cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wee sema lolote bhana, mbna amani tyuuh, mie napiga pale pale panapouma, na huwa sipindishi kitu nachana makavu kweupeeh.Nakuona [emoji849] nakuona umeweka kambi hapa!! [emoji16][emoji16][emoji16] Niseme nini sasa!! Sina la kusema.
Wabaki wao kuhaha, kufoka na kutukana, huku dose inawaingia vilivyo, sitakagi unafiki mie.