Ushawahi kuwa single ndani ya mahusiano?

huyu anapenda kushindana na wanaume.. wanawake dizain hii wanajiona inferior sana so huwa wanabehave aggressively ili kuficha ile feeling ya inferiority.
Hahaaa Mimi siko kwenye competition yoyote just misimamo yangu tu maana kila mtu Ni unique kwa namna yake why ni compete na wanaume, competition yangu ni maisha yangu, so hzo inferior or whatever you call I don't give a https://jamii.app/JFUserGuide
 

mapenzi ni kufurahishana, wewe unasema huishi kwa kufurahisha mtu.
kwa ufupi nnaweza kusema kuwa wewe hufai kuwa kwenye mahusiano, utampelekesha sana mwanaume wako, na ukimkuta na yeye kichwa kigumu atakupasua tu.
 
Nishawi kupenda Sana Tena ninaye mpenda ndo simpi kabisa dyudyu la yuyu
Nakushauri umpime uliyenaye huenda amepungukiwa na chembe za uanaume.A man can not be controlled.Na mwanamke aliyependa kweli utamtambua tu, Anajiamini 100% na anajua hitaji la msingi la mwenzi wake.Unajisifu haumpi ukichunguza utakuta kuna mwingine nje anatoa ushirikiano vizuri fumbua na kufumbua utakuta si wako tena!
 
mapenzi ni kufurahishana, wewe unasema huishi kwa kufurahisha mtu.
kwa ufupi nnaweza kusema kuwa wewe hufai kuwa kwenye mahusiano, utampelekesha sana mwanaume wako, na ukimkuta na yeye k8chwa kigumu atakupasua tu.
Staki kusumbuana na mtu I live with my own principle raha hujipa mwenyewe tu na mapenzi ni zaidi ya uzinzi kwangu Mimi,
Mimi nafaa Sana.
Usisemee eti jamaa anipasue hawezi nilazimisha na mwili wangu, why anipasue [emoji23][emoji23][emoji23] tutapasuana wenyewe.
Hafu mahusiano watu hukutana wa hulka flani mbona
 
Hahaaa Mimi siko kwenye competition yoyote just misimamo yangu tu maana kila mtu Ni unique kwa namna yake why ni compete na wanaume, competition yangu ni maisha yangu, so hzo inferior or whatever you call I don't give a ****
that attitude right there.
Bonge la sign ya danger.
 
Apungukiwe nazo tu I don't care what's matter's to me is my happiness basi, hafu Mimi si control mtu Tena yeye hunipenda kunitafta daily in short tumeelewana vizuri our chemistry na hatujawahi gombana,
So hyo ya kuchepuka achepuka tu as long as my papuchi haitumiki na kutiwa gundu I'm happy.
 
Wakukulana wako wengi si akanunue, Mimi mtu hajanioa asinipangie kwa kweli
Usitumie kigezo cha kutokuolewa ndiyo usimpe! Uchoyo ndiyo tabia yako! Hata ukiwa ndani ya ndoa haitobadilisha feelings zako! Ndio wale mnawapangia waume zenu mara moja kwa mwezi! Una safari ndefu sana kuwajua wanaume! Unaonekana ni mtu wa mashindano sana kwenye mahusiano.
 
Mimi stoi kiungo changu Nina mamlaka nacho mtu asinipangie uzinzi eti in the name of love that's never kwangu walah sio uchoyo maandiko yenyewe yamekataza uzinzi why nizini hovyo, ka ni upendo na ni ukose tu,
Kwanza hicho kitendo nitafanya nikitaka tu kuzaa basi na sio huo uzinzi
 
Duh!🤔🤔pole sana, huenda hauko pekeako, miezi miwili? Happy unatwanga making kwenye kinu faida kulowa mapaja🤣
 

Unapiga puli sio ? au sijaelewa vizuri. Nimesoma ulivyoandika nimegundua kitu wewe kama sio mid twenties basi ni early twenties na ni mwanafunzi, sasa mi kakako nakupa ushauri, usitukane mamba kabla hujavuka mto, umri ukienda enda kidogo utakuja kuelewa.. Kwa namna ulivyoandika inaonekana una attitude fulan ivi mwanaume mwenye anamsimamo na mwanaume kweli huwez kuwa nae. UKO VERY CONTROLLING, wanaume hawapendag hiyo kitu...
 
mim mwenyewe nimeona hapo anajisifia anajichua.. inasikitisha sana kwa mwanamke kuanika aibu kama hii hadharani.
 
We Singasinga acha Fuji, ameshakushtukia unamtumia tu bila Kuwa na mpango endelevu! Mtangazie ndoa uone Kama hajahamia kwako! Uwe serious Kama una ugwadu namna hiyo!
 
Mimi sijui puli ni kitu gani hicho?
Age ni just numbers tu mkuu so usiwaxe Hilo kabisa,
Mimi umri hata uende vipi siwezi regret chochote I live the way I wish na kwenye maisha huwa sijuti zaidi huamini nilipitia vitu flan as part and parcel in my daily life. So sipendi ku control mtu Wala ku controliwa na yoyote, na ka mwanaume hapendi the way I'm the door is open, but fortunately Kuna wanaume wapenda nilivo hata ningetaka ndoa Mimi ingeshafanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…