Hukumwelewa vzr tu...mko pamoja sana. Uchaguzi mkuu ni kitu kikubwa sana majizi ya kura ni ngumu kuyadhibiti kama kwenye uchaguzi mdogo wa TLSSielewi ulifuata nini kuwa wakili..a learned lawyer hawezi kusema upuuzi km huu! leo wameshindwa nini kufanya hiyo principle ya Nape! mnatishwa tishwa na vitoto vidogo kisa wana cover ya dola..woga wa aina hii ni laana kwa generation yako! ulienda shule kufanya nini? si bora ungezaliwa ukimbizane na swala kwenye mapori ya wahadzabe..!
We Tumbili kaungane na ngedele pamoja na bundi kukata umeme wa SGR ili mabasi ya wakubwa yafanye kazi katika barabara ya Dsm moro na dosoma kima weweKwani lissu si alikuwaga raisi wa tls and what happened? Ccm kipo imara sana wapinzani wa tanzania bado sana ni kama vikundi vya vicoba
Huu ni msemo makini sana. Inafaa uujengee zege imara kuulindaTukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,
Sikubaliani na wewe.Hukumwelewa vzr tu...mko pamoja sana. Uchaguzi mkuu ni kitu kikubwa sana majizi ya kura ni ngumu kuyadhibiti kama kwenye uchaguzi mdogo wa TLS
Mkuu...hivi unajua jinsi( namna gani) waliiba uchaguzi wa 2020? Vyombo vya dola ndo vilishiriki ule wizi. Imagine mlinzi wa nyumba yako ndo anakuibiaSikubaliani na wewe.
Chukulia Kila kituo cha kupigia kura kiwe ni kama mfano wa TLS, bado huoni uwezekano wa kuwabana?
Dah!Mwabukusi watu wana matumaini makubwa sana na wewe, usiwaangushe.
SINA MATUMAINI, MARGIN NI NDOGO SANA KUSHINDANA NA MTU WA CCMTukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,
Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.
Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.
PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
Hakuna "chombo" cha dola hata kimoja kinachoweza kushindana na nguvu za wananchi. Kwanza Hicho unachokiita "chombo cha dola" siyo cha "dola", ni chombo cha wananchi wenyewe.Mkuu...hivi unajua jinsi( namna gani) waliiba uchaguzi wa 2020? Vyombo vya dola ndo vilishiriki ule wizi. Imagine mlinzi wa nyumba yako ndo anakuibia
Mungu atamlinda na yale masheitwani mauaji !Huyu Mtu alishajipatia umaarufu kwa kupinga maamuzi ya Serikali kuingia Mikataba mibovu, kitendo cha kumuengua kugombea Urais wa TLS na hatimaye kushinda Rufaa ya kupinga kuenguliwa kulimuongezea umaarufu mara dufu.
Hili ni somo zuri kwa Serikali kwa kuwa wameona jinsi gani Watu ambao huwa Wapinzani wa Serikali hasa kwenye mambo ya hovyo yanayofanywa na Serikali jinsi wanavyopendwa, licha ya nguvu kubwa iliyotumika ili kumuangusha lakini "Mwamba"ameshinda.
Hongera sana kwake.
wananchi tukiamua kuzisimamia kura zetu mwanzo mwisho, kitaeleweka! tukiamua kuuweka woga pembeni changes will come, na mabafiliko ni maendeleo!Too early, kama unadhani Nape was joking kama alivyosema, endelea kuamini kwenye mabadiliko, the determinant of victory kwenye matokeo ya kura za chaguzi zetu, is not the vote cast, but the vote count!, hivyo anaye determine mshindi sio mpiga kura wala kura zilizopigwa but muhesabu kura!.
Keep hoping!.
Hongera sana kwa Wakili Boniface Mabukusi.
P
Nakuelewa vzr sana! Awareness ya sisi wana nchi ni ndogo sana. Lakini watu kama kina Kingai sio rahisi pia kukubali CCM ing'oke kirahisi.....! Kafara ya baadhi yetu kumwaga damu ndo suluhishoHakuna "chombo" cha dola hata kimoja kinachoweza kushindana na nguvu za wananchi. Kwanza Hicho unachokiita "chombo cha dola" siyo cha "dola", ni chombo cha wananchi wenyewe.
Kukosa ufahamu huu ni sababu kubwa inayofanya hivi vyombo vionekane kuwa vya kikandamizi. Hivi vyombo havipo kulinda uhalifu, vipo kuzuia uhalifu.
Ni rahisi kudai kafara, ngumu kujitoa kafara.Nakuelewa vzr sana! Awareness ya sisi wana nchi ni ndogo sana. Lakini watu kama kina Kingai sio rahisi pia kukubali CCM ing'oke kirahisi.....! Kafara ya baadhi yetu kumwaga damu ndo suluhisho
Yes why not! Hata jana nme play my role kwenye ushindi wa Rais wang wa TLSNi rahisi kudai kafara, ngumu kujitoa kafara.
Are you ready to become a sacrifice lamb?
Sasa fikra za ukatuli na uuwaji wanini Watu wa CCM...akili maviSasa matusi ya nini watu chadema akili zenu
Mungu ashukuriwe sana!!! Kwa ushindi wa huyu Mwamba, kuna mambo mazuri yanakuja.Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,
Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.
Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.
PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274
Cheo ni dhamana, hakuna cha mzigo mzito wala nini.Dah!
Mbona unamtwisha mzigo mzito kiasi hicho. Unajua majukumu ya nafasi hiyo kweli?
Usije kumtwisha lawama ambazo hastahili kwa kudhani amepewa madaraka makubwa ya uamzi wa jambo lolote lile juu ya watawala.
Mpe ushirikiano katika maeneo aliyo na uwezo nayo; kama kuwafichuwa watenda maovu ndani ya serikali.
Lissu alikuwa Rais kwa miezi mitano pekee yake Tena na hapo walimchukulia form tu yeye alikuwa yupo belgium kimatibabu na akaomba kujiuzulu kumuachia mwengine…………na ukumbuke nyakati hizo zilkuwa ni za Mwendazake so,ilikuwa ni ngumu sana kufanya siasa kutokana na kufungiwa kwa shughuli za kisiasaKwani lissu si alikuwaga raisi wa tls and what happened? Ccm kipo imara sana wapinzani wa tanzania bado sana ni kama vikundi vya vicoba
Ndivyo Chadema inapaswa kushinda.Tukipoteza woga wetu wanapoteza nguvu zao,
Ushindi wa wakili Mwabukusi umeshangiliwa na watu wengi, hii ni ishara kuwa Wanaoisapot CCM ni wale wanaonufaika nayo tu ambao kimsingi ni wachache.
Hivyo tukiungana mwaka 2025 , watanzania wote tukaiadhibu CCM kwenye boksi la kura, hawataamini kinachoeatokea.
PIA SOMA
- Breaking News: - Yanayojiri Uchaguzi wa Rais TLS: Mwabukusi ashinda Urais TLS 2024, apata kura 1274