Dada kamjia juu...."kwanza salimia;...vipi habari za huko,...haya tukusaidie nini??"
Jamaa hakupokea. Mie nawaangalia tu.
Dada karudia tena ...."vipi mzima mwenzetu?? Za ulikotoka??!.....mbona umekuja kasi sana??!"....
Jamaa anaeaangalia tu. Mara akauliza...."ivi ni lazima kusalimia/ au kupokea salam ya mhudumu ili nipewe huduma NMB???...
Wakaanza kumshangaa ..."unatokea wapi wewe, yani unakuja kuvamia tu bila kusalimia..." ....wamamzodoa flan.
Jamaa akaingia Benki ndani. Straight kwa Meneja. Nafkiri hakueleza shida aliyopata nje. Alimueleza tu kama kutaka kusaidiwa shida yake. Sijui ndani waliongea nini??
Wametoka na meneja...hadi pale ATM kwenye meza ya wale wadada....meneja akiwa kashika mkononi kadi ya yule mshua....akawambia wale wadada mmoja wao (sikumbuki jina)...
Meneja: .....hebu msaidie Katibu Mkuu hapa kumuunganisha na NMB Mkononi...(Meneja akaongeza:....mkuu hapa utahudumiwa)...mara meneja katuomba wote wa kwenye foleni ya ATM..."naomba ndugu tumpishe kiongozi anajambo kidogo kwenye ATM ...samahani"...wakaingia ATM meneja, mshua na yule dada.
Wakafanya mambo humo ...kidogo wakatoka. Tukaendelea.
Meneja akamsindikiza yule mshua hadi kwenye gari akaondoka meneja anapunga mkono.
Niliwaangalia wale akina dada mavi yalivyowagonga chupi. Walitoa macho sana wakawa na wasiwasi mkubwa....
Walimchukulia poa
Wanawake walosoma na watumishi wana changamoto sana,wengi wao huachika baada ya kuolewa ndani ya miaka 10 ya ndoa....Kuna shida hapo either unashindana na wanaume uonekane mko sawa. Na ilhali unakojoa umechuchumaaa na mwanaime amesimama. Yaani hautaki kukubali kuwa mwanaume yuko juu yako. Labda ka elimu ulikopata kanakupa ujasiri na unajiona kama laweza kuoa mwanaume.
Yaani sijui kama utadumu na mwanaume .
Labda uoe umuweke mjini ila ukiolewa sidhani
Am sorry ila ni mtizamo wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Daah,buku tano bila hata ya kutoleaMi kuna manzi mmoja katika harakat za kusaka tonge ikatokea tuna mawasiliano na yalikua strictly kikaz zaid cz wao walikua na ma distributor wa products flan hiv za security na mi nikawa moja ya wateja wao.
Sikua namjua kiundani na mawasiliano yetu yalikua nadra sana ile kikaz kaz na mazoea kwa mbaaaali.Status zake watsap na view na yy zangu anaziona.Kwakua napenda muzik basi alikua ananikosha kwa baadh ya vi clip anavyotupia mara moja moja sana navi comment.
Siku moja nikawa sina ishu kabisa job na niko bored na bahat mbaya sana akaweka status ilonivutia basi kama kawaida nika comment (yy zangu huwa ha respond japo hizo mara moja moja sana naziweka) basi aka respond finaly tukaanza kuchat.
Tukachat mara ujinga ukaingia humo ndani na u cant believe siku hiyo hiyo nikamgonga mzigo vizuuri tu kiroho safi.
SASA iko hiv,
Ofcz mm nilimchukulia poa kumbe hayuko hivyo.Anajimilikia ka usafir kake mwenyewe kazur tu (mi zangu daladala so mpaka nampanga akajaa nikajua na yy wa level zangu [emoji16][emoji16][emoji16]). Mida tunakutana ndio nikalijua hilo,nikapiga mzigo na kwa aibu nikamshikisha 40k ila manka yule akazikataa kata kata.Nikaona oohoh leo nimepima vibaya kumbe na yy akanichukulia mambo safi hela ninazo asijue mimi ni bahili kishenzii [emoji23].
Sikua na mpango na game tena na yy akanitengenezea mazingira next week yake nikagonga tena.Ohoooh sijui alijua na leo nitapanda dau tena!!!!???. WAPII.
kesho yake akapiga mzinga nikachomoa..
Week ijayo yake akani set tena Shi 100 mfukon sina.
Kwa mara nyingine akani text "leo ninw hamu kitimoto, ningepata kilo 1 jion yangu ingeisha freshi." Nikaona isiwe kesi nikamtumia 5000- elfu 5 [emoji4] bila ya kutoleo.AKANIPOTEZEA MAZIMA hata message za kikazi hajibu tenaa..
Baadae saaaana huko akajaga ni text, HUENDANI KABISA NA UNAVYOONEKANA. WW BAHILI SANA.
Kwa kifupi alinichukulia nina hela kumbe njaa tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
View attachment 1551569View attachment 1551569
Usikute hata ni mnyakyusaKuna shida hapo either unashindana na wanaume uonekane mko sawa. Na ilhali unakojoa umechuchumaaa na mwanaime amesimama. Yaani hautaki kukubali kuwa mwanaume yuko juu yako. Labda ka elimu ulikopata kanakupa ujasiri na unajiona kama laweza kuoa mwanaume.
Yaani sijui kama utadumu na mwanaume .
Labda uoe umuweke mjini ila ukiolewa sidhani
Am sorry ila ni mtizamo wangu.
Sasa kivumbi uwe na mwili mdogo na mfupi, huaminiki hata kidogo.Mimi kuna siku tena ni zaidi ya mara moja inanitokea, mara ya kwanza ilikuwa pale nje ya wizara ya ardhi niliegesha gari pembeni nikanunue gazeti narudi nakuta wale majamaa wamelifunga.
Nikaanza zozana nao wao jibu wanalonipa kamwite mwenye gari. Yani kila nalowambia wananiambia mwenye gari atalipa we unahangaika nini kamwite mwenye gari, dah ila mwisho nikampa 20,000 akalifungua nikasepa.
Mara nyingine nilikuwa pitiliza mataa wakati taa zimezuia, kumbe mbele kuna traffic, akandaka. Akaanza kunisngekuwa na boss wako usingefanya hivi na maneno mengi. Baadae, akaniomba leseni na kadi ya gari nikampatia akakuta kadi ya gari ina jina sawa na leseni. Akasema kumbe gari lako nikamjibu ndiyo, akaishia kucheka akasema yani watoto wa kishua bwana mnakula maisha kwa pesa ya baba zenu. Mimi nikacheka tu akaniandikia faini nikasepa huku nikiwaza ungejua mimi mpambanaji tu.
Mara nyingine niliacha gari lilikuwa na matatizo na mimi nina haraka nikalipaki pembeni ya barabara nikachukue boda boda, kumbe huku nyuma askari wakapita lipo, wakapita tena lipo ikabidi watanaze times ambaye katelekeza gari akalichukue mimi sikuwa na habari. Narudi baadae kulichukua nikiwa na fundi, gari silioni, namuuliza muuza matunda ndiye akaniambia wamelibeba wamelipeleka kituo cha polisi cha kawe. Kesho yake naenda kawe mkuu wa kituo akawa ananizngua kuwa nikamtafute mwenye gari, mpaka nilipofungua nikamwonyesha kitambulisho na kadi ya gari majina yana match. Aliniambia tu niwalipe waliolivuta nisepe tu.
Yani mimi nina mwili mdogo kama wa Mrehemu Ruge Mtahaba, nakutana ma mazarau sana maana hata nikivaa suti haikai ni kama imetundikwa tu.
Mimi siyo mfupi ila mwili mdogo tu hata nikutanena mtu tuliyekutana naye miaka 15 iliyopita ataniambia yani niko vile vile. Nina mtoto wa kike watu uwa wanapata shida kuamini kwamba ni mwanangu japo bado mdogo wanahisi labda mtoto wa ndugu yangu. Hata shuleni walimu wake wasionifahamu uwa wanashangaa waakisikia ananiita baba.Sasa kivumbi uwe na mwili mdogo na mfupi, huaminiki hata kidogo.
Hahahaaa we ni kauzu zaidi ya mkudaKuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.
Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.
Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiiiiiiiiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.
Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale obey waniambie Wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
Mkuu ndo uwezo ulipoishia pale.[emoji23][emoji23][emoji23]Daah,buku tano bila hata ya kutolea
Sawa,,lakini kwanini yeye alihisi vumba unalo??..Mkuu ndo uwezo ulipoishia pale.