Kenya 2022 Ushindi wa Ruto ni pigo kwa CCM, wajiandae kisaikolojia

Kenya 2022 Ushindi wa Ruto ni pigo kwa CCM, wajiandae kisaikolojia

Kenya 2022 General Election
Najua Team mwendazake inawauma sana. Poleni sana

Hakuna cha bahati mbaya! Usidhani Nape kapongeza kwa bahati mbaya!

Hata Samia anawajua wote mlio die hard fans wa mtangulizi wake ambao hamtaki democratic process kwenye utawala
Unadhani ataileta hiyo democrasia??
We endelea kusubiri na kuwaamini CCM[emoji23][emoji1787]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kitu ambacho kiko wazi ni kuwa siasa za Kenya ni tofauti sana na za hapa Tz. Ni tofauti sana.


Jesus is Lord
 
Back
Top Bottom