Ushoga katika taifa la Israeli

Achana na walawi

Tujenge nchi kwanza

Kutwa kucha Israรซl Israรซl

Tuwekeze focus kwetu

Bora mlete mambo ya wafipa, au Hadithi za wafyomi na wayao na waikoma
 
Pwani ya afrika mashariki ubasha na ushoga alileta nani mara ya kwanza.
Nazungumzia unguja na pemba na tanga na kismayu na mogadishu na kilwa na mombasa na kilwa na sofala pia.
Si ndo maana nimesema hao watu weupe wote washenzi si waarabu wala wazungu. Huku kwetu watu wa mashariki ya kati wameleta waarabu. Na wazungu wamefundishwa na warumi na wagiriki wa kale ndio wamewaletea ustaarabu wa uchoko wazungu wenzao. Na sasa wayahudi nao wamekua wadau wazuri tu.
 
Upo sahii kabisa mdau
 
Mkuu Maalim Raphael,
Kuhusu masuala ya ushoga kwa nini unahangaika na mambo ya nchi za mbali huko badala ya kuangazia hapo jirani tu Zanzibar ambapo kuna ndoa nyingi tu za mashoga, na sherehe za harusi hufanyika kabisa?!

View: https://youtu.be/3Uuill1-iKM?si=rwW69pxsYdBZIXaV

View: https://youtu.be/1WmUz6NKsJU?si=kB_wlq8CwE0NfXnr
 
Mbona hata kwa waarabu hii michezo ipo lakini hamuongelei

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo vijana wa Kiislam mmekaliwa na chuki rohoni pamoja na unafki, ungekuwa unajuwa ukweli wala usingekuwa na jazba namna hii. Usenge unakatazwa uarabuni ila nduguzo wanafilana kama hawana akili tena kwa kujificha.
 
Na maalimu usisahau tutazame pia watu wa kwanza kuuleta ushoga na ubasha pwani ya afrika mashariki walitokea mataifa yapi ya bandia.
NB:Nitashukuru ukitizama na hilo pia
Usiache na kiwaangalia anglikana, mkuu.
Alafu kumbuka hakuna dhehebu la kiislam lililo ruhusu mambo hayo.
Wala msikiti unao ruhusu ndoa za jinsia moja, hapa Duniani, kama upo niambia nibadili dini sasa hivi.
 
Someni hii hadith kwanza ambayo ili kuficha ukweli inaitwa hadith dhaifu na wanazuoni wa kiislamu hadithi idadi 16,245 na naomba msome kwa sauti ya juu

Sio maneno yangu bali maneno ya Mu'wahiya Ibn Abu Sufyan ambae ni Mwarabu.
 
Nchi takatifu inaporuhusu uchafu unaomchukiza YEHOVA !! Lazma wataendelea kuteswa na wafilisti na wakiendelea watateketezwa tena kwa moto kama Sodoma na Gomorah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ