kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Wana CCM buana, sasa unapanic nini?Hakuna cha haki mwizi ni mwizi tu Ruto ni mwizi na utakuja jutia hayo mawazo yako,Kenya wana hali mbaya kuwa na mtu Rais kama RUTO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana CCM buana, sasa unapanic nini?Hakuna cha haki mwizi ni mwizi tu Ruto ni mwizi na utakuja jutia hayo mawazo yako,Kenya wana hali mbaya kuwa na mtu Rais kama RUTO.
Odinga angekuwa na sera za magufuli ikulu ingekuwa yake ...sema alimsaliti jpm gkipindi kile na kuanza kumpondaAcha ujinga wewe Ccm ya Samia haiwezi kuwa against Ruto!
Kama kuna mtu wa CCM alikuwa kwa Odinga ni Team Mwendazake
Amini maneno yangu
Nape kielelezo cha Team Samia kawa wa kwanza kumpongeza Ruto
Unaowaona CCM waliokuwa upande wa yule mzee ni Team mwendakuzimu
Big No...Kenyatta anastaafu kwa aibu kubwa.
kuwa na akili wewe Kenya hawawezi kumpa urais mtu anayechukia matajiri. Hilo linawezekana Tanzania tuOdinga angekuwa na sera za magufuli ikulu ingekuwa yake ...sema alimsaliti jpm gkipindi kile na kuanza kumponda
Sasa huku kwetu unadhani nani atawatangaza wapinzani wakati watangazaji wote ni CCM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najua ninachoandika wale wa low IQ hawataelewa, Ruto alisimama, akamwamini Mungu, wakajaribu kufanya waliyotaka kuyafanya, hatimae Haki imeshinda dhidi ya udhalimu. CCM next time msiingilie mambo ya watu
Irrelevant contents and context.
Ruto unayemsemea hapa hana tofauti na ccm. Uliza wenyeji!
Kama nyie chadema mtaendelea kuleta wagombea ovyo kama kina lisu ikulu mtaendelea kusikia Kwa jirani.Najua ninachoandika wale wa low IQ hawataelewa, Ruto alisimama, akamwamini Mungu, wakajaribu kufanya waliyotaka kuyafanya, hatimae Haki imeshinda dhidi ya udhalimu. CCM next time msiingilie mambo ya watu
Kama wagombea wenu ni kina lisu sahauni2025 samia OUT,wajinga hawatanielewa
Na pia upinzani wetu ni ovyoTatizo NEC Yetu ni shida
Ova
Kuwa wa kwanza kumpongeza mtu ndio kitu gani??Amini maneno yangu
Nape kielelezo cha Team Samia kawa wa kwanza kumpongeza Ruto
Unaowaona CCM waliokuwa upande wa yule mzee ni Team mwendakuzimu
Kumbe upo ?!baba yenu kapigwa huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Machadema mapumbavu sana aisee
Baba atabaki kama kiongozi wa upinzani role yake ni ku oversee Serikali iliyopo madarakani, Ruto amesisitiza hilo hata kwenye mahojiano yanayoendelea hivi sasa. Odinga huwa akipewa nafasi sehemu yoyote ni Lazima alete mpasuko, amekua na wasifu huo katika siasa za KenyaBig No...
He is very Genius by keeping his promise with President elect.
Kilichofanyika ni kumuweka Raila karibu kwenye awamu yake ya mwisho ili walau asahau pilika pilika na presha za uchaguzi.
Hata hivyo Wakenya wameshinda,kura 200K+ sio nyingi sana.
Mh.Rais mteule W.S.A Ruto atakuwa na jambo lake kwa Baba,stay tuned
Ipi? Kwani ndo amewalazimisha wakenya piga kura upande wanataka? Muacheni mzee akalee maishaKenyatta anastaafu kwa aibu kubwa.