hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Aanze na kudai mikataba ya nchi na wawekezaji iwekwe wazi tukianzia na mkataba wa DPW.02 August 2024
Dodoma, Tanzania
Saa 5 na dakika 15 usiku hapa mjini Dodoma mshindi wa urais anatangazwa :
RASMI BONIFACE K. Mwabukusi NI RAIS TLS :
Boniface Mwabukusi kura 1,274
Sweetbert Nkuba kura 851
ni matumaini makubwa sana, wamba unaweza kuweka mamluki, ukatoa na funds ila wananchi wakatoa kura kwengine. aibu iliyoje.Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,
Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.
Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.
PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
Kwani lissu si alikuwaga raisi wa tls and what happened? Ccm kipo imara sana wapinzani wa tanzania bado sana ni kama vikundi vya vicobaTukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,
Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.
Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.
PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
What could happen wakati mulimpiga risasi wakati anachapa kazi nyoko weweKwani lissu si alikuwaga raisi wa tls and what happened? Ccm kipo imara sana wapinzani wa tanzania bado sana ni kama vikundi vya vicoba
Sasa matusi ya nini watu chadema akili zenuWhat could happen wakati mulimpiga risasi wakati anachapa kazi nyoko wewe
Sahau.Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,
Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.
Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.
PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
Too early, kama unadhani Nape was joking kama alivyosema, endelea kuamini kwenye mabadiliko, the determinant of victory kwenye matokeo ya kura za chaguzi zetu, is not the vote cast, but the vote count!, hivyo anaye determine mshindi sio mpiga kura wala kura zilizopigwa but muhesabu kura!.Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,
Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.
Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.
PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
Kwa hiyo unataka kusema nini..?Sahau.
Fikiria kura 2000+ zimehesabiwa kuanzia saa 8 mchana hadi saa 4 usiku.
Sielewi ulifuata nini kuwa wakili..a learned lawyer hawezi kusema upuuzi km huu! leo wameshindwa nini kufanya hiyo principle ya Nape! mnatishwa tishwa na vitoto vidogo kisa wana cover ya dola..woga wa aina hii ni laana kwa generation yako! ulienda shule kufanya nini? si bora ungezaliwa ukimbizane na swala kwenye mapori ya wahadzabe..!Too early, kama unadhani Nape was joking kama alivyosema, endelea kuamini kwenye mabadiliko, the determinant of victory kwenye matokeo ya kura za chaguzi zetu, is not the vote cast, but the vote count!, hivyo anaye determine mshindi sio mpiga kura wala kura zilizopigwa but muhesabu kura!.
Keep hoping!.
Hongera sana kwa Wakili Boniface Mabukusi.
P