The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
- Thread starter
-
- #81
Duuuh sawaa aiseew, kama kwa namna hii nawe ndivyo ulivyo sidhani kama unapataga wagen kwako [emoji28][emoji28]Taratibu zao sasa utalazimisha,wabadilishe kisa unanjaa kapike kwako au kale viepe
Chukulia kesi ya mgeni mkuu, mbona sie Mzee anatengewa pemben sie twala kulalaaWewe Kama NI mtoto wa kishua,mboga 7 draft.hauwezi kuelewa haya malezi.
Yaani wakati tunakuwa ukitaka kumtibua mama nenda mezani kapakue chakula wakati dingi hajala.
Yeaah ni kweliIngekua vizuri kama mshua anatengewa chake pembeni mliopo pigeni msosi, sisi kwetu utaratibu ulikua huo mshua au maza chakula chake kinakaa pembeni mana hii ya kungojea mtu nyie mna njaa kumbe mwenzenu ukute ashakula zake huko wa home mnataabika sio poa kabisa.
Daaah aiseeeeni kweli.tatizo hauwezi kumpangia mama jinsi ya kufanya.kipindi hicho una miaka 10+ .lakini nidhamu hyo imetufundusha kuwa na adabu.
sio watoto wa Sasa hivi akiona tu hotpot anapakua.
Mimi hata niende kwa ndugu siwezi kukimbilia mezani kama mkuu wa kaya hayupo.
Sawa
Yeaap kabisaa mkuuu nikwelii kakaUkitegemea ndugu,,, utakufa kibudu.. - Roma mkatoliki..
Mkuu huo ni uchoyo tu... Vinyesi tu hvo
Wamama wetu wanaogopa unaweza ukapakua vibaya,au kuchukua chakula kingi n.kChukulia kesi ya mgeni mkuu, mbona sie Mzee anatengewa pemben sie twala kulalaa
Sipatagi hata nanikiwakuta vitimbi watakavyo vipata aisee hawatorudi sijui kwanini ninao marafiki wazuri wamenizoea hawaachi kunisaidia naroho yangu ilivyombaya.Duuuh sawaa aiseew, kama kwa namna hii nawe ndivyo ulivyo sidhani kama unapataga wagen kwako [emoji28][emoji28]
Mkuu mfano umepita mtaa anaokaa ndugu yako au rafiki yako, hivi huwez kwenda msalimia kwasabab ya kuogopa kusubirishwa msosi???Kwanza kipi kinakupeleka kwa watu ikiwa mwenye nyumba akiwa hayupo?Ukiwa umealikwa basi mwenye nyumba atakuwepo muda aliokualika.Kukimbilia vyakula vya cross ball ndio matatizo yake itabidi usubiri mpaka mwenye cross ball afike.Vingivevyo kula kwako.Ukiwa mgeni kula kabisa njiani.
Duuuh aiseee hizi falsafa kwangu hazi apply yaan nikalishe njaa watu SITA sababu ya mmoja[emoji28]wamama wetu wanaogopa unaweza ukapakua vibaya,au kuchukua chakula kingi n.k
Yaani sio uchoyo Ila NI ile hali ya kumpa baba heshima
mgeni una njaa vumilia au kale kwako.
na Raha ya kula ugenini ule pamoja na wenyeji wako.
Anyway ndege mfananao huruka pamojaa,Sipatagi hata nanikiwakuta vitimbi watakavyo vipata aisee hawatorudi sijui kwanini ninao marafiki wazuri wamenizoea hawaachi kunisaidia naroho yangu ilivyombaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120]Naaga naondoka.
Hata wabembelezaje ili nibaki nakataa
Au la nitaomba wanionyeshe kibanda cha chips nawanunulia nyumba nzima nakaa nakula zangu nasepa.
Huwa siendi kwa watu bila taarifa au kualikwa.Na ili kuthibitisha napiga simu kabla.Kama mwenye nyumba hayupo siendi.Mkuu mfano umepita mtaa anaokaa ndugu yako au rafiki yako, hivi huwez kwenda msalimia kwasabab ya kuogopa kusubirishwa msosi???
Hujawahi sikia ile, fulan kapita hapa hata kuja kutusalimia hakuna
Eti unakuta wageni wanakaa na watoto hadi wanasinzia kisa eti tumsubiri baba arudi ndio wote mle chakula utasema huyo baba kawabebea matumbo Mimi sipendi kabisa watu wenye hii tabia.Utamaduni gan hebu nielezee vizur,utamaduni wa kusubir sijui nani aje ndo chakula kiliwe??
Duuh poleni sanaAsilimia kubwa watanzania ndivyo tulivyo.hauwezi kula kabla ya mtafutaji hajala.
hata kipindi nipo home ulikuwa hauwezi kula kabla ya baba hajarudi.labda ukadokoe jikoni kwenye sufuria lakini chakula kikishatengwa mezani haugusi
Eti unakuta wageni wanakaa na watoto hadi wanasinzia kisa eti tumsubiri baba arudi ndio wote mle chakula utasema huyo baba kawabebea matumbo Mimi sipendi kabisa watu wenye hii tabia.
Unaposema mwenye nyumba unamaanisha Nan, baba au mama, vp kama mama yupo ila baba hayupoHuwa siendi kwa watu bila taarifa au kualikwa.Na ili kuthibitisha napiga simu kabla.Kama mwenye nyumba hayupo siendi.
Wengi hatupendi sema ndotaratibu za wenyej wetuEti unakuta wageni wanakaa na watoto hadi wanasinzia kisa eti tumsubiri baba arudi ndio wote mle chakula utasema huyo baba kawabebea matumbo Mimi sipendi kabisa watu wenye hii tabia.