Pre GE2025 Ushindi wa Boniphace Mwabukusi unatupa matumaini huenda 2025 CCM ikaondoka kwa kishindo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Miaka yote (in fact toka 1995 uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi) CCM huwa inapigwa kipigo cha paka mwizi kupitia sanduku la kura..

Shida ya kuwafukuza hawa hayawani haiko kwenye sanduku la kura. Dawa ya hawa insyopaswa kutafutwa ni ile ya kuhakikisha mshindi ktk sanduku la kura anatangazwa mshindi na siyo asiyeshinda kuchukua ushindi usio wake.!!!

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 Tundu Lissu alimpiga kipigo cha mbwa mwizi John P. Magufuli na CCM yake kama Mwabukusi alivyoshinda leo..

Walichakachua matokeo ya kura za u - Rais mpaka hawa hayawani wanaona aibu wenyewe kuyaweka matokeo ya jimbo kwa jimbo kwenye website.com ya NEC kama sheria inavyotaka na pia kuyatangaza kwenye gazeti la serikali mpaka leo..

Kwa hiyo, Hayati Rais John P. Magufuli na Samia Suluhu Hassan ni marais wa kujiweka/kujipachika kwa nguvu. Ni marais by default wasio na legitimacy ya kisiasa kwa kuwa hawakuchaguliwa na watu.!

Kiuhalisia, uchaguzi wa TLS ni reflection ya mchuano kati ya CHADEMA na CCM. Na hawa CCM kwenye sanduku la kura hawana chao, hawaiwezi CHADEMA hata kama watawakusanya waganga na wachawi wao wote..!

THE PEOPLE'S POWER HAS WON..............................!;
 
Kwa hiyo unataka kusema nini..?
Hata zichukue saa 24 utamtangaza mshindi utake usitake..! Haki haiombwi!
Kura za watu 2k ambao hawajatawanyika yaani kituo kimoja cha uchaguzi zinachukua masaa 8 kuhesabu, how comes uchaguzi mkuu wenye vituo lukuki.
 
Kumbe TLS ipo na wanachama wachache hivyo. Yaani wapiga kura hawafiki hata 4,000.
Ina wanachama 12,471 ktk Tanganyika yote..

Kwenye mkutano, huwezi kukusanya wanachama wote..

Hata ktk uchaguzi mkuu wa kawaida ktk nchi yetu, walioandikishwa kupiga kura huwa karibu milioni 25+ lakini ambao hupiga kura huwa nusu au chini ya nusu ya walioandikishwa..

Kwa hiyo, ndivyo ilivyo!!
 
Mnatanguliza sana uchama zaidi mimi si mtu wa chama ila ni mtu ambaye nachagua kiongozi kutokana na uwezo wake na si chama ninyi shida ni ushabiki wa vyama
 
02 August 2024
Dodoma, Tanzania

Saa 5 na dakika 15 usiku hapa mjini Dodoma mshindi wa urais anatangazwa :

RASMI BONIFACE K. Mwabukusi NI RAIS TLS :

Boniface Mwabukusi kura 1,274

Sweetbert Nkuba kura 851
Hurray! Viva! Viva!
Advocate Boniface Mwabukusi
Viva!
 
Hata system inahitaji support ya wananchi. Sio kwamba wanaipenda ccm.
Ila sasa kwa hawa wa simba na yanga sijui.
 
Nape was Right. Na Angekuwa Waziri Mwabukusi asingetoboa.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Unaijua vizuri ccm, inaweza kumuondoa yeye kwa kishindo
 
CCM is losing grounds at tremendous speed.. Wenyewe huko ndani ni majungu kama yote
Your browser is not able to display this video.
 
CCM is losing grounds at tremendous speed.. Wenyewe huko ndani ni majungu kama yote
View attachment 3060036
 
Huyo Nkuba katokea wapi mbona alikuwa hajulikani,hata hivo kura zake 800+ si haba, ila Boniface ni chaguo sahihi
Ni msukuma wa kahama alikuwa mwl wa secondary rocken hill akajiendeleza akagombea ubunge jimbo la Kahama kwa ticket ya CCM alipokosa ubunge akateuliwa na Magu kuwa Das wa Tabora akatumikia mwaka mmoja akala kona kurudi Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…