USHUHUDA: Ninavyoyamudu maisha kupitia kilimo cha mbogamboga ndani ya ekari moja tu



πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ww unanikumbusja ya mama manengelo msabato yuleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..wanatoboa wanapanda chinese..ukiuliza nn shida wanakuambia.km huna eneo la kulima mboga mboga..mara ikaja ya makopoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚na hapo amezunhukwa na maeneo balaa ya kulima.hhahahahaha

Ila mm hii organic food naifanya kwa berries..ss kwenye chinese jaman inatesaaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..chinese ikianza kitobolewa unaambiwa spray na mavitunguu swaumu..jaman..hahahaa..chinese unakula inataste swaumu hahahha yaan km uchawi vile


Kuna mama m1 anaishi UK..ni mtz..akatuletea deal tulime pure organic mchicha..tulikua watu 65...kila mtu akalima 2acres..mm nilichomoa coz nilishanusa..ikasemekana mchicha ule ungepelekwa UK..nilihoji maswali sana sikupata aloniunga mkono as mie nimewah lima mchicha..ule unalegea mapema sana..hehhee watu dumila walikodi mashamba balaa..mchicha ukakwivaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...kifupi mchicha haukuchumwa ht jani 1...ulionekana una bacteria sana kwenye majani...!hapo amezurura km 6mths kuomba vibali asafirishe Uk..!walispray swaumu hizo ...khaa..ule mwaka jaman..!walio kwenye groups huyu mama ni muongeaji balaa...anatunyali balaa watz..akaja bongo akaingia front..lol..yako wap
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚mnapeleka mchicha wenye bacteria UK mnataka kumuua malikia Elizabeth? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mi nashukuru hicho cha kwenye maroba nilimuwahi bimkubwa nikampa somo akaelewa hakufanya kabisa!
 


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Bongo nyoso sana..lakin wenzetu Kenya waΕ„ sera nzuri..wanaexport..sio sie kina Mwijage anaongeaaaaaa .khaa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Bongo nyoso sana..lakin wenzetu Kenya waΕ„ sera nzuri..wanaexport..sio sie kina Mwijage anaongeaaaaaa .khaa
Bongo aliyeweza kusafirisha hayo mazao yule dada analima iringa anaitwa Hadija Jabiry ila hawa wengine mizinguo sana!
Sasa hivi kilimo cha parachichi ndo kiko onπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯sasa sijui huko mbeleni
 
Bongo aliyeweza kusafirisha hayo mazao yule dada analima iringa anaitwa Hadija Jabiry ila hawa wengine mizinguo sana!
Sasa hivi kilimo cha parachichi ndo kiko onπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯sasa sijui huko mbeleni


Yes ..huyo na wale wakak wa chuga
 
![emoji3][emoji3][emoji3]hao Kuku wa wiki nne wakoje mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…