Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Uchawi humpata anayeusujudia fulstopNaukataa uchawi kwa akili na nguvu zangu zote, uchawi haukubaliki. Mchawi akikamatwa auawe kikatili, raha sana. Ndio maana shinyanga wanatembeza mapanga tu.
Cha kushangaza akija mzungu, mchina au muarabu kuchimba kunakua hakuna vikwazo kama hivyo na wanafanikiwa kuchimba na kupata wanachokihitaji.
Pia ninashangaa Serikali haiamini uchawi ila anapokamatwa mchawi kaanguka uchi wanatia pingu na kumpeleka kituo cha polisi je kule anaenda kama mtuhumiwa wa nini au anaenda kuhukumiwa kwa kutokuvaa nguo yaani anatembea uchi.
Bora useme na ww aise...Plot twist, hao jamaa waliodai kwenda kwa mganga wamekupiga. Sasa wametengeneza mazingira ya kukupiga kila mara kwa kisingizio cha uchawi uwape hela waende kutoa lock kwa mganga.
Uchawi/wanga/ulozi/ushirikina ni story za kusadikika hazina ukweli wowote.
Mm niliwah kuta eneo la kazi mahela sijui ya wapi sijui ya kigerman watajua wenyewe na maneno ya kiarabu...nikakusanya nikachoma..watu walinikataza hata kushika..ohh had umuite mganga blah blah kibao..sijawah hata pata ndoto za ajabu au kuweweseka..na najua waliweka watenda kazini ili wanitoke helaKinachofanyika ni kuwatisha wamatumbi wenzao wanajua they will fall for it ili wakupige. Umtishe mzungu vp wakati haamini mungu wala ushirikina. Ukiingia king tu wanakupiga hadi uimbe hallelujah kama huyu mleta uzi lazima afurahi huko. Hakuna uchawi wala nini...
Plot twist, hao jamaa waliodai kwenda kwa mganga wamekupiga. Sasa wametengeneza mazingira ya kukupiga kila mara kwa kisingizio cha uchawi uwape hela waende kutoa lock kwa mganga.
Uchawi/wanga/ulozi/ushirikina ni story za kusadikika hazina ukweli wowote.
Bora useme na ww aise...
Mm niliwah kuta eneo la kazi mahela sijui ya wapi sijui ya kigerman watajua wenyewe na maneno ya kiarabu...nikakusanya nikachoma..watu walinikataza hata kushika..ohh had umuite mganga blah blah kibao..sijawah hata pata ndoto za ajabu au kuweweseka..na najua waliweka watenda kazini ili wanitoke hela
Hii unayosema wewe ni kweli kama una imani kali na Mungu uchawi hautakuletea shida, washuhuda wengi wa mambo ya kiroho wanasemaga kama una imani kali na Mungu wako au kama umefanyiwa dawa ya protection against dark powers uchawi utasikiaga tu kwa wengine lakin usiaminishe watu kuwa uchawi haupo, uchawi upo tena sana tu!Mm niliwah kuta eneo la kazi mahela sijui ya wapi sijui ya kigerman watajua wenyewe na maneno ya kiarabu...nikakusanya nikachoma..watu walinikataza hata kushika..ohh had umuite mganga blah blah kibao..sijawah hata pata ndoto za ajabu au kuweweseka..na najua waliweka watenda kazini ili wanitoke hela
Ndugu yangu uchawi upo, hadi kwenye vitabu vya dini(biblia) umeandikwa. Hii ya kusema ukiamin ndo wakupata achana nao kabisa, tembea uone!
Hiyo kali, kwamba mashine inakuwa na nguvu kuzidi mwanzo baada ya kuzika kuku mzima eneo la mgodi. Hatari sana African chemistry
Binafsi nomeshuhudia. Wazungu wanaendekeza hizo mambo pia japo kama hawajali vile.Kwani waarabu ,Wachina na wazungu hawana hizo mbanga MIGODINI?
Ungeishi nao ungekuwa na la kuhadithia hapa.[emoji1787][emoji1787]
Mi nachoamini wazungu na waasia ni washirikina zaidi katika uchawi kuliko sisi, hebu fikiria kuhusu Freemasons na projects zao .Hapo ndo utajua wenzetu wametuacha mbali Sana katika tasnia hiiCha kushangaza akija mzungu, mchina au muarabu kuchimba kunakua hakuna vikwazo kama hivyo na wanafanikiwa kuchimba na kupata wanachokihitaji.
Pia ninashangaa Serikali haiamini uchawi ila anapokamatwa mchawi kaanguka uchi wanatia pingu na kumpeleka kituo cha polisi je kule anaenda kama mtuhumiwa wa nini au anaenda kuhukumiwa kwa kutokuvaa nguo yaani anatembea uchi.
Dah,! Mkuu huwajui vizuri hao ngozi nyeupe, hasa wa Hindi na wa China hao nd'o washirikina balaa Mimi nimefanya nao kazi mwaka wa kumi huu sio watu poa kabisa hakuna kazi wanafanya bila kafara pamoja na utaalam wao na mitambo yao yote.
Uko sahihi kabisa, kama ambavyo teknolojia yao iko juu kuliko sisi waafrika, ndivyo na uchawi wao pia, uko juu kuliko wetu.Mi nachoamini wazungu na waasia ni washirikina zaidi katika uchawi kuliko sisi, hebu fikiria kuhusu Freemasons na projects zao .Hapo ndo utajua wenzetu wametuacha mbali Sana katika tasnia hii
Hebu nitajie kimoja kinacho zidi excavator.Excavator ni miongoni mwa vifaa bora but pia kuna vifaa ambavyo ni bora zaidi na vyakisasa ambavyo vinarahisisha katika uchimbaji
Kwakweli hata mm kuamini ulozi upo ni ishu! Sema waganga wanaijua mno saikolojia ya mteja waoHapo umeliwa hao waliokwenda kwa mganga huenda kuna mahali wamechezea so baada ya huyo kukuita chemba mwenzake ameenda fasta kurekebisha kisha wakachukua hiyo buku 20 na kutia mfukoni mimi bado siwezi kushawishika kama kweki uchawi upo mpaka niuone na kuugusa kama babu yangu thomaso.
Mkuu nani kakudanganya kuwa mzungu halogi?, kwenye watalii wanaopanda Mt. Kilimanjaro takribani 45% wanaenda kufanya hayo mambo. Hii sio blah! blah!.Kinachofanyika ni kuwatisha wamatumbi wenzao wanajua they will fall for it ili wakupige. Umtishe mzungu vp wakati haamini mungu wala ushirikina. Ukiingia king tu wanakupiga hadi uimbe hallelujah kama huyu mleta uzi lazima afurahi huko. Hakuna uchawi wala nini...
Cha kushangaza akija mzungu, mchina au muarabu kuchimba kunakua hakuna vikwazo kama hivyo na wanafanikiwa kuchimba na kupata wanachokihitaji.
Pia ninashangaa Serikali haiamini uchawi ila anapokamatwa mchawi kaanguka uchi wanatia pingu na kumpeleka kituo cha polisi je kule anaenda kama mtuhumiwa wa nini au anaenda kuhukumiwa kwa kutokuvaa nguo yaani anatembea uchi.