Unajua pale kibaruan nafasi yangu ya kazi ilikua inanifanya mm ndio naonekana kama mmiliki as i was the main man front kupambana na hiv vimiradi vya hapa na pale (juz nili comment kwenye uzi wa "ulishawah tapeliwa na mtu wa karib yako" ).Sawa,,lakini kwanini yeye alihisi vumba unalo??..
Nimecheka kwa sauti hakika! Walikomaje??Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.
Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.
Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiiiiiiiiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.
Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale obey waniambie Wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
Sio kuwasimanga ndio uhalisia huo... Nakumbuka nilienda duka moja la dawa kubwa tu kuulizia dawa flani hivi.. nikafika nikamsalimia anaitikia kama hataki. Nikamuulizia jina la dawa akanitajia na bei ilochagamka kwa kweli, Kwa jinsi nilivokuwa nimevaa ni kawaida tu basi alidhani sitoweza kununua akashangaa tu nafungua mkoba nampa hela yake na ghafla akaanza kunichangamkia na mie nikampuuza tuBasi huu uzi utakavyowasimanga wadada huu!!!
Ilikua Switzerland chief.Oprah Winfrey aliingia duka moja Ulaya sikumbuki it was Italy or what(wedding ya Tina Turner ilikua nchi gani?) na kuulizia pochi fulani mhudumu akamwambia 'thats too expensive'!!...akakomaa nae kweli hakumpa aione,.ikabidi aondoke tu
iligeuka news BBC nk ndo mmiliki kujitetea tetea but wote tunajua Oprah wasnt lying.,hasa bcz she black
Kaacha kiini,inabidi jamaaa arudi aelezee vizuri kilichojiri[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Umezingua sana ,kiini cha story ndiyo umekiacha pending, hebu weka sawa hapo ulipotambulishwa kwa staff kuwa ndiyo manager mpya ungemalizia tu yaliotokea
😂😂😂Mm miaka hii nimeanzisha michezo ya kizungu. Nikiwa na mihadi na mtu nionane nae namuelekeza aje sehemu ya kulia chakula hotel kubwa kubwa nikifika kule naagiza kisosi kidogo cha mboga za majani au kikombe cha maziwa na yai moja la kuchemsha hapo najua hata 10K haifiki. Mda huo chai inachemka nachukua sim naanza kuchambua timu za kubet huku namsubiri best yangu aje. Basi wahudumu wanajuaga huyu jamaa mnyamwezi au kaishi sana mbele, kumbe nawaangalia wazungu Instagram alafu naigiza.
Kuna siku mteja wangu kanipa oda ndefu kidogo nikamwambia namtuma kijana wangu alete na bodaboda jamaa akasema sawa nitaacha maagizo kwa mlinzi. Baadae nikaamua ngoja niende mwenyewe ili nionane nae mteja mkubwa. Nikafika getini mlinzi akanipeleka hadi ofisini kwa jamaa. Nikamsalimia akaitikia akaniwahi 'boss wako mgumu sana kwenye bei lazima atakuwa Mchagga ila namkubali sana amenyooka hana konakona' dah nilibaki nacheka sikumwambia kama ndio mimi akanikabidhi malipo nikaondoka.Hizi story zinafurahisha
nna kawaida ya kutreat watu either kwa heshima au neutral tu..sina kawaida ya dharau
siku moja nlikua kulipia vitu pale kwa cashier supermarket mbele yangu yupo Mh flani hivii.,zama za barakoa sikumjua and i didnt care niko tu nawaza ishu zangu.....akaweka vitu akawa kasahau kingine akarudi kufuata kistaarabu tu nikaweka pause kidogo nikamsubiria akarudi akaendelea na foleni yake hakuchukua muda hata hivyo;ile tunatoka ndo mwenzangu ananiambia Mh flani huyo hujamjua tu?.was likee woooo ningemsemea vibaya kwny foleni palee😅 ama ningefanya anythng disrespectful?.
nikazidi jifunza niendelee tu kuheshimu watu wa rika zote na jinsia zote bila kujali
Aiseee,na wote wakapata adabuKuna footballer mmoja maarufu Sana aliwahi kucheza timu ya aseno(jina limenitoka) nadhani timu yake ya taifa ni Sweden.
Huyu jamaa, Kuna stories nilipata kusimuliwa Kuna siku alienda mgahawani huko kwao, Sasa alivyofika wahudumu hawakumtambua wakawa wanamchukulia poa. Kile kitendo kilimkera Sana, kwa hasira akaamua kuununua ule mgahawa fastaaa
Wale house mates walivogundua sikujali nilienda nao poa tu walijua huwa sijali mambo madogo na kuna jamaa mmoja nilimchukuaga kama sales officer maana nafasi hizo nilikua naajiri mwenyewe 1 year contract renewable na hakuniangusha akawa anafanya vizuri tu mpaka akagrow kuwa relationship officerwalivyojichekesha ukarespond vipi?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] alikuwa hajibu salamu zako au..?nakumbuka kuna kidemu kilikua kinanidharau sana enzi hizo bush, basi nilivyomaliza shule pale kijijini nikaondoka kwenda Dar kwa kaza ikapitwa miaka 4 nikasikia kapewa mimba na aliyempa mimba nimshikaji niliesoma naye na alipewa mimba akiwa bado anasoma, basi kwakuwa jamaa nayeye alikua na ndg Dar ikabidi wakimbilie Dar es salaam kwa ndg wa mshikaji baada ya mwaka mmoja kupita ndipo wakasahauliwa waende hospital kwa kwa ajili ya kufanya uzazi wa mpaka na hospital ilikua maeneo ninayoishi basi mshikaji ndg yake akamwambia nenda utamkuta rafiki yako uliesoma naye akuelekeze bwana weee
si wakaja mpaka home yule demu hukuamin kama ndiyo mimi aliekuwa ananidharau kule bush basi nikawasindikiza mpaka hospitalini kisha tukarudi nikawapeleka mpaka stendi yule demu nafsi ilimsuta sana mpaka aliamua kunitumia sms akisema kweli nimeamini usimdharau mtu ktk hii Dunia nilikuwa nakuchukulia poa poa kijijini leo unaijua mitaa ya Dar kiasi hiki na umetupeleka mpaka hospitali
aliishia kusema nisamehe, nami sikumjibu maskini.
mimi nipo tofauti naheshimu kila mtuSisi wengine kumdharau mtu kunakuja Automatic. Sio mpaka uvae vibaya sijui ufanyeje.
Na kumheshimu mtu kunakuja Automatic. Sio mpaka uvae vizuri.
Mimi moyo wangu ukinituma nikudharau nitakudharau bila kujali nafasi yako.
Huwezi heshimu kila mtu, huko ni kujidanganya
Huwezi dharau kila mtu.
Hivyo acheni kutishia watu. Kama unadharaulika kuwa mpole, jua kuna watu wanakuheshimu.
Usitake kila MTU akuheshimu, Wewe nani bhana
mzee inaonekana wewe bishoo sanaSasa mkuu uko BOT halafu unavaa tshirt chakavu za mtumba na pensi. Lazma uonekane kibaka tu! Dada alihisi utamuibia iphone ake [emoji1787]!!!
Lol...ukiwa mjini hapa jipende. Kuwa smart vaa vizuri, japo sio lazima uwe tozi ila atleast vaa ki bro simple tu! Saa kali, sandals au lightweight shoes outfit bomba tu... Dar kuna maduka mengi mno kiasi kwamba ukishindwa kuwa smart utakuwa na tatizo mahali. Usisahau kunukia
mimi mwenyewe sinaga mambo ya kusalimiana na watu nisiowajua hata wasiponsalimia poa tu ila sasa watu watakuona una dharau kumbe ni vile tu hupendi shoboBinafsi huwa sipendi MTU anayependekeza salamu. Ujue salamu ni aina ya malipo ama kumnunua MTU moyo wake ili akusaidie kitu Fulani. Ina mana bila ya salamu husaidiwi.
MIE hata ukinipita bila ya salamu afu unarudi umepotea njia nakuelekeza kiroho safi na hata ukinisalimia kama kuninunua ili ndipo nikuelekeze MIE naipotezea salamu yako na kama Nina muda nakupeleka mpaka unakoenda.
Warusi ukiwauliza kitu afu wakakusaidia na ukiwashukuru wanaikataa shukrani yako kwa kuuliza ya nini iyo shukrani. Ina mana wako willing kukusaidia bila hata kuwalipa.
Sasa bongo ndipo utashangaa MTU anakomalia salamu utadhani itamuwekea chakula mezani.
Binafsi sipendi kusalimiwa naonaga kama ni utumwa Fulani yaani ni lazima usalimie kila asubuhi. MIE wangu aishanielewa hakuna salamu hata kama nikitoka kwa wiki nzima. Nikirudi unapita muda kidogo tunaanza story za huku home na huko nilikokuwa.
Wazazi wangu hawakuwa watu wa kudemand salamu kila siku asubuhi. Ilikuwa ni kuamshwa kuwahi shambani basis.
Mpaka umri huu huwa nikienda home salamu ni zile siku za ugeni wiki ikishapita hakuna salamu.
Pia siamini kuwa salamu ndio heshima.
Nina imani masikini anapenda sana salamu mana kwa njia hiyo anajisikia faraja sana anadhani naye anajariwa. Masikini ndiye anayetembelea ndugu zake waliofanikiwa na kuwaongelea na kuringishia watu. Kuwa usinidharau yule karibu mkuu ni mdogo wangu nimemsomesha MIE. Ni kama Mwita weitara akasomeshwa na kaka yake aliyekuwa nauza mayai hapo kipunguni saivi sijui wanakaa kivule.
Ni mfano tu nimetolea hapa kwa karibu mkuu.
Salamu ni muhimu ila isiwe lazima jamani .yaani kuna watu wanaifanya kuwa basic needs kwao.
Binafsi nikiwaga home kwetu huwa siishi kwa furaha mana kila unayepishana naye yabidi u pay attention kwake na umpatie salamu tena usimame mpige story kidogo.sasa ole wako uje upite usalimie ukipunga mkono nakuambia ,Fulani anaringa kisa akasoma ,ama ana Hela.
Ila nikiwa town salamu sio lazima naishi kwa Uhuru hakuna MTU anayejiliza kuwa umetupita bila ya salamu rafiki.
Binafsi kunyenyekea ama kunyenyekewa sipendi.
Haya shikamooni wana jf wote waliozaliwa 65 kurudi nyuma. Wa 66 mpaka 1990 mambo vipi. Waliozaliwa 90 mpaka 2020 mnipe heshima Yangu
Unadhani kwa salamu Umepata nini katika maisha yako hata nisingekusamia si ungebaki na shida zako zilezile ama kuna kitu kimeongezeka.
Binafsi I hate salamu ingawa ni opener ya maongezi. Kuna watu naowakubali sana binafsi unamuuliza MTU kitu anakujibu mwishoni unashukuru na kumpatia salamu yake unasepa. Watu wa ivyo huwa naowanga ni matajiri rohoni kwao ni matajiri rohoni mwao!!!!!