Pre GE2025 Ushindi wa Boniphace Mwabukusi unatupa matumaini huenda 2025 CCM ikaondoka kwa kishindo

Pre GE2025 Ushindi wa Boniphace Mwabukusi unatupa matumaini huenda 2025 CCM ikaondoka kwa kishindo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,

Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.

Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.

PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274

Matumaini ni hope, unaruhusiwa kuwa na matumaini, ila jua kabisa akilini mwako, moyoni mwako na rohoni mwako, matumaini sio uhalisia, matumaini ni ndoto tu, na uhalisia ndio hali halisi..!!

CCM itakushangaza sana 2025 kwa uhalisia wake sio kwa matumaini yako.
 
Kuna mmoja aliwahisema endapo tz kura zikapigwa na wasomi pekee na mo extra force kuwa applied, Chama chetu pendwa kitaaga mashindano ikiwa
 
Swali langu la msingi ni hao 2,000 wapo na impact ipi kwenye siasa za Tanzania. TLS is minority group here in Tanzania inazidiwa na CWT.
1. Nimeilewa mada vyema kuliko wewe ulivyo na pengine unavyoendelea kuelewa hata sasa!.

2. Kwa hoja yako hiyo 👆tu, Mimi napata taabu kweli kweli kujua na kuupima ufahamu wako!

Acha niwe na maneno mengi lengo ni Ili wewe na wengine wasiojua thamani ya kura ya mtu mmoja tu achilia mbali hawa 2,000 waelimike..

Twende kazi👇


✍️Hivi wewe Venus Star unajua kweli kwamba hapa Tanzania kuna majimbo yana wapiga kura 5,000 na hawa ndiyo huamua nani awe Mbunge? Huoni kuwa kwa hesabu hii, kama kuna wagombea 4, mshindi aweza kuamuliwa na kura chini ya 2,000? Unashindwaje kujua impact ya kura 2,000 mpaka hapo?

✍️Hivi unajua hata kujua kuwa Kuna vijiji, mitaa na kata zina wapiga kura chini ya 2,000 na bado huamua nani awe mwenyekiti wao wa Kijiji, mtaa au diwani wa kata yao?

✍️Sasa wewe unapata wapi akili zenye ujasiri wa kubeza impact ya kura za watu 2,000? Mbona unaonekana kama immature ktk kufikiri, uelewa na ufahamu Ili ikusaidie ujenge hoja za msingi bibie?

##Narudia tena kukuambia:

✍️Achana na mentality (mindset) ya kiwiziwizi wa kura wakati wa chaguzi. Wenye mentality (mindset) hii, hawawezi kujua thamani (impact) ya kura ya mtu mmoja kwa sababu hutegemea kuiba uchaguzi.

✍️Lakini bibie, katika FAIR, JUST, CREDIBLE & TRANSPARENT elections, kura ya mtu mmoja tu achilia mbali za watu 2,000 ina thamani (impact) kubwa katika uchaguzi wowote kuliko akili zako hizo zinavyowaza!

Kwa heri🏃🏃🏃🏃
 
Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,

Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.

Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.

PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
Unataka kuungana na nani?Fatuma karume na Tundu lisu walishinda uraisi wa TLS CCM ilitoka madarakani au mambo ya kurujuani
 
Kwani lissu si alikuwaga raisi wa tls and what happened? Ccm kipo imara sana wapinzani wa tanzania bado sana ni kama vikundi vya vicoba
Story za kizamani dogo topo enzi za Gen Z, na AI inaenda kutawal Dunia we we bado uko zama za ccm yashika hatamu
Umeona kule Iran mtu anauwawa bila ya mashambuliaji kuonekana

Mambo yenu ya ki ccm tupa kule
 
Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,

Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.

Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.

PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
Ndiyo za mchana kweupe hizo. CCM Bado ipo sana
 
Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,

Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.

Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.

PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
Kama Tundu Lissu alioshawahi kuwa Rais wa TLS na akagombea Urais na bado CCM ikashinda kwa kishindo, nini takataka hii inayoropoka zaidi ya konda?
 
Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,

Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.

Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.

PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274

Box gani la kura? Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima katika box la kura.
 
Back
Top Bottom