Ushawahi kutongozwa na Shoga? Yamenikuta leo wakuu

Ushawahi kutongozwa na Shoga? Yamenikuta leo wakuu

Unanyota na mapunga mkuu.mimi yalinikuta siingiagi fb kuna choko moja lipo Tanga uko sababu nilipost picha ya maeneo lilikozaliwa mkoa x.tukachat nashangaa linaniita my mara ooh nmekumic mbona hukunipigia jamon.Nika block kila kitu sitaki upumbavu kama huo
 
Wasakazieni kwangu au tuma majina yao ya fb inbox mi najua jins ya kudeal nao
 
Daaaaaaah KWELI WANAUME TUPO WACHACHE ........ [emoji23][emoji23][emoji23]. Especially sisi wenye SIX PACKS tunasumbuliwa kila siku na NA MAGASHO[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usitetee ujinga
Ushoga kuwepo tangu enzi na enzi haimaanishi kwamba ni jambo zuri

Hivi mtu unaanzaje kutiwa nyuma aseee
Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,
Kuhusu suala la ushoga anayejua ni muhusika mwenyewe, wee usie husika deal na mambo yako binafsi,

Nashangaa sana ushoga ni jambo linalopingwa kwa nguvu zote, ila ni jambo linalokua na kuenea kwa kasi zaidi. Sasa pingamizi halifanyi kazi ipasavyo au ndo ngonjera za maneno tu na sio vitendo?

Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi?

Kwa mantiki hiyo ushoga ni suala pana na mtambuka ambalo linapaswa kujadiliwa kwa kina na ufasaha sio kwa muhemko, vinginevyo ni upotevu wa muda tu.

Sorry kwa maelezo haya.
 
Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...

Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,

Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.

Ebu nipe no yake
 
Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,
Kuhusu suala la ushoga anayejua ni muhusika mwenyewe, wee usie husika deal na mambo yako binafsi,

Nashangaa sana ushoga ni jambo linalopingwa kwa nguvu zote, ila ni jambo linalokua na kuenea kwa kasi zaidi. Sasa pingamizi halifanyi kazi ipasavyo au ndo ngonjera za maneno tu na sio vitendo?

Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi?

Kwa mantiki hiyo ushoga ni suala pana na mtambuka ambalo linapaswa kujadiliwa kwa kina na ufasaha sio kwa muhemko, vinginevyo ni upotevu wa muda tu.

Sorry kwa maelezo haya.
Jaribu kujiua halafu usife uone kama unaweza kuwa na maamuzi binafsi katika mwili wako mwenyewe... utaishia jela. Kama jambo ni kinyume na sheria za nchi na hata maandiko ukitenda ni kosa, lakini pia cha chukizo kwa Mungu kwani aliumba binadamu mke na binadamu mume ya nini jinsia moja kuingiliana...
 
Jaribu kujiua halafu usife uone kama unaweza kuwa na maamuzi binafsi katika mwili wako mwenyewe... utaishia jela. Kama jambo ni kinyume na sheria za nchi na hata maandiko ukitenda ni kosa, lakini pia cha chukizo kwa Mungu kwani aliumba binadamu mke na binadamu mume ya nini jinsia moja kuingiliana...
Hivi hata unajua nini umeandika hapa? Hebu relax kwanza halafu uje ukiwa neutral, huu muhemko wako wala hauna maana yeyote.
 
Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,
Kuhusu suala la ushoga anayejua ni muhusika mwenyewe, wee usie husika deal na mambo yako binafsi,

Nashangaa sana ushoga ni jambo linalopingwa kwa nguvu zote, ila ni jambo linalokua na kuenea kwa kasi zaidi. Sasa pingamizi halifanyi kazi ipasavyo au ndo ngonjera za maneno tu na sio vitendo?

Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi?

Kwa mantiki hiyo ushoga ni suala pana na mtambuka ambalo linapaswa kujadiliwa kwa kina na ufasaha sio kwa muhemko, vinginevyo ni upotevu wa muda tu.

Sorry kwa maelezo haya.
Kwa mfano una mtoto wa kiume , then by any chance unakuja kujua kuwa anaingiliwa kinyume na maumbile, utafanyaje kama mzazi, hebu kuwa honest!
 
Lilijuwepo moja humu enzi za jukwaa la wakubwa linajieleza kabisa yaani dunia sasa hivi imefikia mwisho
 
Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...

Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,

Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.
Mkuu, vipi iliishia wapi hii ?
 
Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,
Kuhusu suala la ushoga anayejua ni muhusika mwenyewe, wee usie husika deal na mambo yako binafsi,

Nashangaa sana ushoga ni jambo linalopingwa kwa nguvu zote, ila ni jambo linalokua na kuenea kwa kasi zaidi. Sasa pingamizi halifanyi kazi ipasavyo au ndo ngonjera za maneno tu na sio vitendo?

Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi?

Kwa mantiki hiyo ushoga ni suala pana na mtambuka ambalo linapaswa kujadiliwa kwa kina na ufasaha sio kwa muhemko, vinginevyo ni upotevu wa muda tu.

Sorry kwa maelezo haya.
Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
ebu nipe namba zake nimsalimie
Kumbe . ..
giphy.gif
 
Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hii michezo dah.

Weka na Quotation kabisa
 
Back
Top Bottom