Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Simba gani huwa anaweza kuandika?mimi ni simba lakini Yanga ya msimu huu hatariiiiiiiiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba gani huwa anaweza kuandika?mimi ni simba lakini Yanga ya msimu huu hatariiiiiiiiiiiiii
Key players qao 4 hawakuwepo,akiwemo chivaviroKwa matokeo yale hata ujio wa miquison umezibwa mdomo.
Evidence plsMm ni YANGA ila kibegi cha simba kimetikisa nchi na Afrika kwa ujumla
soKey players qao 4 hawakuwepo,akiwemo chivaviro
Ni mechi kubwa ya timu kubwa kwavyovyote kiingilio hakingeweza kuwa sh. 2000 kuona mechi kubwa live. Tsh. 10000 ni sawa na watazamaji 5 wa 2000, hii inamaana kuwa Yanga imepiga hela ndefu jana kuliko ingesema kiingilio ni sh. 2000 au 3000. Ni kwa kiingilio, ada ya wanachama na jezzi mahala pekee wanachama wanaweza kuichangia furaha na ulevi wao wa kabumbu. Kwa viingilio vya 2000 ndio maana mo ataendelea kuwachachafya kila mwaka. Starehe ni gharama Tunataka watu wa Yanga waelewe hivyo.ilikuwaje mkaingiza watu fungulia mbwa, nyie mlitangaza kiingilio kikubwa Ili mlipe madeni makubwa mnayodaiwa pamoja na kufidia pesa mliyoamriwa na FIFA mumlipe yule kocha aliyewaita manyani.
Kuna ubaya gani wanayanga wenyewe wakalipa madeni ya furaha Yao? Bure ni ghali sana, kumtegemea mo kwa kila jambo kunampa jeuri ya kuwajambisha kila wakati.ilikuwaje mkaingiza watu fungulia mbwa, nyie mlitangaza kiingilio kikubwa Ili mlipe madeni makubwa mnayodaiwa pamoja na kufidia pesa mliyoamriwa na FIFA mumlipe yule kocha aliyewaita manyani.
kwani nyie mnajitegemea au mnamtegemea GSM, hivi yake madeni kwenye bajeti mliuliza mmekopa kwa nano?Kuna ubaya gani wanayanga wenyewe wakalipa madeni ya furaha Yao? Bure ni ghali sana, kumtegemea mo kwa kila jambo kunampa jeuri ya kuwajambisha kila wakati.
mechi kubwa unazijua, tulicheza na hiyo timu Tena kwenye mashindano ya Afrika sio bonanza kama la Jana, tulicheza na Sevilla viingilio vilikuwa vya kawaida, tulicheza na mabingwa wa Africa Tena wametoka kushika nafasi ya tatu klabu bingwa ya Dunia ndio maana nilikushauri kabla ya kupost omba ushauri kwa Yanga wenzako wenye akili oama Tate Mkuu au Changaule wakusaidie.Ni mechi kubwa ya timu kubwa kwavyovyote kiingilio hakingeweza kuwa sh. 2000 kuona mechi kubwa live. Tsh. 10000 ni sawa na watazamaji 5 wa 2000, hii inamaana kuwa Yanga imepiga hela ndefu jana kuliko ingesema kiingilio ni sh. 2000 au 3000. Ni kwa kiingilio, ada ya wanachama na jezzi mahala pekee wanachama wanaweza kuichangia furaha na ulevi wao wa kabumbu. Kwa viingilio vya 2000 ndio maana mo ataendelea kuwachachafya kila mwaka. Starehe ni gharama Tunataka watu wa Yanga waelewe hivyo.
Kwani ule moto kiwanjani mliuwacha kwenye mechi ipi? Hebu nikumbushe alooo.mechi kubwa unazijua, tulicheza na hiyo timu Tena kwenye mashindano ya Afrika sio bonanza kama la Jana, tulicheza na Sevilla viingilio vilikuwa vya kawaida, tulicheza na mabingwa wa Africa Tena wametoka kushika nafasi ya tatu klabu bingwa ya Dunia ndio maana nilikushauri kabla ya kupost omba ushauri kwa Yanga wenzako wenye akili oama Tate Mkuu au Changaule wakusaidie.
huo utafiti uliufanyia wapi, mama j alilipa kiingilio Cha shilingi ngapi?Kwani ule moto kiwanjani mliuwacha kwenye mechi ipi? Hebu nikumbushe alooo.
Utafiti unaonyesha kuwa watazamaji wanaokunya bafuni na kuharibu miundombinu ya uwanjani wengi wao watoka kwenye kundi la viingilio vya 2000 na 3000. Ni kundi kubwa la watu wasiokuwa na chakupoteza. Simba inao watu hao wengi sana. Timu lazima iwe na mipango, Kuna wakati timu inahitaji watu wa kuichangia na Kuna wakati timu inahitaji watu wa kuishangilia. Mwananchi day ni siku ya watu wanaoweza kuichangia timu Yao. Ndio maana Kuna ticket ziliuzwa sh. 500,000, 300000, 100000, 40000 pale na zilinunuliwa zote. Simba mtateswa sana na mo kwa kupenda vya bure all the time.
Mademu wa Rage mnamkumbuka sana bwana wenuVijana wa Rage hawataki kabisa kubadilika.
Yangu wote hamna akili hata wawili na wenyewe zimewaishiaHakuna mpenzi wa Yanga mwenye akili mbovu kama hizo
HALAFU mikia wakala 4 bondeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyo timu ilifungwa bao tatu na Simba kwenye mashindano ya klabu bingwa na sio kwenye bonanza kama mlilocheza Jana, kama mlifikiria mkiwaita mnaweza kuwafunga zaidi 5a magoli waliyofungwa na Simba poleni.
View attachment 2696846
Huyo huyoChivaviro si alikuwa marumo wakati inafungwa na Yanga nje ndani? Au chivaviro yupi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari ya mjini ni fungulia mbwa
View attachment 2696432
Kiingilio mliweka cha kawaida, ok, lakini hiyo ndiyo inayosababisha mo analalamika kupata hasara. yaani unatoa 2000 halafu unataka mchezaji wa bei kubwa kindezindezi. Lipia starehe yako sio kumtegea mo afanye.huo utafiti uliufanyia wapi, mama j alilipa kiingilio Cha shilingi ngapi?
jifunze kujibu hoja na sio kuhamisha magoli. umesema mmeweka kiingilio mechi ya Jana kwa sababu mlikuwa,mnacheza na timu kubwa na Mimi nikakujibu hiyo timu I;ilicheza na Simba Tena kwenye mashindano makubwa Africa na kiingilio kilikuwa Cha kawaida lakini nikakutolea mfano wa mechi kubwa ambazo kiingilio kilikuwa Cha kawaida lakini unachojibu hakifanani na hoja iliyopo.
hii itakuwa post ya mwisho kujibu nimegundua nabishana na mtu mwenye upeo mdogo.
unajuaje kama mo anapata hasara au wewe ni mhasibu wakeKiingilio mliweka cha kawaida, ok, lakini hiyo ndiyo inayosababisha mo analalamika kupata hasara. yaani unatoa 2000 halafu unataka mchezaji wa bei kubwa kindezindezi. Lipia starehe yako sio kumtegea mo afanye.
Duuuu!!! kasema mwenyewe sio mara moja.unajuaje kama mo anapata hasara au wewe ni mhasibu wake