Ushoga katika taifa la Israeli

Maalim....[emoji16][emoji16][emoji16]

Nikiri tu sijasoma yote. Nimesoma tu title halafu nikasoma na jina la mwandishi basi nikaishia hapo!
Nakushauri soma upate faida

HAKUNA hata sehemu ilipotajwa UISLAM wala MANABII wake
Wala ulipotajwa UKIRSTO na MANABII

amefafanua jambo ambalo naimani litaongeza kitu kwako
 
Picha ya mnara tafadhali
 
Andiko lako tungeliwekia akili na kulijadili kama ungelileta kipindi tofauti na sasa.
Sasa hivi tuna hangaika na jinsi ya kuangamiza kundi la kigaidi la Hamas lililoshambulia kongamano la nyimbo lililokuwa likifanywa na raia wa Israel.
Sijaona neno HAMASI hata moja
Wala NETANYAHU
wala PALESTINA wakionewa
Ameleta ELIMU ambayo nadhani mpk sasa utakuwa kuna kitu umeongeza kichwani kama utakuwa unesoma yote
 
Kwani anglikana ni Waislam?
Hakuna sehem Waislam wanaruhusu mambo hayo zaidi ya makanisani.

Tumesikia na nadhani hata wewe ni shahidi, kua papa (catholic) yuko mbioni kuruhusu mambo hayo.

Ukinipa na ushahidi kua kiongozi wa Waislam anatetea mambo hayo, sasa hivi nabadili dini.
 
Propaganda hazisaidii watu kusilimu.Tunaangalia matendo yenu.Ni heri mashoga wasio wauaji kuliko waswalihina makatili na wauaji.
Hivi kuna anaesilimu kwa kufata akili za mtu? Huyo atakuwa mjinga wa mwisho duniani, atakuwa hana tofauti na wanaofikiri kuwa myahudi ndiyo mungu wao.

Kwanza Uislamhauruhusu mtu asilimu kwa kushawishiwa na mtu. Kusilimi ni kujisalimisha mja kwa Muumba wake. Full stop.
 
Tafiti inapingwa na tafiti, asante kwa andiko lako mpaka nitakapothibitisha ntakubaliana na wewe ila yote kwa yote ushoga ni wa kupingwa kabisa yaani
 
Waislam ni jamii ya watu wasipenda ukweli ujulikane, ukiwaambia ukweli tu wako radhi wakuue hata kwa kukusomea kisomo cha albadr ama kukuchinja kabisa.
 
Waislam ni jamii ya watu wasipenda ukweli ujulikane, ukiwaambia ukweli tu wako radhi wakuue hata kwa kukusomea kisomo cha albadr ama kukuchinja kabisa.
Mungu hayuko kama wanavyodhani hukumu ya Mungu sio ya Mwanadamu
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ