USHUHUDA: Nilivyokutana na ushirikina kazini

wahindi hata umtundike hatoi pesa jumanne au alhamis huo ni mwiko
 
Hiyo ya excavator siwezi kataa. Nilishuhudia kikosi Cha Chita pale C.O alinunua lile mashine la kuvunja mpunga, wazee si wakapiga ndumba bana ili lisifanye kazi? Uliza kilichotokea.
 
Cha kushangaza akija mzungu, mchina au muarabu kuchimba kunakua hakuna vikwazo kama hivyo na wanafanikiwa kuchimba na kupata wanachokihitaji...
Mkuu sio kila anaekamatwa ana makosa wengine huwa wanahifadhiwa tu ili asishambuliwe na wananchi wenye hasira Kali
Baadae huwa wanaachiwa
 
Chai hii kabisa
 
Mkuu sio kila anaekamatwa ana makosa wengine huwa wanahifadhiwa tu ili asishambuliwe na wananchi wenye hasira Kali
Baadae huwa wanaachiwa
Basi serikali inasababisha ongezeko la wachawi na washirikina
 
Tukiwa huko huko TANGA. Kuna siku serikali ilitaka kutengeneza barabara kipindi kile hakuna fidia Ni umwamba tu. Basi engineer akasema barabara itapita kwenye shamba la mgosingwa mmoja. Mgosingwa akasema hakubaliani na huo uamizi. Serikali ikatumia umwamba ikaleta caterpillar Yale ma D8 ya enzi zile.

D8 likachonga barabara Ila kufika kwenye shamba la mgosingwa D8 likazimika. Washa. Washa na wewe. Cheki kila kitu Kiko vzr lkn D8 haliwaki. Kumbuka D8 huwezi kulivuta Wala kuliondoa mpaka lenyewe liwake. Liko mpaka Leo na barabara ilipita kwingine.

Tukiwa hapo hapo TA Kuna mgeni mkware alitembea na mke wa mtu. Jioni anafika kwake anakuta mb**0 Yale haioni. Kwenda kwa mganga kaambiwa hii mpaka uende kwa mume wa uliyetembea nae maana anayo nyumbani kwake.

Kweli bwana mkware kufika kwa aliyemuibia uroda anaikuta na mayai yote mawili imeanikwa nje kwenye ungo. Aliambiwa ungechelewa ingeweza kuliwa na kunguru ama ingenyauka. Dogo alilipa fidia na kuondoka siku hiyo hiyo
 

Hahah hizi story huwa mnatoa wapi Mkuu. Huna tofauti na hawa jamaa hapa chini. Nadhani hata hii unaamini.

 
WAZUNGU WANA UCHAWI WA KUDHURU PIA
tena hauhitaji hata diploma kuufanya kuna moja nilikutana nayo sehemu nikajaribu kilichotokea mpaka sasa najutia
ulijaribu kufanya nn bibiye? toa ushuhuda tafadhali
 
Uchawi upo,uwez thibitisha km ujawai kutwa na misala yake
 
Hakuna kitu kinachosikitisha kama kukatisha uhai wa mnyama hasa asiyeweza kujitetea.Kuku hana kosa lolote anafukiwa akiwa hai.Mnyama kama huyu anastahili kuishi kama nyie mliyemfukia mnavyostahili kuishi
 
Kuna sehemu umenikera sana mkuu,unazika ka kuku kazima kazima kweli.Unaua kiumbe kweli?!Imagine unazikwa wewe mzima mzima ,Dah!
 
Hakuna kitu kinachosikitisha kama kukatisha uhai wa mnyama hasa asiyeweza kujitetea.Kuku hana kosa lolote anafukiwa akiwa hai.Mnyama kama huyu anastahili kuishi kama nyie mliyemfukia mnavyostahili kuishi
Kuku Ni ndege
 
BS!

Kuna mawili... ama hii stori yako ni fiction au huyo "operator" wako kakuchezea shere tu kutaka nawe uanze kauamini hayo mambo ya kijinga.

Ushirikina upo kama dini - wapo wanaoamini na wasioamini - lakini hauna athari yoyote kwa mwanadamu let alone lifeless objects like machines!
 
Kwa kuwa UCHAWI na JADI ni elimu inayorithishwa basi ITAENDELEA KUWEPO.

Waswahili wanasema "shiriki ushirikishwe".
N ni imani kama zilivyo imani zingine. Wapo, watakuwepo na wataendelea kuwepo. Mchawi mmoja anaweza rithisha mpka watoto/wajukuu 20. Kibaya ni kuwa, kwenye kila watu watano, kati ya wawili mpaka watatu wanaweza kuwa wachawi. Kibaya zaidi huwezi kuwajua kwa hali zao, kuna masikini na matajiri, warembo na wabaya, vijana kwa wazee, Wachamungu na wasio wachamungu.

Uchawi ni nouma mazeee
 
Mikoa ya tanga, Lindi, pwani hii imefungwa kichawi ni ngumu Sana kuwa na maendeleo hadi zindiko liondolewe upo uchawi wa kuuroga mkoa mzima usiwe na maendeleo.Afrika ya weusi yote ni kama imerogwa thus hakuna maendeleo
kama vile nakuamini amini hivi. Ni mikoa maskini haswa. Wana Laana hao jamaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…