Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mkuu, hilo ni swala zito sana lazima tujue hatima yake. Anyway, jana usiku nilikuwa Bar fulani napiga vyombo, mbele yangu kuna jamaa fulani jeupe lina ma tatoo na limevaa vesti na pensi fupi mno lilikuwa na demu wake, at first nilidhani jamaa ni lidume kama sisi bana[emoji23][emoji23][emoji23]unavyopenda umbea mkuu
Nikimuona shoga natafakari mengi sana! Kwa wazazi wababa wenye watoto wa kiume watanielewa zaidi hapa[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hii michezo dah.
Weka na Quotation kabisa
Haya mapichabyako sijui huwa unayatoa wapi. Nayogopa kwel. Kama ile ya jana ya simba, zile damu zinavotiririkaKumbe . ..
Hakika, kwa mwenye akili timamu lazima achukue hata dakika mbili atafakari uzito wa hili jambo. Mungu atuongozeNikimuona shoga natafakari mengi sana! Kwa wazazi wababa wenye watoto wa kiume watanielewa zaidi hapa
We ni choko mkomavu eeeh.....unapigwa sana mashine???.....nauliza tu,maana kwa unavyotetea ni wazi unauzoefu sana....na omba Mungu akuepushilie wanao kuwa machoko utajuta na hilo litaasisi lako.Mie sijatetea ila nimesema ukweli ambao jamii haitaki kusikia,
Kuhusu suala la ushoga anayejua ni muhusika mwenyewe, wee usie husika deal na mambo yako binafsi,
Nashangaa sana ushoga ni jambo linalopingwa kwa nguvu zote, ila ni jambo linalokua na kuenea kwa kasi zaidi. Sasa pingamizi halifanyi kazi ipasavyo au ndo ngonjera za maneno tu na sio vitendo?
Mtu kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni matakwa yake binafsi na anatumia viungo vya mwili wake ambaye ndiye mwenye dhamana hiyo, wala hamuazimi mtu, na jambo hilo linafanywa faragha sasa kero za watu wasiohusika zinatoka wapi?
Kwa mantiki hiyo ushoga ni suala pana na mtambuka ambalo linapaswa kujadiliwa kwa kina na ufasaha sio kwa muhemko, vinginevyo ni upotevu wa muda tu.
Sorry kwa maelezo haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, hilo ni swala zito sana lazima tujue hatima yake. Anyway, jana usiku nilikuwa Bar fulani napiga vyombo, mbele yangu kuna jamaa fulani jeupe lina ma tatoo na limevaa vesti na pensi fupi mno lilikuwa na demu wake, at first nilidhani jamaa ni lidume kama sisi bana
Baada ya muda kwenda jamaa likaanza kutingisha matako na kurembua huku linarusha mikono kama demu huku yule demu bado lipo nae, in short jamaa ukiliangalia huwezi kudhani ni bwabwa. Hiyo stori ya hao wanandoa imenikumbusha hilo jamaa la jana usiku
Kwani hao mashoga wanazaliwa kwa mama tyuuh? Yaan hawana baba zao?Nikimuona shoga natafakari mengi sana! Kwa wazazi wababa wenye watoto wa kiume watanielewa zaidi hapa
Kwahiyo unataka kuniambia Ushoga haupo? Au kila anayeeleza ukweli kuhusu ushoga bas nae ni muhusika?We ni choko mkomavu eeeh.....unapigwa sana mashine???.....nauliza tu,maana kwa unavyotetea ni wazi unauzoefu sana....na omba Mungu akuepushilie wanao kuwa machoko utajuta na hilo litaasisi lako.
Ukweli lazima usemwe, hakna namna.Endelea tu kupotosha watu....na sugu zako za uchoko.
Mkuu,kamabhutojali..Wee ndo ukikua utaacha, unahangaika na jambo lisilokuhusu vipi au uliingia upande huo kwa lazima? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuanza nini?Mkuu,kamabhutojali..
Hivi ulianza anzaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hapa mbavu sina lol.Tanzania hakuna ushoga wala corona....kuna watu wenye matatizo ya mfumo wa uzazi na yako matatizo ya aina mbali mbali, ugumba, upungufu wa nguvu za kiume, utumiaji wa viungo kinyume na maumbile....ila hakuna ushoga, upo tu nchi za jirani ndio maana tunatakiwa kuchukua tahadhari !
Kuingiliwa kinyume na maumbileKuanza nini?
Nakuona π nakuona umeweka kambi hapa!! πππ Niseme nini sasa!! Sina la kusema.Kwahiyo unataka kuniambia Ushoga haupo? Au kila anayeeleza ukweli kuhusu ushoga bas nae ni muhusika?
Ndio maan nchi yetu viongozi huwa wanajikanyaga kwenye misimamo kuhusu jambo hili km taifa, 7bu wanajifanya ushoga haupo kimtazamo ila kiuhalisia upo tena sana,
Mwshoe wanaishia kuomba msamaha jamii na kimataifa, ngumu kumeza na hakna namna, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kula mzigo kuna baadhi yao ni watamu balaaa jaribu you will thank me later.
Kuna sehemu nimesema kuhusu hilo? Wee Km unataka kuuingia huko, ingia tyuuh hakna anaekukataza, sio kuanza kuleta attacks zako hapa.Kuingiliwa kinyume na maumbile