Ushawahi kwenda sehemu, baada ya kukuona wakakuchukulia poa, baadaye wakajua wewe ni mtu wa aina gani, wakaanza kukuonea aibu?

Huyo Mzee anaitwa Sir Ratan Tata. Ni tajiri wa Kufa mtu.
 
Mwaka huu mwezi wa 6 nlikuwa natoka dom nataka nipande sgr sasa bahati mbaya skujua kama bei zinatofautiana nkawa nmepungukiwa kama 20k.

Kila nikijaribu kutoa hela crdb ili kulipia ngoma ikawa inagoma ikabidi nimuombe msaasa kuna jamaa alikuwa anapita na track suit kama atakuwa na 20k kwenye tigo pesa baada kama ya nusu saa kuna mtu anaenda kwa wakala atamrushia.

Jamaa akaniangaliaaa then akaniluliza una uhakika nikamwambia ndio bas akanambia ila kama utarudisha muamala sawa. Basi akanilipia nkachukua no baada ya kama dakika 10 treni ikaanza safari kila mmoja akiwa behewa lake.

Nikiuempa no amtumie hela yake akanipigia kuwa kishamtumia na yakutolea.basi safari hyo moro haoo mara Dar hyo sasa tunashuka tumaelekea nje mara namuona jama mbele yangu.

Alikuwa amefatwa na magari kama 5 hvi ni mwendo wa saluti tu anapewa kimoyo moyo nikasema doh ningefanya uhuni yangenikuta.

Baada ya mda ndo nikaja kumjua kuwa ni mtu fulani yupo PT kupitia mkasa wa dogo fulani pale ostar toka sku hiyo nmekuwa na adabu na watu ote hata mwokota takataka
 
Watu design ya huyo unatakiwa wewee uwe kauzu zaidi yake mtu akianza wewe maliza.
 
Unatangaza kituo gani cha Radio au TV?
 
Alivaa Jezi ya simba na pensi ya khaki?😂😂
 
Huu ni ujchi wa moto
 
Kuna jamaa nilisoma nae chuo kimoja na alikuwa mbele miaka miwili na tulikuwa tunakaa nae hostel chumba kimoja. Alipo maliza akaajiriwa Halmashauri moja huko kusini. Na mimi nilipomaliza nikaja kupata ajira kwenye kampuni binafsi ambayo ilipewa majengo na hiyo Halmashauri kama ofisi.

Sasa asubuhi moja nikiwa naelekea ofisini nikiwa nimevaa kisite site nikamuona jamaa nikamchangamkia ila jamaa hakunichangamkia halafu punde akawa anaongea na simu. Nikahisi labda atakuwa amenisahau ,basi nikasogea pembeni nikimsubiri amalize kuongea na simu halafu nimkumbushe. Lakini jamaa alipomaliza kuongea na simu hakunisogelea,alinipuuza na kuanza kuongea na wengine.Baada ya kupuuzwa nikajiondokea.

Basi siku zilizofuata akawa ananiona naingia ofisini. Akawa anataka kuniongelesha ila mimi nikakaza. Siku moja akaniongelesha na kujifanya ananifahamu, sikumpa ushirikiano kivile. Mpaka naondoka nilimchukulia kama mtu ambae sijuani nae. Ukiniletea dharau nakudharau zaidi.
 
hii inaumiza sana ndicho kinachonitokea,jina kubwa mfukoni hakuna kitu...inakata sana.
 
Hapo, "tumekwishaaaaaaaa" ni chai ya rangi.
 
Nilisema mimi ccm ni wapumbavu sana😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…