Ushawahi zimikiwa na jiko la gesi ukiwa unapika?

Unatia sukari.. Unapiga, unakomba na mboga siku imeisha..

Ni vizuri kiwa na jiko la gesi lenye option ya kutumia na umeme.. Mipango ikiisha huku unahamishia huku.
 
🀣🀣πŸ€ͺ
 
Kuwe na mitungi inayoonyesha kiasi cha gesi kilichobakia kama Luku
 
Dawa uwe na mitungi miwili kulingana na mahitaji yao. Kwa mfano, me huwa natumia miwili ile ya kilo kumi na tano.

Ukiisha mmoja sikai kusubiria sanaaa nitakaa kama wiki mbili au tatu nitakwenda kujaza ili iwe standby. Ila kwa sasa nataka kwenda chukua ule mkubwa kabisa.
 
Kabisa mkuu wahenga waliotoa huo msemo hawakukosea aisee

Chakushangaza zaidi mtungi wangu una Gage ya kuonyesha kama Gas ipo kiasi gani ila sikuwahi hata kuangalia sababu mtungi upo chini ya Meza, Kila nikitaka kuuvuta niangalie ipo kiasi gani basi najipa moyo mbona mzito bado ipo, nikijisahau tu ndio yanatokea yakutokea [emoji3]
 
Hahaha acha tu yani sasa ukute upo choka mbaya sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…