Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Link story ya Mercy
 
Kudadeq....viatu ni vizito hivyo
 
Very interesting story....but sad at the same time....Every step unajishtukia ukIwa tayari umesha haribu..majuto baada ya majuto.
Maisha yanaweza yakukufanyia drama ukachanganyikiwa🥲
 
Nafupisha story, nilibahatika kumpata upendo wa kweli kwa mary na tulishi kama mme na mke kuanzia tukiwa shule hadi tulipoajiliwa, nikiwa kazini nikapata bikra samira akanishobokea nikamplekea mto. Mary alipokuja kungudua alitaka kujiua, mambo yakawa mengi nikaamua kuhama kikazi toka dar to mwanza,.
Nikiwa mza nikakutana na malaya recho tukaaza naye mahusiano na akanizalia mtoto, alipozaa tu akaniacha na kuendelea na umalaya wake, sa mamamkwe alinipenda akanitunuku mtoto bikra grace. Baada ya recho kujua akaamsha timbwili niko hapa tunasubiri kikao cha familia na mama mkwe.
 
Somo la ufupisho ulihudhuria 😅upo vZuri kiswahili one
 
Huyu atakuwa ni INSIDER katuweka macho toka mwaka jana aisee
 
Na ametuchinjia baharini hajamalizia kaishia patamu hataki kuleta muendelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…