Ushawahi kukatazwa kula chakula ugenini Hadi baba/mama mwenye mji afike?

Ushawahi kukatazwa kula chakula ugenini Hadi baba/mama mwenye mji afike?

The point is kuona chakula kama ni kitu cha kawaida sio lazima kila anakuja kwangu atoe taarifa labda kapata dharura na sehemu ya kusaidika kaona aje kwangu akifika apewe chochote kilichopo sio eti lazima mwenye nyumba awepo huo ni ushamba wa kiwango cha lami mkuu...wat is food come on ujue nashangaa sana au ni vile nililelewa mazingira ya kwetu hatujawah kupapatikia chakula kwa kweli namshukuru Mungu sana ktk hili...ne you need Jesus[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ptyuuuuuuu
Hivi umeelewa nilichoandika.Ndio maana mnafeli mitihani.Rudia kusoma wewe.
 
Hivi umeelewa nilichoandika.Ndio maana mnafeli mitihani.Rudia kusoma wewe.

Peleka uko nirudie kusoma inanisaidia nn while umeandika utumbo huo utumbo go share na wanaohusudu vyakula wenzio not me and not today..am too smart for that...eti ukienda kwa watu toa taarifa ni watu wangap wanaenda kwa watu bila taarifa lakin wanakutana na familia hazina ushamba wa vyakula..tafuta wa ku argue nae not me..[emoji706]kaa humo
 
Peleka uko nirudie kusoma inanisaidia nn while umeandika utumbo huo utumbo go share na wanaohusudu vyakula wenzio not me and not today..am too smart for that...eti ukienda kwa watu toa taarifa ni watu wangap wanaenda kwa watu bila taarifa lakin wanakutana na familia hazina ushamba wa vyakula..tafuta wa ku argue nae not me..[emoji706]kaa humo
Nani alikuwa ana argue na wewe mshamba. Umezukia kwenye hoja kama zuzu.Nina uhuru wa kutoa maoni yangu.If you do not like it go hang yourself.For me you are just a piss in the Mississippi.Nothing.
 
Nani alikuwa ana argue na wewe mshamba. Umezukia kwenye hoja kama zuzu.Nina uhuru wa kutoa maoni yangu.If you do not like it go hang yourself.For me you are just a piss in the Mississippi.Nothing.

Mpaka unatia huruma yaani hata panik yako inaonesha unavyohusudu chakula maskin pole mno yupo wa kulaumiwa ktk hili sio wewe deal with yo ego ukijaribu kuchunguza wewe ndo ulinizukia kwenye comment yangu kama ushuzi sijui ulinitokea wap maana nilimjibu mwingine ukajakuparamia comment yangu...shame on yu jipange upya na utafute wa ku argue nae huo ujinga na upumbavu wako..not me bi$&@
 
ishawahi kunikuta bahati mbaya sasa nilifika nikawa natakiwa kulala hiyo nyumba.

Usiku utaratbu mpaka mshua arudi, subiri wee njaa inaniuma taarifa ya habari imeisha, Ikaja mizengwe ikaisha, likaja likipndi gani lingine nalo linaelekea kuisha mtu hajafika.

Yalinishinda nikaenda zangu kulala, ile nimefika room napanda kitandani naskia mzee wa nyumba anafunguliwa geti.

Wakaja niiita chumbani "kaka mgeniii njooo mezani tuleee" nikawambia nisubirini Nafanya maombi nikimaliza nakuja.

Nikajinyoosha bed nikauchapa, usiku nikaamka kupta dining nkakuta raia wamekula tayari, nikajisemea kimoyo moyo Hii nyumba sio ya ndugu zangu Hapa nipo kwa wakaanga sumu.

Kesho yake nilivyoondoka sikuaga hata Mende, walishangaa sipo na tangu nitoke hiyo nyumba huu ni mwaka wa 15 unaenda sijarudi na sitegemei na wameshajuaga sababu ni nini ya mimi kutokwenda kwao.

Ukubwani saizi watoto tushakua watu wazima ndio kabisa kila mtu afanye maisha yake.

nilichojifunza ktk maisha Ndugu hawapendi kutembelewa, Kaa tuliza makalio kwenu acha kubenua mdomo huyu cousin angu huyu fyoko fyoko... Undugu mwingi ni wa mdomoni tu.
 
La mwisho ! Tupambane jamani sababu ya yote haya ni UMASKINI hamna kingine.

Maana hotpot ikifunuliwa gombania goli ikianza hati hati ya baba kukosa chakula ni kubwa ndio mana maza ana zuia kwanza beki zitulie mpira usianzishwe.

Lakini ingekua chakula ni cha kusaza sidhani kama hii ingekuwepo.. Tuhakikishe umaskini unaishia kwetu TU.

watoto wetu na vizazi vyetu visiujue umaskini una rangi gani wala ladha gani, Umaskini umebeba tabia nyingi sana ambazo ndio sababu za maisha tuishiyo sasa.

Umaskini Adui yangu namba 1, Hata shetani simchukiii kama ninavyochukia Umaskini.

Kwanza umaskini usingekuepo automaticaly shetani angekua best ake Mungu.
 
Umaskini,ushamba,roho mbaya,uchoyo na umwinyi tu,

Ulitaka kupima tabia za nyumba ya mtu wasome kwenye msosi ukiona wanavijisheria uchwara kama hivyo ujue hao ni wabinafsi Sana na hata hawapendi kutembelewa na ndugu Wala jamaa!

Nashukuru kwetu Kwa bibi ni free lunch yaani inapikwa nguna ya kwenda na kutiwa kwenye gu bakuli Kila mtu atakula Tani yake na kama hujatosheka jiko lipo haijalishi mgeni au mwenyeji kua free unga sio wa kupima ni Kuna gunia na sharti liishe Ndani ya mwezi Mmoja!
 
Kwann huyo mwenye mji asiwekewe kando chakula chake waliopo wale yeye akija atakula alichowekewa. Akiwakuta ndo mnaanza kula atajoin akikuta mshamaliza then atakula mlichomuandalia.
 
Umaskini,ushamba,roho mbaya,uchoyo na umwinyi tu,
Ulitaka kupima tabia za nyumba ya mtu wasome kwenye msosi ukiona wanavijisheria uchwara kama hivyo ujue hao ni wabinafsi Sana na hata hawapendi kutembelewa na ndugu Wala jamaa!
Nashukuru kwetu Kwa bibi ni free lunch yaani inapikwa nguna ya kwenda na kutiwa kwenye gu bakuli Kila mtu atakula Tani yake na kama hujatosheka jiko lipo haijalishi mgeni au mwenyeji kua free unga sio wa kupima ni Kuna gunia na sharti liishe Ndani ya mwezi Mmoja!

I love this safi sana...kwani chakula ni kitu gani bana wape watu uhuru kabisa tena kama kuna ambae hajashiba ingia jikoni pika tena huu ndo utu ndo upendo na familia ya hivi huwaga haikaukiwi baraka hata siku moja..bibi ametisha sana Mungu ampe miaka miaaa[emoji1490][emoji1490][emoji1490]nimependa

Ila kuna jitu moja litakuja hapa kuargue na kutoa comment zake za kilafi na roho mbaya yan utajua tu huyu kwao chakula ni big deal yan wanaona chakula ndo maisha imagine mtu anakua na husda ya chakula[emoji1787][emoji1787][emoji1487]
 
The point is kuona chakula kama ni kitu cha kawaida sio lazima kila anakuja kwangu atoe taarifa labda kapata dharura na sehemu ya kusaidika kaona aje kwangu akifika apewe chochote kilichopo sio eti lazima mwenye nyumba awepo huo ni ushamba wa kiwango cha lami mkuu...wat is food come on ujue nashangaa sana au ni vile nililelewa mazingira ya kwetu hatujawah kupapatikia chakula kwa kweli namshukuru Mungu sana ktk hili...ne you need Jesus[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ptyuuuuuuu
Good, inabidi hao wazazi wako wanilelee na wanangu[emoji28][emoji28] kidding
 
ishawahi kunikuta bahati mbaya sasa nilifika nikawa natakiwa kulala hiyo nyumba.

Usiku utaratbu mpaka mshua arudi, subiri wee njaa inaniuma taarifa ya habari imeisha, Ikaja mizengwe ikaisha, likaja likipndi gani lingine nalo linaelekea kuisha mtu hajafika.
Kweli undugu mwingi ni wa mdomoni, zamani mama alikuwa akinikataza kutembelea ndugu unless tuko nayeye nikawa simuelewi
 
La mwisho ! Tupambane jamani sababu ya yote haya ni UMASKINI hamna kingine.

Maana hotpot ikifunuliwa gombania goli ikianza hati hati ya baba kukosa chakula ni kubwa ndio mana maza ana zuia kwanza beki zitulie mpira usianzishwe.

Lakini ingekua chakula ni cha kusaza sidhani kama hii ingekuwepo.. Tuhakikishe umaskini unaishia kwetu TU.

watoto wetu na vizazi vyetu visiujue umaskini una rangi gani wala ladha gani, Umaskini umebeba tabia nyingi sana ambazo ndio sababu za maisha tuishiyo sasa.

Umaskini Adui yangu namba 1, Hata shetani simchukiii kama ninavyochukia Umaskini.

Kwanza umaskini usingekuepo automaticaly shetani angekua best ake Mungu.
[emoji28][emoji28]kweliii mkuuuu umeongea point sana
 
Umaskini,ushamba,roho mbaya,uchoyo na umwinyi tu,
Ulitaka kupima tabia za nyumba ya mtu wasome kwenye msosi ukiona wanavijisheria uchwara kama hivyo ujue hao ni wabinafsi Sana na hata hawapendi kutembelewa na ndugu Wala jamaa!
Nashukuru kwetu Kwa bibi ni free lunch yaani inapikwa nguna ya kwenda na kutiwa kwenye gu bakuli Kila mtu atakula Tani yake na kama hujatosheka jiko lipo haijalishi mgeni au mwenyeji kua free unga sio wa kupima ni Kuna gunia na sharti liishe Ndani ya mwezi Mmoja!
Kwa bibi raha sana hata kama umeshiba unaongezewa Tena na Tena[emoji23]
 
Kwann huyo mwenye mji asiwekewe kando chakula chake waliopo wale yeye akija atakula alichowekewa. Akiwakuta ndo mnaanza kula atajoin akikuta mshamaliza then atakula mlichomuandalia.
Labda ndo Sheria za mama mwenye mji
 
I love this safi sana...kwani chakula ni kitu gani bana wape watu uhuru kabisa tena kama kuna ambae hajashiba ingia jikoni pika tena huu ndo utu ndo upendo na familia ya hivi huwaga haikaukiwi baraka hata siku moja..bibi ametisha sana Mungu ampe miaka miaaa[emoji1490][emoji1490][emoji1490]nimependa

Ila kuna jitu moja litakuja hapa kuargue na kutoa comment zake za kilafi na roho mbaya yan utajua tu huyu kwao chakula ni big deal yan wanaona chakula ndo maisha imagine mtu anakua na husda ya chakula[emoji1787][emoji1787][emoji1487]
Yule jamaa nimemshangaa , Yuko firm kusupport watu wapigwe stop kusubiriaa mzembe mmoja arudi
 
Back
Top Bottom