Ushawahi kutongozwa na Shoga? Yamenikuta leo wakuu

Ushawahi kutongozwa na Shoga? Yamenikuta leo wakuu

Mimi nimetongozwa sana na mashoga nakumbuka Kenya Ngong hills kuna mwenyeji wangu sikujua ni shoga wakati tumekaa aliibinya mb... yangu,halafu akanitamkia. mifano ming tu

Ila nilichogundua humu JF wameanza mbinu za kuwapata mabasha, kwa nyuzi za ki aina. wako so desparate kutupata sisi ma handsome ambao tupo straight wanabuni mbinu mbali mbali


Thread zozote zinzohusu ushoga MODS hazifai futilia mbali.
Humu jf kama yule jamaa anajiita johnson meck kila kukicha anasifia mashoga tu
 
miaka kama mitatu imepita niliona dem mzuuuri badoo nikamuibukia inbox na tukaelewana fresh kabisa. Siku ya kukutana akaniuliza NIKIJA WAHUDUMU WA LODGE HAWATAMIND? dadeq nikaingiwa na mashaka. Nikamuuliza ni nini unauliza/unamashaka nacho mbona sijakusoma!? Bila aibu akajibu ULIJUA MIMI DEM AU!? wakati nachat nae badoo hadi watsap swaga kama dem plus profile yake ni picha ya dem, Aisee ile siku nilihisi kumekua giza ghafla mana nilikasirika hadi macho yakawa hayaoni vizuri.
NB. Haya mapimbi yapo mkuu tena wengi sana.
Sasa hivi ni wazazi tuwe makini kuwalinda watoto wetu wa kiume
 
Allen kilewella aliwahi uliza "Je marekani wakichagua Rais shoga tutaacha kushirikiana nao!?"..
Tubaki zuia hii tabia kwa watu wetu wa karibu lakini kazi ya kuhukumu tumuachie Mungu.
Cha muhimu elimu na kuwatengenezea watoto hofu ya Mungu, maaana tukitegemea sheria za nchi kamwe hazitakuwa na uwezo wa kuzuia janga hili
 
Pole sana kamanda kikubwa kama umemtumia dada yake sio mbaya ila ndio dunia ilivyo
 
Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...

Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,

Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.
 
Kweli kwenye miti hakuna wajenzi mabasha tumetulia chance hizo hatupati
 
Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...

Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,

Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.
Aisee!!!
 
Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...

Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,

Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.

Duuh!!!
 
Back
Top Bottom