Sasa kama wao wamekubali kuliwa inakuaje wanatumia nguvu kusambaza mambo yao kwenye ulimwengu mzimaLGBTQ community sio mashoga tu mleta mada tambua hilo kwanza...humo kuna wasagaji..transgender n.k
Elewa pia na movements zao..ni kutaka uhuru na amani waishi maisha waliyo yachagua bila chuki..husda..kunyanyapaliwa..kutengwa ama kuuawa.
Ndio lengo lao kuu..hakuna mtu wanayemlazimisha ajiunge nao...fanya yako na wao wa fanye yao kwa raha zao na maisha yaendelee.
#MaendeleoHayanaChama
Du kweli wewe shoga uliyekubuhu.Una quote yoyote ya dini yako inayokupa uhalali wa kujinadi kunyonya au kunyonywa sehemu zako za siri?? Mbona unanyonya na kunyonywa??
Asiyefynzwa mema na babaye hufunzwa na dunia.matusi ya nini unaingiza wazazi wa mtu ili iweje?
Mimi na solution tuwe na world cup 2 moja ya mashoga na nyingine ya kwetu wanaume. wanaotaka ushoga wanaweza kuwa na ya kwao hata wavae jezi za Rainbow wote sawa tu na sisi Africa+Asia na wengine S.America tukawa na W.cup yetu ili shida hii iishe. Ushoga mambo ya chumbani unaleta nini barabarani. Hata Malaya ana aibu pia anajificha na kufanya usiku ila hawa jamaa hata chembechembe za aibu zimekatika.Sasa ni wazi. Nchi za Ulaya na Marekani wana nia rasmi ya kueneza USHOGA dunia nzima. Sina lugha nyepesi zaidi ya kusema huu ni USHENZI ambao duni huru haiwezi kuukubali. Hakuna dini inaruhusu suala la ushoga, si Uislamu au Ukriso.
Wameamua kuifnya Qatar kuwa mfano wa kulazimisha ushenzi wao. Nawapongeza Qatar kwa kutataa katakata kuruhusi hali hiyo isiyo ya kistaarabu.
Na hawa watu hawana haya, wanalinganisha hili la ushoga na haki za binadamu. Hata ninapoandikai hili naomba wanyeshewe mvua ya moto.
Western values ni ushoga? Ukikataa na ukristo ukafuata uislamu, Hindu au dini za mababu zetu watakufanyaje?Hivi bado tu hujui ukipngana na westen values ni nn kitakukuta?..
Uwe hai tu viti vyako vigeuzwe vishoga ....utaelewa.
Labda wewe u never know..
Cc MK254Pro nato watakuja kutetea
Unajifanya kuzunguka zunguka ila ww ni choko tu.Unaposema wana nia yakueneza kwani tunashikiwa fimbo kalazimishwa kufanya huo ujinga?.Au akili zetu ni ndogo kiasi gani hadi tushindwe kujisimamia.
Au wewe unaweza kufanya au kuiga jambo la kipuuzi kwasababu umewaona wazungu au mtu mwingine mjinga akifanya?
Tufundishe jamii yetu kujielewa ili hayo yakijinga ya wazungu wabaki nayo wenyewe.Vinginevyo tuna shida kubwa kama jamii na hatuko tayari kuishughulikia ndo maana tunataka kuelekeza lawama kwa wazungu wakati sisi wenyewe hatujitambui.
Hapo kwenye vibrancy
Ni mbinu ya Shetani (Lucifer), kumdhihaki MUNGU.Kwanini walichagua rainbow kama nembo yao
Hata kama mashoga wapo lakini matendo yao hayakubaliki katika jamii yetu wala serikali yetu haikubaliani na ndoa za jinsia moja! Kama mtu ameamua kuharibika hiyo ni juu yetu. Lakini kule ulaya na marekani mashoga wanalelewa na wanakubalika na srikali inakubalkiana na mambo yao.Nchini kwako kwenyewe mashg kibaooo
Na mabongofleva yenu
Ova
tatizo hawajatosheka kupakuana wao kwa wao wanataka kueneza uchafu wao dunia nzima, wakome!!Unajua kwamba wenye akili hufanya leo kwaajili ya baadae
Miaka ijayo maisha yatakuwaje mtu atakuwa anaona kupakuliwa ni kitu ya kawaida kwa sababu amezaliwa na jamii ameikuta hivyo ndiyo lengo la hawa watu
Tulilazimishwaje?.Umaskini wetu na kutojitambua ndio kunakopelekea tunapewa masharti ya kijinga ya hivyo.tunaendekeza njaa kwenda kuomba ela za mashoga uko nje alafu hatutaki kupewa masharti.Ulishaona wapi hiyo.Kwani umesahau obama na tony blair walipokuwa madarakani walilazimisha waafrika turuhusu huo ushenzi? na mugabe akamwambia obama kama wanataka tuoane sisis kwa sisi(wanaume}.....kwanza obama akubali kuolewa na mugabe????????
Uhuru si wanao nchini kwao, kwa nini wanalazimisha kampeni yao mpaka nchi ambako hawakubaliki! Wapakuane huko huko!!LGBTQ community sio mashoga tu mleta mada tambua hilo kwanza...humo kuna wasagaji..transgender n.k
Elewa pia na movements zao..ni kutaka uhuru na amani waishi maisha waliyo yachagua bila chuki..husda..kunyanyapaliwa..kutengwa ama kuuawa.
Ndio lengo lao kuu..hakuna mtu wanayemlazimisha ajiunge nao...fanya yako na wao wa fanye yao kwa raha zao na maisha yaendelee.
#MaendeleoHayanaChama
Tutarudi pale pale kua hao vijana wako ukiona wameshawishika kufanya huo uchafu jua hawajitambui.Lea vijana wako kwenye misingi yakujitamini na kujitambua.sio unakwepa kuwapa malezi bora alafu wakiwa wajinga na matamaa yakipuuzi unalia lia.Vinginevyo niambie nawewe unaweza kufirw kwasababu yakushawishiwa.Soma mada na uielewe.
Vijana wetu wanapolazimishwa kuona hawa wazungu washenzi mashoga wakijinadi mchana kweupe, ulitaka watu wakae kimya?
Inawezekana sina ila nimekuzidi akili.Sasa jiulize zako zitakua kiasi gani.huna akili 100%.
KummmkoTutarudi pale pale kua hao vijana wako ukiona wameshawishika kufanya huo uchafu jua hawajitambui.Lea vijana wako kwenye misingi yakujitamini na kujitambua.sio unakwepa kuwapa malezi bora alafu wakiwa wajinga na matamaa yakipuuzi unalia lia.Vinginevyo niambie nawewe unaweza kufirw kwasababu yakushawishiwa.
Hauhitaji kutukana mtu mkuu.. Shindaneni Kwa hojaKummmko
Sasa ni wazi.
Nchi za Ulaya na Marekani wana nia rasmi ya kueneza USHOGA dunia nzima.
Sina lugha nyepesi zaidi ya kusema huu ni USHENZI ambao dunia huru haiwezi kuukubali.
Hakuna dini inaruhusu suala la ushoga, si Uislamu au Ukriso.
Wameamua kuifanya Qatar kuwa mfano wa kulazimisha ushenzi wao. Nawapongeza Qatar kwa kukataa katakata kuruhusi hali hiyo isiyo ya kistaarabu.
Na hawa watu hawana haya, wanalinganisha hili la ushoga na haki za binadamu. Hata ninapoandikai hili naomba wanyeshewe mvua ya moto.