Ushawahi kumfanyia mwanamke hii mbinu?

Ushawahi kumfanyia mwanamke hii mbinu?

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Kwa mlioelewa picha! Hii handshake ni kwa mabazazi tu😅😅

FB_IMG_1662621907340.jpg
 
Ya ,zamani sana lakin uwe na uhakika kama Huwa anakuangalia kwa jicho la matamanio au Huwa anakusifia Sifia mbele za wenzake licha ya kutokuwa na mahusiano
 
Matokeo uliyaonaje? Mwenzako nilizabuliwa kikofi kimtindo na sikuambiwa sababu[emoji23][emoji23]
Niliyemfanyia tayari tumezoeana ashajua namtaka nimfamye matusi so akaona mulemule tu ndege ana kiraru Cha genye..kwa manzi mpya labda Cha kienyeji katafurahi hako..
 
Nikiwa chuo nilimfanyia-ga madam mmoja tulikuwa darasa moja ,Mimi fresh yeye kaja kujiendeleza. Alikuwa mtu wa heshima sana ila tukiwa wawili tu (Mimi na yeye) ananiletea mazoea yaliyopitiliza.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikosana na mtu aliona namchukulia poa nanukuu " Alisema hujui kama mie ni mke wa mtu " hakua na pete ila moyoni alikua kishafunga ndoa na mtu.

toka hiyo siku utani wangu kwake ukapungua kwa kifupi huo ni ujinga na utoto fanya kwa mtu wako au ambae unajua ni mwanamke mtani wako kiasi hawezi kufikilia ni ujinga.
 
Back
Top Bottom