Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au pale Kilimatinde.Kwa kweli kibegi kingezinduliwa mlima wa hapo sekenke tu
KilobaBAHATI MBAYA UMESHAKITAJA KIBEGI KWA HIVYO KIMEKUFUNIKA.Waliotazama mpira wanasema eti timu sio nzuri sana.Nimesikia vijiweni huku mwananyamala.
Yanga ni sehemu kamili ya utawala kwenye nchi hii, kama Yanga ikifanya vizuri nchi nzima inatulia tuuuliiKimefunika na suala la bandar naona watanzania wote yanga saiv sion mambo ya bandar asante mungu angalau na mm mbunge wenu nimepumzika
Nadhani tunapshana kiswahili.Basi inaongeza idadi ya wateja.Hii ya kibegi haiongezi manunuzi (inelastic) maana washabiki ni walewale na kipato Chao ni hichohicho.
Kiroba.Kiloba
Mpira ni pesa bro, value for money lazima izingatiwe. Huwezi kuona live mechi kubwa kama hii kwa sh. 2000. Watu Wachache maokoto makubwa. Sherehe hii imefanyika katikati ya mwezi watu hawana fedha lakini bado wamejitokeza kiasi kile. Simba wametegea sherehe iwe mwisho wa mwezi,Sherehe ilikuwa Mbaya MNO.
Kadiri siku zinavyoenda sherehe za yanga zinazidi kudoda.
Leo NIMEONA fungulia mbwa.
Mashabiki zaidi ya Elfu 20 wameingia Bure.
Hivi watu elfu 20 unawajua wewe? Acheni propaganda uchwara sio kila mtu ni koloSherehe ilikuwa Mbaya MNO.
Kadiri siku zinavyoenda sherehe za yanga zinazidi kudoda.
Leo NIMEONA fungulia mbwa.
Mashabiki zaidi ya Elfu 20 wameingia Bure.
Hata hapa umelipwa promo bila kujua.Ukidhani umekiponda. Yaani kimewatesa na kitawatesa Sana.Habari ya mjini Sasa hivi ni Yanga kuifunga Kaiza chiefs, Skudu na Maxi. Hii imesababisha uzinduzi wa Jezi mpya za Simba uwe buusheti!!!
Simba wanategeshea iwe mwisho wa mwezi wapate viingilio vya buku 2000. Yanga hakuna viingilio vya buku 2000. Yanga wanajua kuichangia timu Yao lakini Simba lazima mo aingie mfukoni mwake kila wakati kwa kila kitu. Yanga vs Kaiza chiefs kwa 2000 ni kuzishusha hadhi timu.hiyo timu ilifungwa bao tatu na Simba kwenye mashindano ya klabu bingwa na sio kwenye bonanza kama mlilocheza Jana, kama mlifikiria mkiwaita mnaweza kuwafunga zaidi 5a magoli waliyofungwa na Simba poleni.
View attachment 2696846
Mzee vipi, kwani uzinduzi unafanyika mara ngapi? Mbona kibegi kilifika tangu Ijumaa jioni na uzinduzi ukafanyika? Au mtetemoko wa uzinduzi uliendelea hadi siku ya mechi Jumamosi?Habari ya mjini Sasa hivi ni Yanga kuifunga Kaiza chiefs, Skudu na Maxi. Hii imesababisha uzinduzi wa Jezi mpya za Simba uwe buusheti!!!
Hao walienda hapo kufuata nini? Au wanaishi hapo?Habari ya mjini ni fungulia mbwa
View attachment 2696432
ilikuwaje mkaingiza watu fungulia mbwa, nyie mlitangaza kiingilio kikubwa Ili mlipe madeni makubwa mnayodaiwa pamoja na kufidia pesa mliyoamriwa na FIFA mumlipe yule kocha aliyewaita manyani.Simba wanategeshea iwe mwisho wa mwezi wapate viingilio vya buku 2000. Yanga hakuna viingilio vya buku 2000. Yanga wanajua kuichangia timu Yao lakini Simba lazima mo aingie mfukoni mwake kila wakati kwa kila kitu. Yanga vs Kaiza chiefs kwa 2000 ni kuzishusha hadhi timu.
halafu tamasha lenu halieleweki tofauti na Simba terehe 8 mwezi wa 8 ingawa safari hii tarehe imebadilika kutokana na ngao ya jamii lakini nyinyi mnakurupushwa bila kuwa na siku maalumuSimba wanategeshea iwe mwisho wa mwezi wapate viingilio vya buku 2000. Yanga hakuna viingilio vya buku 2000. Yanga wanajua kuichangia timu Yao lakini Simba lazima mo aingie mfukoni mwake kila wakati kwa kila kitu. Yanga vs Kaiza chiefs kwa 2000 ni kuzishusha hadhi timu.