antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Alitegwa akategeka, akaingizwa kingi na Uhuru!Kwanini Odinga alikubali kuwa kama Serikali wakati yeye alikua mpinzani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitegwa akategeka, akaingizwa kingi na Uhuru!Kwanini Odinga alikubali kuwa kama Serikali wakati yeye alikua mpinzani?
Unasemaaaa2025 samia OUT,wajinga hawatanielewa
Wananchi nao wa ovyoNa pia upinzani wetu ni ovyo
Na nyie chadema muamini Mungu halafu tuone kama mtaingia IkuluNajua ninachoandika wale wa low IQ hawataelewa, Ruto alisimama, akamwamini Mungu, wakajaribu kufanya waliyotaka kuyafanya, hatimae haki imeshinda dhidi ya udhalimu. CCM next time msiingilie mambo ya watu
😂😂 Wana-chadema wakisoma hii watatamani kujinyongaKwahiyo wapinzani tokea hawakuwahi kumwamini Mungu tangu 1995?
Ccm ilisimamisha mgombea kenya?Najua ninachoandika wale wa low IQ hawataelewa, Ruto alisimama, akamwamini Mungu, wakajaribu kufanya waliyotaka kuyafanya, hatimae haki imeshinda dhidi ya udhalimu. CCM next time msiingilie mambo ya watu
2025 tumlete WAFULA WANYONYI CHEBUKATI atatusaidia.2025 samia OUT,wajinga hawatanielewa
Najua Team mwendazake inawauma sana. Poleni sanaKuwa wa kwanza kumpongeza mtu ndio kitu gani??
Kwa low IQ ndio tutawaza hivyoCcm ilisimamisha mgombea kenya?
Hakuna Mpare Mwenye akili mbovu, Wewe ni WA ujombaniNa nyie chadema muamini Mungu halafu tuone kama mtaingia Ikulu
Go deep and relate content and context in real time eventsIrrelevant contents and context.
Ruto unayemsemea hapa hana tofauti na ccm. Uliza wenyeji!
Nyie cjui chadema imewalisha nini au mmelishwa limbwata na chadema mana akili hamna, miaka yote mnakosa kura Kwahy mungu hayupo nanyi.?Hakuna Mpare Mwenye akili mbovu, Wewe ni WA ujombani
Ni Mpuuzi tu na kichaa au mwendawazimu atakayetamka maneno "CHADEMA wanakosa kura" narudia hata kichaa hawezi kutamka maneno hayoNyie cjui chadema imewalisha nini au mmelishwa limbwata na chadema mana akili hamna, miaka yote mnakosa kura Kwahy mungu hayupo nanyi.?
See thisUnawazungumzia wanasiasa wapinzani wa Tanzania walevi wa asali.
Uonavyo sivyo!Kenyatta anastaafu kwa aibu kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo kila mtu mchambuzi wa siasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wananchi nao wa ovyo