Ushuhuda kwa yeyote aliyefanikiwa kupata mme au mke hapa

Kumbe na wewe sio haba😜
 
Muda ni SASA usipotoa ushuhuda subiri wezi wapite nae mchumba

😂😂😂 Wahuni saaana hao wapare.

Tafuta wasukuma
Sijawahi kupata mwanaume wa kisukuma
Ila nishawaona marafiki zangu wawili wa kisukuma jinsi wanavyopenda pisi zao

Mkwe naumwa🥲
 
Yaani kwa kweli mtu usipokuwa na kiasi kwenye hizi mambo utaangukia pua, girls dress well, wanaonesha shapes zao...ni kuomba na kufunga tu🤣🤣🤣
 
Usijaribu, utapata walanguzi tupu
 
Na nilichogundua ni kua jf pisi zipo nyingi tu ila chache ndo maarufu sana.
Kwenye kila uzi utawakuta wale maarufu wa jf, ila kuna pisi kali zinaplay low unazibamba kwenye nyuzi chache chache sana...

Na hizo ndo za kuruka nazo sasa.

Ila uwe makini, midume ni mingi yenye id za kike hata kwenye huu uzi ipo na imeshacomment tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…