Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hawezi kusema...dadisi huku unaignore kila unalohisi litakuvuruga.mi nishamuulizaga mara kibao tu kuhusu mwanangu..ila hanipagi jibu .ngoja nijaribu kudadis hilo.
Alibadilika taratibu ila kuna matukio alishanipiga huko nyuma aisee yanasikitisha zaidi
Atarudi yakizidi tafuta wahenga unaoamini watakupa mwafaka.