Ushuhuda wangu kuhusu RADI (my own testimonial)Nimeshuhudia RADI! Mara mbili, Ni kweli RADI ni kuku kabisa! Tena jogoo anaevutia haswa!

Hiyo hallucination ndio wawe nayo kijiji kizima.?
Hili nishajibu humu..., Power of Suggestion binadamu akili yake inapenda ku-connect vitu ambavyo havina mpangilio na kuviweka katika mpangilio kulingana na vitu ambavyo wapo familiar navyo...

Wewe toka hapo nje na familia yako angalia mawingu alafu muanze kuambiana kama hamumuoni kuku, sima au mzee mwenye ndevu kwenye mawingu...., utaanza kusikia mmhhh kweeliii na ambaye hajaona eventually ataona...
 
Science inatafsiri uumbaji kwa level za kibinadamu.
Nadhani mkuu haujui Sayansi ni nini...,

the intellectual and practical activity encompassing the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation and experiment.

Utaona hapo key word ni observation and experiment na ninaongezea na proof (lazima theory iwe proven) kwahio ni mwendo wa proof no more no less.....
Hivyo mpaka hapo baadae sana science itakapo kuwa more advance wanaweza kuja kugundua mambo tofauti kabisa.
Naam watagundua through observation and experiments ili theories / statements ziwe proven without the proof that is not science its something else...
Mfano hapo kale watu waliamini kuwa dunia ni tambarare ila baada ya vumbuzi nyingi tukaja gundua kuwa ni duara. Ingawa bado kuna discussions nyingi tu as to whether dunia ni tambarare au duara.
Naam waliamini (IMANI) and it was not science mpaka ilipokuwa scientifically proven kwahio now its a known fact....
Mambo mengi bado hatujayafahamu.
Naam kuna Unknown knowns na na known unknowns..., mwanasanyi atakuwa wa kwanza kukwambia mpaka kitu kiwe a known fact it takes experimentation and observation...., Hakuna mwanasayansi anayejifanya much know hata anachokitambua leo kama fact ukija na ku-prove otherwise atakuwa wa kwanza kukushukuru and your proof will be known fact...., tofauti na Imani ambapo ukichunguza unaonekana una mapepo, kwenye sayansi tunapenda uchunguze ili uelewa wetu uongezeke...
Science sio ya kuamini sana.
Science ni ya kuamini sana sababu ipo based on experiments, observations and Proof na sio vinginevyo (hivyo vinginevyo ndio sio vya kuamini)..., kama wewe unaona kuna statement sio factual ingia field prove otherwise with concrete proof basi watu tutakusikiliza tu (sio wewe as wewe bali tha facts you present)
 
kea=kwa

wanasayansi (au sayansi kama ulivyoita) hawajawahi/haijawahi kukaa na kujadili kitu kama hicho mkuu.
 
Aisee hiyo story ya Radi naa kondoo umeongea kama umeicopy kutoka kichwa mwangu, Story za wabena na wahehe hizo.
 
1.radi ilikosa target

2.radi ilikuwa inazunguka TU juu ya mti,Mara mmasai akaanza KUOMBA ,baadaye tukasikia radi imepiga sehemu NYINGINE

3.sawa MKUU,Sina Cha KUSEMA
 
Nimejiuliza Sana,nimekosa MAJIBU
 
🤣🤣 mimi pia kwa masimulizi ya watu waliopata kuona wanasema huonekana kuku mwekundu kabla ya radi kupiga.
Wengi hawaamini, ni ngumu kuwafanya waamini. Ila ni kuku! Na tulimshika kwa mikono yetu na kumfungia jikoni ndiyo yakakatokea hayo niliyoeleza
 
ilo jogoo umeweka ww. vitu vingi unavyo viona kwa macho yak ya nyama sio vilivyo
Hadi kufikia hatua ya kumkamata kwa mikono na kwenda nae hadi nyumbani Bado huamini tu!? Ama kweli watu mmeumbwa na vichwa ngumu kuamini
 
Sijaona picha ya jogoo
 
1.radi ilikosa target

2.radi ilikuwa inazunguka TU juu ya mti,Mara mmasai akaanza KUOMBA ,baadaye tukasikia radi imepiga sehemu NYINGINE

3.sawa MKUU,Sina Cha KUSEMA
Sjajua mm sio mtaalam...ila nilishuhudia
Labda ilikuwa namaongezi na masai
 
Mambo ya radi mtafute mtu mmoja anaitwa Pedeshee Mkombe ye ndo alikuwa mtaalamu wa kutengeneza radi sumbawanga
 
Sasa wewe unang'ang'ania mawingu basi na wewe toka nje na familia yako uwaambie oneni jogoo huyu hapa uone kama wataona hizo formation za mawinguni zipo tu hata maipoonyeshana akili zetu zinafananisha na vitu tulivyowahi kuviona au tunavyovijua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…