Hukumwelewa vzr tu...mko pamoja sana. Uchaguzi mkuu ni kitu kikubwa sana majizi ya kura ni ngumu kuyadhibiti kama kwenye uchaguzi mdogo wa TLSSielewi ulifuata nini kuwa wakili..a learned lawyer hawezi kusema upuuzi km huu! leo wameshindwa nini kufanya hiyo principle ya Nape! mnatishwa tishwa na vitoto vidogo kisa wana cover ya dola..woga wa aina hii ni laana kwa generation yako! ulienda shule kufanya nini? si bora ungezaliwa ukimbizane na swala kwenye mapori ya wahadzabe..!