Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Mume wake hana undugu na Afande Nyundo?
 
Nadhani hapa wakulaumiwa ni Patrick kuruhusu Bond ya yeye na mama mkwe

Naona huko nyuma kasema mma mkwe akageuka Kama mma yake mzazi, Huwa inatokea katika maisha unakutana namtu mna bond mwishowe hamuhisi kama nyie sio ndugu Tena, sehemu nyingi nimeona Patrick anamsifia mama mkwe wake kuwa ni mtu mzuri sana na huenda mama sio brave enough kuweza kuwatambua wanaume kuwa wanaweza Fanya lolote katika mazingira haya

Mazoea hutengeneza mapenzi na ndicho kilichotokea kwa Grace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…