Ushirikiano wa makundi ya kiislamu Gaza ni mfano wa kuigwa Kwa pamoja wamekataa ombi la kusitisha vita

Ushirikiano wa makundi ya kiislamu Gaza ni mfano wa kuigwa Kwa pamoja wamekataa ombi la kusitisha vita

Vita ndio ilivyo au ulitaka wakute casino tables kama za LAS Vegas.Mwanajeshi akianza kulia na kujikojolea kwa kuwepo kwenye vita basi huyo sio mwanajeshi ni mwanamuziki.Vita sio lelemama.
wale wanajeshi wa israel wengine wameenda pale sio kwa kupenda, kule kuna sheria ya lazima kwa myahudi kushiriki vita/kuwa mwanajeshi kwa muda fulani, ndio maana majority ya hao wanajeshi wa israel utakuta hawafiki miaka 25. ni vijana wadogo tu, na wengine wametoka reserve huko nchi mbalimbali, walikuwa raia tu wa mtaaani ila walishawahi kutumikia jeshi hivyo wameitwa. tofautisha na hamas ambao wamepikwa na iran na kuiva kama makomandoo. kinachowaokoa israel hapo ni teknolojia na ubora wa silaha tu, ila ukakamavu, hamas wapo juu. ni sawa na wewe mburukuru huna pesa afu unashindana na tajiri, atakushinda tu kwasababu yeye pesa ndio itaongea. sasa kwa hapa israel teknolojia inaongea na ubora wa silaha. silaha walizonazo israel wangekuwa nazo hamas, vita ingeshaisha kitambo.
 
Vita ndio ilivyo au ulitaka wakute casino tables kama za LAS Vegas.Mwanajeshi akianza kulia na kujikojolea kwa kuwepo kwenye vita basi huyo sio mwanajeshi ni mwanamuziki.Vita sio lelemama.
wale wanajeshi wa israel wengine wameenda pale sio kwa kupenda, kule kuna sheria ya lazima kwa myahudi kushiriki vita/kuwa mwanajeshi kwa muda fulani, ndio maana majority ya hao wanajeshi wa israel utakuta hawafiki miaka 25. ni vijana wadogo tu, na wengine wametoka reserve huko nchi mbalimbali, walikuwa raia tu wa mtaaani ila walishawahi kutumikia jeshi hivyo wameitwa. tofautisha na hamas ambao wamepikwa na iran na kuiva kama makomandoo. kinachowaokoa israel hapo ni teknolojia na ubora wa silaha tu, ila ukakamavu, hamas wapo juu. ni sawa na wewe mburukuru huna pesa afu unashindana na tajiri, atakushinda tu kwasababu yeye pesa ndio itaongea. sasa kwa hapa israel teknolojia inaongea na ubora wa silaha. silaha walizonazo israel wangekuwa nazo hamas, vita ingeshaisha kitambo.
 
Hapo mwanza kuna kundi, ,hapo pwani kuna kundi, huko zanziba kuna kundi, jumla tunayo 3 mpaka sasa hivi na tunategemea huenda yataongezeka kutokana na hali ya hewa inatavyoruhusu

Kwa sasa kila kundi lina build customer Base yake kuwa na members wengi, na hii ni ishara yakubomoka kwa ukuta uliojengwa toka enzi za wakoloni, ijapokuwa itachukua muda ukuta wote kuanguka ila inshaallah? Kuna siku mwanga utaonekana upande wa pili wa dunia
Duh!...
 
Ndani ya Gaza kuna makundi kadhaa yanayopigana dhidi ya Israel kwa lengo moja la kuitetea Palestina na kuulinda masjid al aqsa.
Kila kundi lina wapiganaji wake na hazina ya silaha.Kuna vikundi ya kisunni na mkubwa wao ni Hamas.Kuna vikundi vya mlengo wa kishia wakiongozwa na al qassam brigade.
Cha kushangaza hawajawahi kupigana baina yao na wakati wote wa vita wamekuwa wakifuata amri moja kutoka kwa Hamas.
Nidhamu za hali ya juu ziliooneshwa katika wiki ya usitishwaji vita na kubadilishana mateka umewaduwaza maadui zao vya kutosha.
Mateka huwa hawako kwenye jengo moja fulani kama vile kambi ya kulelea yatima,bali wanashikiliwa vikundi vidogo vidogo kwa familia tofauti.Hata hivyo siku ya kukabidhi mateka,idadi ,muda na wakati vilikwenda sawa sawa.
Kwa pamoja makundi yote hayo yakiwa katikati ya mzingiro unaowanyima mahitaji muhimu ya maisha lakini yote kwa pamoja yamekataa mpango wa Misri wa usitishwaji vita ambao wameuona hauna faida na wao.
Misri imetengeneza mpango huo kwa ombi la Israel lakini masharti yaliyomo hayakuzingatia maslahi ya wapalestina.
gaza inakuwa majivu watieni kiburi hatutaki #pray palestine
 
Duh!... makundi ya nini tena hayo ? Na sababu za uwepo wake ni Nini hasa ?
Hiyo ni code mkuu wala haiusiani na kichwa cha habari, ngoja niweke wazi hiyo n CCM

Wasije wakanitafuta hawa polisi waliokosa kazi kuanza kuomba ushirikiano
 
Hiyo ni code mkuu wala haiusiani na kichwa cha habari, ngoja niweke wazi hiyo n CCM

Wasije wakanitafuta hawa polisi waliokosa kazi kuanza kuomba ushirikiano
Ooooh!....Makundi ndani ya Ccm hayaepukiki kuanzia mwakani tutashuhudia mengi sana kwenye hicho chama Chakavu.
 
Kumbe kweli ni makundi ya kiislamu, mbona huwa mnayakana tena baadae!
 
Na hii silaha ya umoja ndio imewafanya hamas na washirika wake kuwapelekea moto mazayuni magaidi mpaka sasa
Walitegemea watawagawa ila majamaa wamekua imara katika kipindi hiki kigumu kuliko wakati mwengine hata kabla ya mzozo kuanza
Allah awatie nguvu
Yaani mpaka serikali ya Fatah haijawaacha mkono.
 
Back
Top Bottom