[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda wanaona wivu tunavyoendaga mwezini
Ushoga ni taasisi pana. Na haujaanza leo, ulikuwepo tangu enzi na enzi. Sasa cha ajabu kipi. Khaaaah
Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,Usitetee ujinga
Ushoga kuwepo tangu enzi na enzi haimaanishi kwamba ni jambo zuri
Hivi mtu unaanzaje kutiwa nyuma aseee
Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...
Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,
Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.
Mwenyezi Mungu akuongozeKula mzigo kuna baadhi yao ni watamu balaaa jaribu you will thank me later.
Jaribu kujiua halafu usife uone kama unaweza kuwa na maamuzi binafsi katika mwili wako mwenyewe... utaishia jela. Kama jambo ni kinyume na sheria za nchi na hata maandiko ukitenda ni kosa, lakini pia cha chukizo kwa Mungu kwani aliumba binadamu mke na binadamu mume ya nini jinsia moja kuingiliana...Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,
Kuhusu suala la ushoga anayejua ni muhusika mwenyewe, wee usie husika deal na mambo yako binafsi,
Nashangaa sana ushoga ni jambo linalopingwa kwa nguvu zote, ila ni jambo linalokua na kuenea kwa kasi zaidi. Sasa pingamizi halifanyi kazi ipasavyo au ndo ngonjera za maneno tu na sio vitendo?
Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi?
Kwa mantiki hiyo ushoga ni suala pana na mtambuka ambalo linapaswa kujadiliwa kwa kina na ufasaha sio kwa muhemko, vinginevyo ni upotevu wa muda tu.
Sorry kwa maelezo haya.
Hivi hata unajua nini umeandika hapa? Hebu relax kwanza halafu uje ukiwa neutral, huu muhemko wako wala hauna maana yeyote.Jaribu kujiua halafu usife uone kama unaweza kuwa na maamuzi binafsi katika mwili wako mwenyewe... utaishia jela. Kama jambo ni kinyume na sheria za nchi na hata maandiko ukitenda ni kosa, lakini pia cha chukizo kwa Mungu kwani aliumba binadamu mke na binadamu mume ya nini jinsia moja kuingiliana...
Kwa mfano una mtoto wa kiume , then by any chance unakuja kujua kuwa anaingiliwa kinyume na maumbile, utafanyaje kama mzazi, hebu kuwa honest!Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,
Kuhusu suala la ushoga anayejua ni muhusika mwenyewe, wee usie husika deal na mambo yako binafsi,
Nashangaa sana ushoga ni jambo linalopingwa kwa nguvu zote, ila ni jambo linalokua na kuenea kwa kasi zaidi. Sasa pingamizi halifanyi kazi ipasavyo au ndo ngonjera za maneno tu na sio vitendo?
Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi?
Kwa mantiki hiyo ushoga ni suala pana na mtambuka ambalo linapaswa kujadiliwa kwa kina na ufasaha sio kwa muhemko, vinginevyo ni upotevu wa muda tu.
Sorry kwa maelezo haya.
Mkuu, vipi iliishia wapi hii ?Hii inshu ni more than serious sana, kuna rafiki yangu mmoja wa kike ambaye pia ni ndugu nilisoma naye O-level, chuoni pia tukaingia pamoja ila vitivo tofauti zaidi ya miaka 10 sasa, alikuwa kwenye mahusiano na jamaa tangu akiwa Advance mpk wakaoana na kupata mtoto mmoja pia kwa sasa ni mjamzito, kilichomkuta yasikie tu kwa jirani...
Jamaa yake huyu ambaye kifedha naweza sema wamebarikiwa mnoo kila kitu kipo na magari ya maana tu ila kumbe mtu anapigwa pumbu. Mke aligundua baada ya kukuta txts za ajabu ikabidi aifuatilie ile no mpk akampata jamaa anayemgonga mume wake,
Ninavyoandika hapa demu karudi kwao jamaa anatishia kujiua ikabidi tuitwe kwenda kuokoa jahazi na jamaa kakiri ni kweli amekuwa akigongwa ila asamehewe anaomba tu mke wake arudi nyumbani. Ilibidi tu niondoke bila kutia neno akijiua juu yake, Pumbaafu. Ukikutana naye ni bonge la handsome na mapafyum 24hrs.
,[emoji23][emoji23][emoji23]ndio michezo yako eehKula mzigo kuna baadhi yao ni watamu balaaa jaribu you will thank me later.
Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,
Kuhusu suala la ushoga anayejua ni muhusika mwenyewe, wee usie husika deal na mambo yako binafsi,
Nashangaa sana ushoga ni jambo linalopingwa kwa nguvu zote, ila ni jambo linalokua na kuenea kwa kasi zaidi. Sasa pingamizi halifanyi kazi ipasavyo au ndo ngonjera za maneno tu na sio vitendo?
Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi?
Kwa mantiki hiyo ushoga ni suala pana na mtambuka ambalo linapaswa kujadiliwa kwa kina na ufasaha sio kwa muhemko, vinginevyo ni upotevu wa muda tu.
Sorry kwa maelezo haya.
Kumbe . ..ebu nipe namba zake nimsalimie
[emoji23][emoji23][emoji23]unavyopenda umbea mkuuMkuu, vipi iliishia wapi hii ?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hii michezo dah.Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]