Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
- Thread starter
- #81
SHUHUDA: HATIMAYE AMETIKI (based on my true story) 5th epsode
... Binti huyo aliendelea kunikazia nikiongelea swala la mahusiano hata hakunielewa kabisa nilimwambia nimemic zile moment za kipindi kile tukiwa relini, nilimkumbusha lakini alisema hayo yaliishia siku ile na wala nitegemee chochote harafu alipenda kukazia kwenye maongezi neno SIKUPENDI. hivyo kama nategemea chochote ni kama napoteza mda tu.
Kama kawaida yake mda mwingine namkera zaidi harafu nachezea block ila nilijipa moyo kwa kusema Everything is possible, you gonna dream like you have never seen an obstacle yaani niliamini ndoto unaweza zilinda kama haujawahi Kutana na vikwazo. Pia nilisahau msemo usemao kama mtu hakupendi usimulazimishe kupenda.
Ilikua safari ya ndiyo hapana kwake mara ndio mara hapana. Yaani mda mwingine namtafuta hata kwenye simu nyingine ananiuliza wewe nani? Nami namjibu mimi si kasomi mara kasomi gani mbona hata sikufahamu kama mapenzi mapenzi yanavyo tuendesha inanilazimu kujitambulisha majina yote eti naitwa Emmanuel Kasomi ilikuwa moja ya dharau Yaani alinishusha sana lakini mda mwingi tulikuwa tunaongea nae kwa kweli sikuwahi muelewa maana unachat kidogo anakwambia piga. Ukipiga unaongea kidogo mara anasema unamkera.
Siku ziliendelea huku tukisumbuana na mimi niliishi kusumbuana nae tu yaani ndo yalikuwa maisha yetu.
Kulikua na maneno yake aliyo kuwa anapenda kuniambia mara niacha usumbufu, nisimufuatilie, fuata yako nami nifuate yangu. Si hayo tu yaani alinihakikishia kwamba haita tokea hata siku moja mimi kupata nafasi ya kunipenda hata siku moja.
Maisha yaliendelea siku moja ambayo ndo naweza sema ilikuwa siku yangu ya mwisho kusumbuana nae ilikuwa mida ya saa 3usiku.
Nilimtumia sms nikisema uwe na usiku mwema pia nikaongeza na jina kwa kumuita kwa kilugha nikiwa na maana ya mwanamke wangu, lilitumia meno mwanamke wangu kwa kabila langu ili asielewe, alicho nijibu ndio kikafanya nimuwakie na ndio kulifanya nifikie tamati siku hiyo.
To be continued...
... Binti huyo aliendelea kunikazia nikiongelea swala la mahusiano hata hakunielewa kabisa nilimwambia nimemic zile moment za kipindi kile tukiwa relini, nilimkumbusha lakini alisema hayo yaliishia siku ile na wala nitegemee chochote harafu alipenda kukazia kwenye maongezi neno SIKUPENDI. hivyo kama nategemea chochote ni kama napoteza mda tu.
Kama kawaida yake mda mwingine namkera zaidi harafu nachezea block ila nilijipa moyo kwa kusema Everything is possible, you gonna dream like you have never seen an obstacle yaani niliamini ndoto unaweza zilinda kama haujawahi Kutana na vikwazo. Pia nilisahau msemo usemao kama mtu hakupendi usimulazimishe kupenda.
Ilikua safari ya ndiyo hapana kwake mara ndio mara hapana. Yaani mda mwingine namtafuta hata kwenye simu nyingine ananiuliza wewe nani? Nami namjibu mimi si kasomi mara kasomi gani mbona hata sikufahamu kama mapenzi mapenzi yanavyo tuendesha inanilazimu kujitambulisha majina yote eti naitwa Emmanuel Kasomi ilikuwa moja ya dharau Yaani alinishusha sana lakini mda mwingi tulikuwa tunaongea nae kwa kweli sikuwahi muelewa maana unachat kidogo anakwambia piga. Ukipiga unaongea kidogo mara anasema unamkera.
Siku ziliendelea huku tukisumbuana na mimi niliishi kusumbuana nae tu yaani ndo yalikuwa maisha yetu.
Kulikua na maneno yake aliyo kuwa anapenda kuniambia mara niacha usumbufu, nisimufuatilie, fuata yako nami nifuate yangu. Si hayo tu yaani alinihakikishia kwamba haita tokea hata siku moja mimi kupata nafasi ya kunipenda hata siku moja.
Maisha yaliendelea siku moja ambayo ndo naweza sema ilikuwa siku yangu ya mwisho kusumbuana nae ilikuwa mida ya saa 3usiku.
Nilimtumia sms nikisema uwe na usiku mwema pia nikaongeza na jina kwa kumuita kwa kilugha nikiwa na maana ya mwanamke wangu, lilitumia meno mwanamke wangu kwa kabila langu ili asielewe, alicho nijibu ndio kikafanya nimuwakie na ndio kulifanya nifikie tamati siku hiyo.
To be continued...