Ushoga na haki za mwanamke na watoto ni watoto pacha

Ushoga na haki za mwanamke na watoto ni watoto pacha

Wanaume wananyanyaswa na wanawake. Mwanaume anatamani na kudisa anaoana, matiti, mapaja, sauti, kumpapasa na hata kunusa. Lakini Sasa mwanaume anatakiwa aangalie TU kwa macho hata kama mwanamke anatembea uchi, ana sauti nzuri au anakupapasa, hata kama uko wote uchi kitandani utaambiwa umembaka, ni mume nani anataka upuuzi huo? Kubadilisha nature kuwa man made behaviour sio jambo rahisi
 
Dimvi linatoka tu lakini mkuyenge unaingia na kutoka.

Hiyo dhana kua kila mtu kafirimbwa na dimvi lake sio kweli.

Ila bado sijaelewa upande ulipo ndgu, naona unang'ata huku unapuliza.
 
wanaharakati wa jenda ni kakundi kadogo ka wanawake kanakowadanganya wenzao walio wengi. Mimi na dada zangu tumezaliwa, tumelelewa, tumesomeshwa wote na kupendana kabisa, sijamsikia baba akisema wewe mwajuma usioge ili kaka yako aoge kwanza, sijasikia akisema wewe halima usiende shule ili kaka yako ada itoshe. NilikuWA nachunga mifugo ya familia yote, walikuwa wanapika chakula cha familia yote kuna ubaya gani hapo mimi kuchunga na yeye kupika? Ghafla ninamsikia mjinga anasema wewe halima utapata hiki na kile kwakuwa ni mwanamke, utakopeshwa, utawezeshwa, nk lakini mimi sipati. Najiuliza hivi hawa wanafanya kitu gani? kwanini wanafanya mambo ya jumlajumla namna hii? Kama kuna jamii inawakataza wanawake wao wasiende shule ni bora wa kahangaika na hilo kabila tu badala ya kusema wanawake wote, wanaume woote, nk. Mbona akina mama Mongela na wengine wamesoma na wako vizuri? nani anaweza kumyanyasa, kumuonea, kumdhulumu mama mongela? Wanawake amkeni hamuhitaji kuwezeshwa na mtu yeyote yule, wanaosema hivyo ni waganga njaa na makuwadi wa ushoga.
Vichwa maji hawawezi kukuelewa boss
 
Vichwa maji hawawezi kukuelewa

Dimvi linatoka tu lakini mkuyenge unaingia na kutoka.

Hiyo dhana kua kila mtu kafirimbwa na dimvi lake sio kweli.

Ila bado sijaelewa upande ulipo ndgu, naona unang'ata huku unapuliza.
Kaka ushoga ni jambo baya sana kwa mtu na hata kwa Mungu aliyetuumba. Ushoga ni ushahidi wa dharau na dhihaka kwa Mungu aliyetengeneza kinyeo kwaajili ya kunyea mavi TU na uke kwa kugegeda na kuzalia watoto. Nonachokikusudia kukisema kwenye Uzi huu ni kwamba wanaume kule nchi za magharibi wamelazimika kutafuta njia nyingine (ushoga) ya kukamilisha uraibu wao wa kujamiana baada ya njia ya asili (wanawake na uke) kuwekewa Sheria lukuki, Baada ya maisha kuwa magumu sana na wanawake kuwekewa Sheria nyingi sana kuwalinda hivyo wanaume nao wakalazimika kutafuta njia mbadala za kujamiana. Lakini jamii na wakiwemo wanawake wanasahau kuwa Sheria nyingi za kumlinda mwanamke dhidi ya mwanaume ni moja kati ya chimbuko la kuongezeka vya vitendo vya ushoga huko nchi za magharibi. Yaani kila siku wanaume wanafunguliwa kesi za wanawake na kulipa fedha nyingi sana na wengi wako magerezani. Wanaume matajiri ndio wanaowindwa sana kupewa kesi za ubakaji, unyanyasaji wa wanawake na watoto. Hii ikasababisha chuki na hofu kubwa kati ya wanaume matajiri na wanawake, kitu kilichosababisha matajiri na cerebrates hawa kugeukia ushoga na kutumia pesa zao kueneza ushoga duniani kama njia ya kuwasomesha wanawake.
 
Kaka ushoga ni jambo baya sana kwa mtu na hata kwa Mungu aliyetuumba. Ushoga ni ushahidi wa dharau na dhihaka kwa Mungu aliyetengeneza kinyeo kwaajili ya kunyea mavi TU na uke kwa kugegeda na kuzalia watoto. Nonachokikusudia kukisema kwenye Uzi huu ni kwamba wanaume kule nchi za magharibi wamelazimika kutafuta njia nyingine (ushoga) ya kukamilisha uraibu wao wa kujamiana baada ya njia ya asili (wanawake na uke) kuwekewa Sheria lukuki, Baada ya maisha kuwa magumu sana na wanawake kuwekewa Sheria nyingi sana kuwalinda hivyo wanaume nao wakalazimika kutafuta njia mbadala za kujamiana. Lakini jamii na wakiwemo wanawake wanasahau kuwa Sheria nyingi za kumlinda mwanamke dhidi ya mwanaume ni moja kati ya chimbuko la kuongezeka vya vitendo vya ushoga huko nchi za magharibi. Yaani kila siku wanaume wanafunguliwa kesi za wanawake na kulipa fedha nyingi sana na wengi wako magerezani. Wanaume matajiri ndio wanaowindwa sana kupewa kesi za ubakaji, unyanyasaji wa wanawake na watoto. Hii ikasababisha chuki na hofu kubwa kati ya wanaume matajiri na wanawake, kitu kilichosababisha matajiri na cerebrates hawa kugeukia ushoga na kutumia pesa zao kueneza ushoga duniani kama njia ya kuwasomesha wanawake.
Na vipi kwa mashoga wenyewe kipi kilichopelekea wawe mashoga huko magharibi, maana hapo umebase kwa mashababi kutaka kuridhishwa kingono?

Je ni ukata hufanya watu wawe mashoga huko ughaibuni, na kama ndio mbona mastaa wengi mashoga ilhali wamepata pesa na umaarufu??
 
Back
Top Bottom