Ushirikina Kigoma: Mwanamke aliyefariki Oktoba 2018 na kuzikwa aonekana akiwa hai

Ushirikina Kigoma: Mwanamke aliyefariki Oktoba 2018 na kuzikwa aonekana akiwa hai

Alizikwa wapi? Nani alihudhuria mazishi yake? Msiba ulikua wapi? Waliaga mwili? Wameenda alipozikwa kujionea nini kinaendelea?

Story za Uchawi huwa na loopholes nyingi sana zinazohitaji common sense ndogo tu kung'amua ndo maana nasema wanaoamini Uchawi ni watu wajinga na maskini.
100%
 
Alizikwa wapi? Nani alihudhuria mazishi yake? Msiba ulikua wapi? Waliaga mwili? Wameenda alipozikwa kujionea nini kinaendelea?

Story za Uchawi huwa na loopholes nyingi sana zinazohitaji common sense ndogo tu kung'amua ndo maana nasema wanaoamini Uchawi ni watu wajinga na maskini.
Kwamba unamkatalia kamanda wa police wa mkoa?

Kwamba ndugu waliothibitisha ndugu yao kufariki akiwa anajifungua na kumzika mpaka kumtambua akionekana kuwa hai ni wajinga?

Wanadanganya au?
 
Kwamba unamkatalia kamanda wa police wa mkoa?

Kwamba ndugu waliothibitisha ndugu yao kufariki akiwa anajifungua na kumzika mpaka kumtambua akionekana kuwa hai ni wajinga?

Wanadanganya au?


View: https://www.youtube.com/watch?v=GsSlX7zEvAM&lc=Ugwer6udSg9RTzRo8Nt4AaABAg.9yCgCVuqlkp9yESOOvTzg_

Video hiyo hapo ya kamanda wa polisi Kigoma at 0:50 anasema hajafufuka. Leta wewe uthibitisho wako wapi kamanda kasema mtu kafufuka.

Mahojiano ya ndugu umeona wapi? umeonyeshwa alipozikwa? Wamefika makaburini alipozikwa na kuona nini kinaendelea? Leta uthibitisho wa haya which is fairly simple kabla sijakubana kwenye uthibitisho wa imani ya kijima ya ushirikina.

Kwanza naomba video ya kamanda, mimi nimekupa anayosema mtu hajafufuka.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=GsSlX7zEvAM&lc=Ugwer6udSg9RTzRo8Nt4AaABAg.9yCgCVuqlkp9yESOOvTzg_

Video hiyo hapo ya kamanda wa polisi Kigoma at 0:50 anasema hajafufuka. Leta wewe uthibitisho wako wapi kamanda kasema mtu kafufuka.

Mahojiano ya ndugu umeona wapi? umeonyeshwa alipozikwa? Wamefika makaburini alipozikwa na kuona nini kinaendelea? Leta uthibitisho wa haya which is fairly simple kabla sijakubana kwenye uthibitisho wa imani ya kijima ya ushirikina.

Kwanza naomba video ya kamanda, mimi nimekupa anayosema mtu hajafufuka.

Mimi sijasema mambo ya kufufuka, hayo umeyaleta wewe.

Mimi nimeongelea mtu aliyefariki na kuzikwa miaka mitano iliyopita kuonekana akiwa hai.

Of which kamanda wa police hajakanusha, in facts anathibitisha kuwa ni kweli mpaka picha zake umewekewa.

Sasa unataka uthibitisho gani mwingine?
 
Mimi sijasema mambo ya kufufuka, hayo umeyaleta wewe.

Mimi nimeongelea mtu aliyefariki na kuzikwa miaka mitano iliyopita kuonekana akiwa hai.

Of which kamanda wa police hajakanusha, in facts anathibitisha kuwa ni kweli mpaka picha zake umewekewa.

Sasa unataka uthibitisho gani mwingine?

Hakuna sehemu kamanda kathibitsha mtu kufufuka. Wewe unatoa wapi sehemu kamanda anayothibitisha mtu kufufuka? At 0:50 anasema clearly kabisa hajafufuka.

Umeona wapi mahojiano ya ndugu zake? umeonyeshwa alipozikwa?
 
Hakuna sehemu kamanda kathibitsha mtu kufufuka. Wewe unatoa wapi sehemu kamanda anayothibitisha mtu kufufuka? At 0:50 anasema clearly kabisa hajafufuka.

Umeona wapi mahojiano ya ndugu zake? umeonyeshwa alipozikwa?
Unajua kusoma kwa ufasaha kweli mkuu?

Msingi wa hoja yangu ni mtu aliyefariki miaka mitano iliyopita kuonekana akiwa hai.

Wewe unanilazimisha nikuonyeshe kamanda akisema kufufuka, wapi nimesema kuna mtu kafufuka?

Pia,

Unatumia chanzo kuthibitisha madai yako, chanzo hicho hicho unakikatalia kikikwambia alikufa akiwa anajifungua na akizikwa miaka mitano iliyopita.

Unataka mimi nikawahoji ndugu zake au?
 
Unajua kusoma kwa ufasaha kweli mkuu?

Msingi wa hoja yangu ni mtu aliyefariki miaka mitano iliyopita kuonekana akiwa hai.

Wewe unanilazimisha nikuonyeshe kamanda akisema kufufuka, wapi nimesema kuna mtu kafufuka?

Pia,

Unatumia chanzo kuthibitisha madai yako, chanzo hicho hicho unakikatalia kikikwambia alikufa akiwa anajifungua na akizikwa miaka mitano iliyopita.

Unataka mimi nikawahoji ndugu zake au?


Mkuu, najua umewahi kusikia watu wanapaa na ungo ila hujawahi kuona. Ukiuliza uthibitisho hakuna.

A few month ago kuna mama alisema kajifungua jiwe na watu walisema wamemuona mtoto kageuka jiwe, walipoenda hospital hakuna record, bdae yule mama alisema mwenyewe ni uongo. Naamini ulisikia hii story.

Kwenye hii story ya huyu mtu kufufuka, kwanza huyu mama anaonekana anachangamoto ya akili kama kawaida ya watu wanaosingiziwa na kuamini uchawi karibu wote huwa na changamoto ya afya ya akili.

Nakuhakikishia hii story ukichimba vizuri ina loopholes kibao na zote zitakuja to surface in a wk or so. Sijaona mtu hata mmoja akihakikisha pasi na shaka huyu mama kuzikwa na mahali alipozikwa. Zote ni hearsay tu.

Umewahi kujiuliza kwanini media kubwa huwa hawaripoti kabisa hizi tetesi za kizwazwa? Kama mtu kafufuka unadhani isingekua habari kubwa dunia nzima.


View: https://www.youtube.com/watch?v=vi5ZbxntvpE&t=52s
 
Back
Top Bottom