Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Hili @ Baba mwajuma atusaidieYupo sawa, wanachofanya hao wengine ni Suna, wamefundishwa hivyo so kwao ni sehemu muhimu ya Ibada, hivyo hamna shida ila Wahindu na Wakristo mafundisho yao hayaagizi hayo sasa kwanini wafanyie watu wa dini nyingine mambo ambayo hawajaagizwa na dini zao?