Ushawahi kutongozwa na Shoga? Yamenikuta leo wakuu

Nakuona [emoji849] nakuona umeweka kambi hapa!! [emoji16][emoji16][emoji16] Niseme nini sasa!! Sina la kusema.
Wee sema lolote bhana, mbna amani tyuuh, mie napiga pale pale panapouma, na huwa sipindishi kitu nachana makavu kweupeeh.

Wabaki wao kuhaha, kufoka na kutukana, huku dose inawaingia vilivyo, sitakagi unafiki mie.
 
Sikuungi mkono kwa hili hata kidogo yaan ww umruhusu mwanao wa kiume aliwe tigo kweli asee katubu hakuna dini inaruhusu
Kwani unadhani kila binadamu ana amini ktk hizo dini unazo zisema? Poleeeeeeh
 
Kuna sehemu nimesema kuhusu hilo? Wee Km unataka kuuingia huko, ingia tyuuh hakna anaekukataza, sio kuanza kuleta attacks zako hapa.
Mkuu mbona sijakuattack.

Sorry if you feel offended,good day.
 
Mkuu mbona sijakuattack.

Sorry if you feel offended,good day.
Hujani attack au huoni ulichouliza? Sija feel chchte ndo maan nkakijibu tena kiustaarabu na kukupaa muongozo juu. Labda km umewaza tofauti. Relaaaaaax.
 
Huyo ni Shoga lazima autetee kwa nguvu zote. Au nasema uongo ndugu yangu cocastic
 
Unakuta mwanaume anapenda kumfanya mpenz wake kinyume na maumbile,

Afu akikaa pembeni nae anawashangaa mashoga wanaofanyana kinyume na maumbile[emoji18]
 
Watanzania Ni wa AJABU Sana[emoji116][emoji26]
 
Sinza yamejaa kibao kuna moja lilinitokea nlilitukana kinoma sema nchi hairuhusu tu kuua tofaut na hvy nngeua mashoga kama wanne hv mpk Sasa.

Kuna siku olevl tumechelewa parade tukaenda kujificha kitaan likaja ilo shoga nalo linataka kujificha asee tulilitimua kama Mbwa.

Kuna siku shoga jingine olevl liliwah namba asbh frsh akaja mwalm wa zam akasema wasio na namba wapite mbele tukalisingizia hlo lishoga kuwa halijawah namba ila lilikuwa limewah kwakuw hatulipend tukalisingizia lilipigwa kama Mbwa mwlm mwnyw nahc alkuw alipend alilipiga kama mwizi.
 
Kero ni Kuwa ipo kinyume Na maadili yetu,maandiko yetu ..kinyume Na Sheria zetu
Wanaharibu mpaka kizazi kijacho Hawa mabazazi.
Au Kwa mfano mkuu mtu akianza kufanya mapenzi Na Wanyama nyie mtamchukuliaje?mtamuacha kisa Ni viungo vyake?

Sometimes huwa najiuliza Hivi hawa akina Cookie Boqin Active Maxence Melo huyu mtu wamuachaje humu?
Hawajui Sheria Za hii nchi? Wanafunga jukwaa la wakubwa,kubeti Na la Dini halafu huyu mtu wanamuachia...hawajui Mimi Ni Nani? Nawapa masaa 72 warekebishe kabla sijaidondosha Jf
 
Usitetee ujinga
Ushoga kuwepo tangu enzi na enzi haimaanishi kwamba ni jambo zuri

Hivi mtu unaanzaje kutiwa nyuma aseee
..we huwezi kumpa nyuma mpz wako?...Kwa mapenz Tu...sirini....
 
Men of nowadays sijui wamepatwa na nini. Mbona wanatamani sana kuwa wanawake?
Kuku wa siku 6 na mayai yao.
Kijana wa kiume lkn wezele wezele.
Acheni wazungu watuchezee.
We lisha wanao hiyo makitu.
 

Aiseee mashoga mko wengi sana humu.
 
Ushoga ni swala kubwa sana bahati mbaya waTZ wengi hawalioni kwa ukubwa huo ndio maana wachache wanao elewa wanaonekana nao kama mashoga wakati wakijaribu kuelezea hali halisi
 
Ushoga ni swala kubwa sana bahati mbaya waTZ wengi hawalioni kwa ukubwa huo ndio maana wachache wanao elewa wanaonekana nao kama mashoga wakati wakijaribu kuelezea hali halisi
.
 
Nyie watu mna dhambiii sanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa
 
Siku iyo niko mitaa fulan kwene mishe,,, kusaka tonge ghafla kwene gari nakutana na jamaa tulifanya kazi sehemu moja ananiita boss, kuchek nkamkumbuka. kwasababu kazin hatukua na ukaribu hata mawasiliano yake sikua nayo akaomba namba nikampa. Kwa kushuka nikamlipia nauli kama ujuavyo ukiwa kama ulikua kaboss bas wa chini yako unahisi kama wajibu kuclear vitu vidogo…

Sasa usiku naona vitext vya salam najibu nachukulia poa. Heee siku ya kwanza ya pili mala kulazimisha maongeziii na wakat maada ya maana hamna….aisee kujibebisha kukawa kwingi sasa kwa heshima ili nisije mtukana nikaacha kureply na kumblock.

Bado hajaachaga kutuma text za kawaida hata kama hazijibiwi[emoji3][emoji3]Nadhan alivoniangalia aliona nafanana na wala kisamvu[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…