Humu jf kama yule jamaa anajiita johnson meck kila kukicha anasifia mashoga tuMimi nimetongozwa sana na mashoga nakumbuka Kenya Ngong hills kuna mwenyeji wangu sikujua ni shoga wakati tumekaa aliibinya mb... yangu,halafu akanitamkia. mifano ming tu
Ila nilichogundua humu JF wameanza mbinu za kuwapata mabasha, kwa nyuzi za ki aina. wako so desparate kutupata sisi ma handsome ambao tupo straight wanabuni mbinu mbali mbali
Thread zozote zinzohusu ushoga MODS hazifai futilia mbali.
Sasa hivi ni wazazi tuwe makini kuwalinda watoto wetu wa kiumemiaka kama mitatu imepita niliona dem mzuuuri badoo nikamuibukia inbox na tukaelewana fresh kabisa. Siku ya kukutana akaniuliza NIKIJA WAHUDUMU WA LODGE HAWATAMIND? dadeq nikaingiwa na mashaka. Nikamuuliza ni nini unauliza/unamashaka nacho mbona sijakusoma!? Bila aibu akajibu ULIJUA MIMI DEM AU!? wakati nachat nae badoo hadi watsap swaga kama dem plus profile yake ni picha ya dem, Aisee ile siku nilihisi kumekua giza ghafla mana nilikasirika hadi macho yakawa hayaoni vizuri.
NB. Haya mapimbi yapo mkuu tena wengi sana.
Kabisa yaani, hii issue ni changamoto kubwa sana tusipokua makini pepo itakua emptySasa hivi ni wazazi tuwe makini kuwalinda watoto wetu wa kiume
Ahahaha naunga mkono hoja !!! Weka ushaidiHebu weka screenshot tuthibitishe ulisemalo.....
Hakuna hoja usiyoiunga Wewe😀😀😀Ahahaha naunga mkono hoja !!! Weka ushaidi
Nipo zangu facebook juzi kwanza nikaona messeji inbox inaanza na "hi" kucheki nikaijibu baada ya muda huyo mtu akatuma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zanguLabda wanaona wivu tunavyoendaga mwezini
Kuna baadhi ya wajinga flan wanafanya wanaume tunadharaulika mpaka Na watoto wadogo skuhzMen of nowadays sijui wamepatwa na nini..
Mbona wanatamani sana kuwa wanawake?
Jesus[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Labda wanaona wivu tunavyoendaga mwezini
Labda wanaona wivu tunavyoendaga mwezini
We hujawahi kumbwa na hiyo kadhia?Ahahaha naunga mkono hoja !!! Weka ushaidi
Cha muhimu elimu na kuwatengenezea watoto hofu ya Mungu, maaana tukitegemea sheria za nchi kamwe hazitakuwa na uwezo wa kuzuia janga hiliAllen kilewella aliwahi uliza "Je marekani wakichagua Rais shoga tutaacha kushirikiana nao!?"..
Tubaki zuia hii tabia kwa watu wetu wa karibu lakini kazi ya kuhukumu tumuachie Mungu.
Aisee!!!Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...
Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,
Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.
Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...
Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,
Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.