Ushirikiano wa makundi ya kiislamu Gaza ni mfano wa kuigwa Kwa pamoja wamekataa ombi la kusitisha vita

Ushirikiano wa makundi ya kiislamu Gaza ni mfano wa kuigwa Kwa pamoja wamekataa ombi la kusitisha vita

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ndani ya Gaza kuna makundi kadhaa yanayopigana dhidi ya Israel kwa lengo moja la kuitetea Palestina na kuulinda masjid al aqsa.

Kila kundi lina wapiganaji wake na hazina ya silaha.Kuna vikundi ya kisunni na mkubwa wao ni Hamas.Kuna vikundi vya mlengo wa kishia wakiongozwa na al qassam brigade.

Cha kushangaza hawajawahi kupigana baina yao na wakati wote wa vita wamekuwa wakifuata amri moja kutoka kwa Hamas.

Nidhamu za hali ya juu ziliooneshwa katika wiki ya usitishwaji vita na kubadilishana mateka umewaduwaza maadui zao vya kutosha.

Mateka huwa hawako kwenye jengo moja fulani kama vile kambi ya kulelea yatima,bali wanashikiliwa vikundi vidogo vidogo kwa familia tofauti.Hata hivyo siku ya kukabidhi mateka,idadi ,muda na wakati vilikwenda sawa sawa.

Kwa pamoja makundi yote hayo yakiwa katikati ya mzingiro unaowanyima mahitaji muhimu ya maisha lakini yote kwa pamoja yamekataa mpango wa Misri wa usitishwaji vita ambao wameuona hauna faida na wao.

Misri imetengeneza mpango huo kwa ombi la Israel lakini masharti yaliyomo hayakuzingatia maslahi ya wapalestina.
 
SAWA LAKINI JE UNAKILI KWAMBA YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO
Premium%20Photo%20_%20A%20cross%20in%20front%20of%20a%20mountain%20wit.jpg
 
Hapo mwanza kuna kundi, ,hapo pwani kuna kundi, huko zanziba kuna kundi, jumla tunayo 3 mpaka sasa hivi na tunategemea huenda yataongezeka kutokana na hali ya hewa inatavyoruhusu

Kwa sasa kila kundi lina build customer Base yake kuwa na members wengi, na hii ni ishara yakubomoka kwa ukuta uliojengwa toka enzi za wakoloni, ijapokuwa itachukua muda ukuta wote kuanguka ila inshaallah? Kuna siku mwanga utaonekana upande wa pili wa dunia
 
Ndani ya Gaza kuna makundi kadhaa yanayopigana dhidi ya Israel kwa lengo moja la kuitetea Palestina na kuulinda masjid al aqsa.
Kila kundi lina wapiganaji wake na hazina ya silaha.Kuna vikundi ya kisunni na mkubwa wao ni Hamas.Kuna vikundi vya mlengo wa kishia wakiongozwa na al qassam brigade.
Cha kushangaza hawajawahi kupigana baina yao na wakati wote wa vita wamekuwa wakifuata amri moja kutoka kwa Hamas.
Nidhamu za hali ya juu ziliooneshwa katika wiki ya usitishwaji vita na kubadilishana mateka umewaduwaza maadui zao vya kutosha.
Mateka huwa hawako kwenye jengo moja fulani kama vile kambi ya kulelea yatima,bali wanashikiliwa vikundi vidogo vidogo kwa familia tofauti.Hata hivyo siku ya kukabidhi mateka,idadi ,muda na wakati vilikwenda sawa sawa.
Kwa pamoja makundi yote hayo yakiwa katikati ya mzingiro unaowanyima mahitaji muhimu ya maisha lakini yote kwa pamoja yamekataa mpango wa Misri wa usitishwaji vita ambao wameuona hauna faida na wao.
Misri imetengeneza mpango huo kwa ombi la Israel lakini masharti yaliyomo hayakuzingatia maslahi ya wapalestina.
nimewapongeza kwa ushirikiano huo, na kwa kukataa ombi la kusitisha vita. Ila nawashauri pia, wakipigwa na wakiona watu wao wanazidi kuuawa wasirudi kwenye international community kusema tuwasaidie kuzuia Israel inawamaliza watu wake. wakifa wafe wakichekelea wasilie na wasitupigie kelele mambuzi hao.
 
Hapo mwanza kuna kundi, ,hapo pwani kuna kundi, huko zanziba kuna kundi, jumla tunayo 3 mpaka sasa hivi na tunategemea huenda yataongezeka kutokana na hali ya hewa inatavyoruhusu

Kwa sasa kila kundi lina build customer Base yake kuwa na members wengi, na hii ni ishara yakubomoka kwa ukuta uliojengwa toka enzi za wakoloni, ijapokuwa itachukua muda ukuta wote kuanguka ila inshaallah? Kuna siku mwanga utaonekana upande wa pili wa dunia
mtaweka makundi ila mtakuja kupukutishwa tu mashetani wakubwa nyie. umesahau kigoma, bukoba, tanga, mtwara na wakubwa zenu wakiishi DSM. Mungu anaipenda Tanzania, atawadisclose mmoja baada ya mwingine na mtaisha tu mtuachie hiid unia sisi tunaopenda kuishi tuishi, ninyi tangulieni kwa mabikira 72.
 
mtaweka makundi ila mtakuja kupukutishwa tu mashetani wakubwa nyie. umesahau kigoma, bukoba, tanga, mtwara na wakubwa zenu wakiishi DSM. Mungu anaipenda Tanzania, atawadisclose mmoja baada ya mwingine na mtaisha tu mtuachie hiid unia sisi tunaopenda kuishi tuishi, ninyi tangulieni kwa mabikira 72.
Hata code ndogo hiyo ndogo niliyoiandika kwa kutumia akili ndogo umshindwa kuing'amua mjomba.... Hiyo ni hali ya ccm kwa sasa

Soma swali, elewa swali, kisha jibu swalii.

Punguza ukali wa maneno kwa mambo uliyoshindwa kuyaelewa
 
nimewapongeza kwa ushirikiano huo, na kwa kukataa ombi la kusitisha vita. Ila nawashauri pia, wakipigwa na wakiona watu wao wanazidi kuuawa wasirudi kwenye international community kusema tuwasaidie kuzuia Israel inawamaliza watu wake. wakifa wafe wakichekelea wasilie na wasitupigie kelele mambuzi hao.
Screenshot_20231225_091749_com.opera.mini.native.jpg
 
Hiv
Ndani ya Gaza kuna makundi kadhaa yanayopigana dhidi ya Israel kwa lengo moja la kuitetea Palestina na kuulinda masjid al aqsa.
Kila kundi lina wapiganaji wake na hazina ya silaha.Kuna vikundi ya kisunni na mkubwa wao ni Hamas.Kuna vikundi vya mlengo wa kishia wakiongozwa na al qassam brigade.
Cha kushangaza hawajawahi kupigana baina yao na wakati wote wa vita wamekuwa wakifuata amri moja kutoka kwa Hamas.
Nidhamu za hali ya juu ziliooneshwa katika wiki ya usitishwaji vita na kubadilishana mateka umewaduwaza maadui zao vya kutosha.
Mateka huwa hawako kwenye jengo moja fulani kama vile kambi ya kulelea yatima,bali wanashikiliwa vikundi vidogo vidogo kwa familia tofauti.Hata hivyo siku ya kukabidhi mateka,idadi ,muda na wakati vilikwenda sawa sawa.
Kwa pamoja makundi yote hayo yakiwa katikati ya mzingiro unaowanyima mahitaji muhimu ya maisha lakini yote kwa pamoja yamekataa mpango wa Misri wa usitishwaji vita ambao wameuona hauna faida na wao.
Misri imetengeneza mpango huo kwa ombi la Israel lakini masharti yaliyomo hayakuzingatia maslahi ya wapalestina.
Hivi ni akina nani wanaolia lia vita isimame? eb twambie ndg Alwaz, ni upande upi au watu gani wanaoomba ceasefire
 
SAWA LAKINI JE UNAKILI KWAMBA YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO View attachment 2853350
Yesu a.s namkubali sana.Tofauti kidogo na unamvyomkubali wewe.
Huyo ni mtume wetu na alipewa miujiza maalum na Mwenyezi Mungu.Hana upungufu kama manvyomdhalilisha nyinyi kwamba alilia msalabani.
Yesu a.s alikuwa mtume shujaa na aliyemtii Mola wake kama alivyokuwa ndugu yake mtume Muhammad s.a.w.
Mitume hawalii ovyo ovyo kuogopa watu wapuuzi
 
nimewapongeza kwa ushirikiano huo, na kwa kukataa ombi la kusitisha vita. Ila nawashauri pia, wakipigwa na wakiona watu wao wanazidi kuuawa wasirudi kwenye international community kusema tuwasaidie kuzuia Israel inawamaliza watu wake. wakifa wafe wakichekelea wasilie na wasitupigie kelele mambuzi hao.
Hawana shida na kukupigia makelele wewe.wakimuelekea Mola wao na kumlilia atawasikia na atawasikilizishia watu wengine tofauti na wewe.
 
Hata code ndogo hiyo ndogo niliyoiandika kwa kutumia akili ndogo umshindwa kuing'amua mjomba.... Hiyo ni hali ya ccm kwa sasa

Soma swali, elewa swali, kisha jibu swalii.

Punguza ukali wa maneno kwa mambo uliyoshindwa kuyaelewa
Lakini mkuu wew ndo umetuchanganya na comment yako ambayo umeileta katikati ya mjadala wa magaidi.
 
Back
Top Bottom